KERO Wafanyabiashara ya chakula acheni kurudisha mabaki

KERO Wafanyabiashara ya chakula acheni kurudisha mabaki

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kwa upande wa chips...chips nyingi za mtaan zinaandaliwa kwenye eneo waz; jiko linakua open kiasi unaweza kuwitness kila hatua ya uandaaji..binafsi hua nasimama hapo anaandaa nikimuangalia..wengi wao wana mazoea ya hovyo unakuta anashikashika chips na mikono michafu bila hata sababu ya msingi wakati huo chombo cha kuchotea kipo hapo pemben...wasimamie kama eneo linaruhusu hilo. Kama ni jiko la ndani kweny restaurants kubwa hapo huna ujanja.
Kuna wauza chips zaidi ya mmoja nimewashuhudia wakiulizwa chips ni za moto basi wao wanazipima joto kwa mkono nyuma ya kiganja ...tatizo wengi ya wauza chips ni watu washamba wa vijijini wana tabia za uchafu wa asili wanashindwa kujua jema na baya.
 
Kuna hii tabia ya kurudisha mabaki ya mteja kwenye chakula Kwa wafanyabiashara hasa wa maeneo ya kawaida japo huwa hatuoni ila utakutana nayo tu.

Juzi Kuna mtu kasema aliwahi shuhudia mama ntilie anarudisha mchuzi uliobakishwa na mteja kwenye sufuria ya mboga nikakumbuka visa vyangu, silagi Kwa mama ntilie ila chips haziepukiki.

Pia soma: Huwa unakagua usafi sehemu unayoenda kupata chakula?

Eneo la kwanza ni Mikocheni karibu na hospital kubwa sana, wakati nakula chips mayai kufungua katikati nakuta nzi wamenasa ilibidi njikaze tu kuwaondoa nsije tupa chakula na nna njaa.

Eneo la pili Ubungo mitaa ya hosteli ndanindani kwenye hotel kama nyota tatu, nikiwa na rafiki ikaagizwa chips mayai na nyama, wakati nakula katikati nakuta mifupa midogomidogo ya kuku ilikwishaliwa liwa imenasia, na pieces za kabichi, means mteja akibakisha wao wanatoa kile kilichobaki wanarudisha kwenye kisafi wanachanganya.

Juzijuzi Tena Niko Magomeni, kwenye chips tu pembeni ya main Rosa, chips mayai nakula katikati nashangaa naona ugumu kufosi naibuka na toothpick kama tatu zimelala katikati ya mayai. nkitafuta nakuata vipande vya nyama.

Sijawahi kutana na haya mambo mtaani kwetu ila maeneo yenye biashara ndo nakutana nayo.

Mbona mnatufanyia hivi, imagine mtu unahangaika tangu asubuhi hata kunywa maji hukumbuki, unaamua kupoza tumbo unaletewa vyakula vilivyorudishiwa mabaki?

What if huyo aliekula hapo akabakisha ana maradhi yanayoambukizwa Kwa mate kama hepatitis?
What if akiwa anakula kapiga chafya vikarukia humo?
What if wamewekeana sumu au madawa?

Mteja anatoa pesa kamili Kwa kile anachostahili hata mkimwaga hayo mabaki shida yenu Iko wapi, si unauza kama ulivyoplan? Kwanini mnarisk Maisha ya wengine kutafuta extra profit toka kwenye kilekile mlichozalisha. Mnapata hasara mkimwaga ilhali kishalipiwa?
Mnaua biashara za wengine pia.

Badilikeni!!
Boresha kipato chako uwe unakula sehemu za kueleweka .

Si unawaona hata wanywa gongo, wale wanalishwa mpaka nyama za juzi kwenye vilabu vyao.
 
Kuna hii tabia ya kurudisha mabaki ya mteja kwenye chakula Kwa wafanyabiashara hasa wa maeneo ya kawaida japo huwa hatuoni ila utakutana nayo tu.

