Wengi wao washatoka mkuuNi Mimi ndy nilicomment kwamba Kiboko atatoka. Soon.
Na nikaweka na sababu kwann atatoka..
Kiboko na mkewe walikamatwa na grams 250 nyumbani kwao,
Means wakigawana huo MZIGO kila mmoja atakuwa na grams 125..ambacho ni kiasi kidogo sn cha madawa na pia kina dhamana.
Halafu unamfungulia mtu kesi ya trafficking kwa kumkuta na grams 125?.
Na umemkuta nyumbani kwake,,..
Kwann wasichomoke?
Ukikutwa nyumbani huna kesi ya trafficking..
Yes kila mtu alikuwa anakamatwa nyumbani kwake tena na kiasi kinachofanana grams 250.Wengi wao washatoka mkuu
Na kwanini wakati ule kila anayekamatwa wanakuambia amekutwa na grm 250
Ilikuwa kama inapangwa
Ova
Kuna mwana mmoja alikaa ndani kitambo sana alikamatwa portYes kila mtu alikuwa anakamatwa nyumbani kwake tena na kiasi kinachofanana grams 250.
Halafu ajabu wanawapa trafficking.
70% ya waliokamatwa wakati ule wameshatoka..
Ni kweli mkuu .
kg 58 ni sawa ni zaidi ya viroba 2 vya unga wa ugali. Nazani ile tume ya kudhibiti madawa ya kulevya wanapo pa kuanzia.hii vita ni ngumu sana.nadhani serikali ingejikita kuuelewa mfumo wa biashara hii(maana hii ni operating system)Wafanyabiashara watatu, Goodness Remy mkazi wa Salasala, Emmanuel Chigbo Mkazi wa Goba na Paulina Mwanga mkazi wa Kibaha wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na Mashtaka ya Uhujumu Uchumi.
Wakili wa Serikali, Frank Michael, ameiambia Mahakama kuwa, washtakiwa walitenda kosa hilo Aprili 19, 2023 eneo la Salasala, Kinondoni jijini Dar es Salaam ambapo walikutwa na Dawa aina ya Heroin.
Upande wa Jamhuri uliomba Mahakama kupanga tarehe nyingine kwasababu upelelezi haujakamilika. Kesi imeahirishwa hadi Juni 1, 2023 na washtakiwa wote wamerudishwa Mahabusu kwa kuwa kesi yao haina dhamana.
MWANANCHI
Kabisa mkuu.Kuna mwana mmoja alikaa ndani kitambo sana alikamatwa port
Sasa mtiti huko mbeleni ikawa walete
Kidhibiti [emoji1]
Jamaa kidhibiti walishakinywa muda tu,jamaa alishikilia hapo hapo mpaka anakuja kutoka
Ila kuna kitu umecmnt,wajelajela wanakuwa vzr sana kwenye sheria
Na haki zao
Ova
Mambo ya gerezani unaona ni big ishu unapotumia passport ya Nchi nyingine wakati wewe sio raia wa hiyo Nchi utakosa kwenda Gerezani au unadhani kutangaza kuwa gerezani ni sifa...nachosema wewe hakuna unachojua zaidi ya story mnazopeana vijiweni huko...Ulishawahii kufungwa gereza lolote?
kama hujawahi hata kufungwa gerezani na wala pia sio mwanasheria ,
basi huna unalojuwa kuhusu Sheria hizo za madawa,
Hakuna mtu ambaye anajuwa Sheria na sio mwanasheria kama mtu aliyewahi kupitia vifungo,,
wewe kumbe hata kusogelea hayo madawa ulikuwa unaogopa.
Hata gerezani hujawahi kukaa,,
Utajuwa Sheria za kukamatwa na madawa?
Na ndy maana watu wengi wakishakuwa gerezani wakikata rufaa wanashinda sababu huko watakutana na manguli wa Sheria na kuwafundisha jinsi ya kushinda kesi hata kama hana mwanasheria.,
Na hizo mambo ya kuishi nje na kusafiri tena safari chafu Sana na sio Salama.,tena za kutisha,,
Hapa kwa Mwandende ndy nyumbani kwake..
Usitake nijieleze Sana..
Sasa naelewa kwann sensa ya watu na makazi ilionyesha wanawake ni wengi kuliko wanaume..Mambo ya gerezani unaona ni big ishu unapotumia passport ya Nchi nyingine wakati wewe sio raia wa hiyo Nchi utakosa kwenda Gerezani au unadhani kutangaza kuwa gerezani ni sifa...nachosema wewe hakuna unachojua zaidi ya story mnazopeana vijiweni huko...
Utaongea matusi ila mimi siwezi kutukana nakwambia ukweli tuu mazee mimi nimekutana na watu wengi wa JF humu kupitia hizi nyuzi zenu wananijua vizuri na tunafanya mengi kupitia JF wewe endelea na dharau zitakusaidia saana...Sasa naelewa kwann sensa ya watu na makazi ilionyesha wanawake ni wengi kuliko wanaume..
Shukran mkuu.
Funguka mkuu, wengi tunajfunza hapa. siunajua mtaa wnyew mgumu, hivo ni vema kushare ili funzo ziwe wazi kwa wapenda 'mtelezo' bila jashoNilitaka kuongea mengi kuhusu izo biashara ila ngoja tu niachie..
Dharau ulianza wewe kumtusi mtu usiyemjuwa.Utaongea matusi ila mimi siwezi kutukana nakwambia ukweli tuu mazee mimi nimekutana na watu wengi wa JF humu kupitia hizi nyuzi zenu wananijua vizuri na tunafanya mengi kupitia JF wewe endelea na dharau zitakusaidia saana...
