Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Habari wapendwa kama Kuna mtu atahitaji chochote kutoka India Kwa bei ya jumla tafadhar niagize heavy machine na vitu vidogo vidogo UREMBO nk mawasiliano yangu hayo +91 97179 98645
Ok
 
Habari, kama kichwa kinavyojieleza..ni chimbo gani la kupata ndoo za plastic za kuoteshea maua kwa bei nafuu. Ukiweka na mawasiliano ya muuzaji ingekuwa vizuri zaidi
 

Attachments

  • IMG_20200914_182401_3.jpg
    254.5 KB · Views: 21
Habari, kama kichwa kinavyojieleza..ni chimbo gani la kupata ndoo za plastic za kuoteshea maua kwa bei nafuu. Ukiweka na mawasiliano ya muuzaji ingekuwa vizuri zaidi
Kuna agent wa Cello mtaaa wa vyombo Kariakoo. Jamaa yupo Ghorofani. Anauza sana.. Sema huwa anachelewa kufungua . Huwa anafungua kuanzia saa 6
 
Nenda cello au Jambo kanunue kiwandani kama unataka vingi, ukiitaji kupelekwa ndio kazi zetu mjini hapaa....
 
Kuna agent wa Cello mtaaa wa vyombo Kariakoo. Jamaa yupo Ghorofani. Anauza sana.. Sema huwa anachelewa kufungua . Huwa anafungua kuanzia saa 6
Naomba namba zao anielekeze jins ya kufikaa
 
Naomba namba zao anielekeze jins ya kufikaa
Mkuu sina no zao.. wewe ukifika Kariakoo mitaa ya vyomba.. muulize mtu yeyote Agent wa Cello alieopo ghorofani. Jamaa ni maarufu sana.. ukienda wakati wanafungua watu kama nyuki
 
Mimi naomba kuelekezwa chimbo la vyombo vizuri hotpots sahani na sufuria nzito zile zenye mifuniko ya vioo
 
Bro najaribu kuku Pm text haziji naomba unicheki 0714676898
 
Anaejua wanapouza motor za kusagia Unga kuanzia hp 25 tujuzane wakuu natanguliza shukran zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…