Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Kwa wanafanya au wanaotaka kuanzisha biashara ya kuuza simu au vifaa vya simu,unaweza kunicheki kupata ili upate bidhaa hizo kwa bei ya jumla jumla
0787641107
kariakoo,
Flashes Kwa bei jumla ni sh ngapi
 
Naomba msaada kwa anayejua maduka au mtu anayeuza materials za kutengenezea sabuni
 
Habari wakuu, poleni kwa majukumu yakulijenga taifa..... Kama kichwa kinavyosema hapo juu ninataka kujua machimbo ya nguo nzuri (mtumba au special) pamoja na viatu kwa bei poa (cheap) sio kwa hawa wamachinga .... Cz ninampango wakufanya hiyo biashara soon lakini haya machimbo sijui yalipo .... Msaada wakuu
 
Nipo hapa nami mpaka nijue ngoja waje
 
Nenda ilala pale karume utafaidi mwenye bei rahisi mno manjese na kariakoo kuna baadhi wanaenda kuchukulia hapo
Habari wakuu, poleni kwa majukumu yakulijenga taifa..... Kama kichwa kinavyosema hapo juu ninataka kujua machimbo ya nguo nzuri (mtumba au special) pamoja na viatu kwa bei poa (cheap) sio kwa hawa wamachinga .... Cz ninampango wakufanya hiyo biashara soon lakini haya machimbo sijui yalipo .... Msaada wakuu
 
Back
Top Bottom