Hao ndio nitolee Kuna mwana alikamatwa na mzigo toka 2021 mpaka Leo kesi haijaanza kusikilizwa.Daah bado watu wanaingia mkenge wa kusafirisha hiyo sumu....
Duuh hapo hapo Ethiopia hiyo sio kazi bhana sema watu wana roho ngumu sana aisee...Hao ndio nitolee Kuna mwana alikamatwa na mzigo toka 2021 mpaka Leo kesi haijaanza kusikilizwa.
Uliongea umejaza Passport nne wakati mimi Passport kumi ilikua 2015 nimetumia Passport ya Malawi na ya SA pia hizi mambo za safari unaweza ukaona upo juu kumbe kwa wengine ndio kama unaanza hayo mambo unayoyaongea kwa watu wa safari ni kitu cha kawaida tu wadogo zetu au watoto wetu ndio wanatakiwa watishiane kuhusu mambo ya Safari ila sio Legend kama mimi uniambiwe wewe sijui kaa kimya daah..Dharau ulianza wewe kumtusi mtu usiyemjuwa.
Kunambiya mimi sina ninalojuwa zaidi ya story za vijiweni ,hizo sio dharau?
Mimi siongei kitu sikijuwi,, Ukiona nachangia hoja yeyote elewa najuwa ninachochangia.
kwa taarifa yako mimi ni simba mwenye ngozi ya kondoo.
nishakaa sehem chafu,na safi.
nishasafiri safari chafu na salama..
nikiongea jambo kuhusu safari za nje au mambo ya jela unapaswa ukae kwa kutulia..
unabishana na mtu ambaye ni nguli ktk maisha ya Street tena front line on the battle field..
Sasa wewe 2015 ndy unasafiri mwenzio nimesafiri tangu 20000 huko ,,Uliongea umejaza Passport nne wakati mimi Passport kumi ilikua 2015 nimetumia Passport ya Malawi na ya SA pia hizi mambo za safari unaweza ukaona upo juu kumbe kwa wengine ndio kama unaanza hayo mambo unayoyaongea kwa watu wa safari ni kitu cha kawaida tu wadogo zetu au watoto wetu ndio wanatakiwa watishiane kuhusu mambo ya Safari ila sio Legend kama mimi uniambiwe wewe sijui kaa kimya daah..
Nimeanza Safari mwaka 1998 baada ya kumaliza Six...Passport ya Malawi nilitumia kuingilia Angola wao kupata visa yao nilipokua De beers Marine walikua hawasumbuliwi mpaka sasa hivi sijaifuta passport ya SA ambayo nilikichukua kihalali Cape Town nimefanyia kazi ID ya SA na passport yao nimetumia kusafiria Nchi nyingi nimeacha kuitumia na natumia passport ya Tanzania baada ya huu mfumo wa E Passport kutokuweza kutumia passport mbili ni tatizo nikiwa SA natumia ID yao huku passport natuma kugongesha...nimekuja Tanzania na Passport ya kaburu mara nyingi sanaSasa wewe 2015 ndy unasafiri mwenzio nimesafiri tangu 20000 huko ,,
Nikiwa na 22 years.
Nataka nikukamate uongo wako kwanza , hizo passport za malawi na south Africa ulisafiria kwenda inchi gani?
-Uliingia South Africa 1998 ,, ulitumia passport gani kuingia huko?Nimeanza Safari mwaka 1998 baada ya kumaliza Six...Passport ya Malawi nilitumia kuingilia Angola wao kupata visa yao nilipokua De beers Marine walikua hawasumbuliwi mpaka sasa hivi sijaifuta passport ya SA ambayo nilikichukua kihalali Cape Town nimefanyia kazi ID ya SA na passport yao nimetumia kusafiria Nchi nyingi nimeacha kuitumia na natumia passport ya Tanzania baada ya huu mfumo wa E Passport kutokuweza kutumia passport mbili ni tatizo nikiwa SA natumia ID yao huku passport natuma kugongesha...nimekuja Tanzania na Passport ya kaburu mara nyingi sana
Maswali kama haya kaawaulize mapimbi wa safari au unataka kujifunza watu wapo humu wanajua mishe zangu nikudanganye wewe ili iweje au niendelee kukujibu napata nini kwako...leo nipo Tanzania mwezi ujao tukijaaliwa narudi SA nipo kwenye Utalii na uuzaji wa parts pamoja na magari kutoka SA ukitaka tuongelee pesa karibu sio mambo ya Passport ambayo hata wadogo zetu wa kike wametumia kusafiri nilishakwambia unaweza kuona kwako kigumu mtu mwingine kwake ni kirahisi mno...Passport za kubandika picha zilikua Passport mpaka za kumhoji mtu au ulichelewa kujua hizo mambo....-Uliingia South Africa 1998 ,, ulitumia passport gani kuingia huko?
-Je ilikuchukuwa muda gani kupata passport ya south Africa?
-Ulipita njia gani kutoka tanzania kuifikia cape town.
Nilichokugunduwa ni kwamba huna unachojuwa kuhusu safari wala south Africa.Maswali kama haya kaawaulize mapimbi wa safari au unataka kujifunza watu wapo humu wanajua mishe zangu nikudanganye wewe ili iweje au niendelee kukujibu napata nini kwako...leo nipo Tanzania mwezi ujao tukijaaliwa narudi SA nipo kwenye Utalii na uuzaji wa parts pamoja na magari kutoka SA ukitaka tuongelee pesa karibu sio mambo ya Passport ambayo hata wadogo zetu wa kike wametumia kusafiri nilishakwambia unaweza kuona kwako kigumu mtu mwingine kwake ni kirahisi mno...Passport za kubandika picha zilikua Passport mpaka za kumhoji mtu au ulichelewa kujua hizo mambo....