Vifungo pia si vipo tofauti kati ya hao wanoafanya trafficking, dealing na possession?? Naonaga komenti sana kuhusu hilo jambo umegusia mkuu....maybe kuna reason ipo why they do thatWatu wamekamatwa salasala tegeta,,utasemaje wansafirsha madawa?
Hii inchi ngumu Sana...
Na ndy maana wanachukuwa muda mrefu kutoa hukumu.
Kuna tofauti Kati ya.
Trafficking
Dealing
Posession..
Ndomana basi 'rich flex' zimekua nyingi mnoo mtaani na mitandaoni piaNdo kinachofanyika sa hii.
Dealing Ina dhamanaVifungo pia si vipo tofauti kati ya hao wanoafanya trafficking, dealing na possession?? Naonaga komenti sana kuhusu hilo jambo umegusia mkuu....maybe kuna reason ipo why they do that
Trafficking Ni mbaya Zaidi,,Vifungo pia si vipo tofauti kati ya hao wanoafanya trafficking, dealing na possession?? Naonaga komenti sana kuhusu hilo jambo umegusia mkuu....maybe kuna reason ipo why they do that
Kabisa na ukitaka kujua watu wanafanya show off sana nenda sehem za starehe wuuuuh.Ndomana basi 'rich flex' zimekua nyingi mnoo mtaani na mitandaoni pia
Bongo nyoso, kwamba mzigo niko nao geto ila ni trafficking kwa tz.....asante mkuu umenipa jambo jipya nilikua sifahamu kabisaaTrafficking Ni mbaya Zaidi,,
Maana wewe ndy msambazaji/msafirishaji nje na ndani ya inchi.
Dealing Ni kujihusisha na biashara.
Posession ni umekutwa na madawa either nyumbani au mfukoni lakini umekutwa nao MZIGO lakini ndani ya inchi husika.
So police wanaweza wakakupa dealing au possession yote Ni kesi moja.
Ila trafficking Ni kuingiza madawa au kusafirisha inje au ndani ya inchi ,,
Hii ndy mbaya Sana popote duniani.
Huko road mbaka nafika home jioni hii, shingo inaumaaa....aloo daaah!!Kabisa na ukitaka kujua watu wanafanya show off sana nenda sehem za starehe wuuuuh.
Ndy ipo hivyo na ndy maana wakifika . mahakamani wanachomoka ..Bongo nyoso, kwamba mzigo niko nao geto ila ni trafficking kwa tz.....asante mkuu umenipa jambo jipya nilikua sifahamu kabisaa
Hii ilendaje, au ndiyo maana TEC wanapinga sana teknolijia kuwepo bandarini? Maana hayo majina yote ni kule kule.Wafanyabiashara watatu, Goodness Remy mkazi wa Salasala, Emmanuel Chigbo Mkazi wa Goba na Paulina Mwanga mkazi wa Kibaha wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na Mashtaka ya Uhujumu Uchumi.
Wakili wa Serikali, Frank Michael, ameiambia Mahakama kuwa, washtakiwa walitenda kosa hilo Aprili 19, 2023 eneo la Salasala, Kinondoni jijini Dar es Salaam ambapo walikutwa na Dawa aina ya Heroin.
Upande wa Jamhuri uliomba Mahakama kupanga tarehe nyingine kwasababu upelelezi haujakamilika. Kesi imeahirishwa hadi Juni 1, 2023 na washtakiwa wote wamerudishwa Mahabusu kwa kuwa kesi yao haina dhamana.
MWANANCHI
Kwa nin shingo inauma?Huko road mbaka nafika home jioni hii, shingo inaumaaa....aloo daaah!!
Mbn shamimu na mumewe walikutwa Home na makete ya madude halafu wamefungwa maisha gerezaniTrafficking Ni mbaya Zaidi,,
Maana wewe ndy msambazaji/msafirishaji nje na ndani ya inchi.
Dealing Ni kujihusisha na biashara.
Posession ni umekutwa na madawa either nyumbani au mfukoni lakini umekutwa nao MZIGO lakini ndani ya inchi husika.
So police wanaweza wakakupa dealing au possession yote Ni kesi moja.
Ila trafficking Ni kuingiza madawa au kusafirisha inje au ndani ya inchi ,,
Hii ndy mbaya Sana popote duniani.
Umeelewa mada hapo?? Possession, dealing na trafficking mkuu??Mbn shamimu na mumewe walikutwa Home na makete ya madude halafu wamefungwa maisha gerezani
'Madungu' na 'mavifaru'Kwa nin shingo inauma?
Ndio boss trafficking umesema ni very crucial kuliko possesion or dealing ndo maana zina dhamanaUmeelewa mada hapo?? Possession, dealing na trafficking mkuu??
๐๐๐Ni shida bablai.'Madungu' na 'mavifaru'
Wale walipewa ipi?Ndio boss trafficking umesema ni very crucial kuliko possesion or dealing ndo maana zina dhamana
Possession maana zilikutwa Home na hazikua na dhamana na wamepewa maishaWale walipewa ipi?
Hayo mambo yanahitaji ujuwe Sheria..Mbn shamimu na mumewe walikutwa Home na makete ya madude halafu wamefungwa maisha gerezani