Juzi Kuna mtu kasema aliwahi shuhudia mama ntilie anarudisha mchuzi uliobakishwa na mteja kwenye sufuria ya mboga nikakumbuka visa vyangu, silagi Kwa mama ntilie ila chips haziepukiki.

Pia soma: Huwa unakagua usafi sehemu unayoenda kupata chakula?

Eneo la kwanza ni Mikocheni karibu na hospital kubwa sana, wakati nakula chips mayai kufungua katikati nakuta nzi wamenasa ilibidi njikaze tu kuwaondoa nsije tupa chakula na nna njaa.

Eneo la pili Ubungo mitaa ya hosteli ndanindani kwenye hotel kama nyota tatu, nikiwa na rafiki ikaagizwa chips mayai na nyama, wakati nakula katikati nakuta mifupa midogomidogo ya kuku ilikwishaliwa liwa imenasia, na pieces za kabichi, means mteja akibakisha wao wanatoa kile kilichobaki wanarudisha kwenye kisafi wanachanganya.

Juzijuzi Tena Niko Magomeni, kwenye chips tu pembeni ya main Rosa, chips mayai nakula katikati nashangaa naona ugumu kufosi naibuka na toothpick kama tatu zimelala katikati ya mayai. nkitafuta nakuata vipande vya nyama.

Sijawahi kutana na haya mambo mtaani kwetu ila maeneo yenye biashara ndo nakutana nayo.

Mbona mnatufanyia hivi, imagine mtu unahangaika tangu asubuhi hata kunywa maji hukumbuki, unaamua kupoza tumbo unaletewa vyakula vilivyorudishiwa mabaki?

What if huyo aliekula hapo akabakisha ana maradhi yanayoambukizwa Kwa mate kama hepatitis?
What if akiwa anakula kapiga chafya vikarukia humo?
What if wamewekeana sumu au madawa?

Mteja anatoa pesa kamili Kwa kile anachostahili hata mkimwaga hayo mabaki shida yenu Iko wapi, si unauza kama ulivyoplan? Kwanini mnarisk Maisha ya wengine kutafuta extra profit toka kwenye kilekile mlichozalisha. Mnapata hasara mkimwaga ilhali kishalipiwa?
Mnaua biashara za wengine pia.

Badilikeni!!
Na Mbagala 3 Colour.
 
Kwa upande wa chips...chips nyingi za mtaan zinaandaliwa kwenye eneo waz; jiko linakua open kiasi unaweza kuwitness kila hatua ya uandaaji..binafsi hua nasimama hapo anaandaa nikimuangalia..wengi wao wana mazoea ya hovyo unakuta anashikashika chips na mikono michafu bila hata sababu ya msingi wakati huo chombo cha kuchotea kipo hapo pemben...wasimamie kama eneo linaruhusu hilo. Kama ni jiko la ndani kweny restaurants kubwa hapo huna ujanja.
Niliwahi shuhudia hii kitu kuna cafe flani, asseeh nlimchana muhusika had aliomba msamaha,

Japo sikua nahitaji mie zile chips, ila nliona anawalisha watu uchafu wake, Lol
 
Kifupi hakuna sehemu nzuri ya kula zaidi ya nyumbani kwako.

Hakuna mfanyabiashara yoyote wa chakula (awe mdogo au mkubwa) ambae hafanyi "manuva" kwenye uandaaji wa chakula ili ku maximize profit.

Mfano:
1. Vitu vilivyoharibika kama nyanya, karoti, hoho nk havitupwi kamwe.
2. Vitu vilivyobaki kama wali, kuku, nyama nk kesho vinaungwa upya
3. Vitu vilivyo expire hakuna anaetupa.
4. Maji yanayosafishia vyombo usiombe ukayaona
5. Nk
 
Kwa upande wa chips...chips nyingi za mtaan zinaandaliwa kwenye eneo waz; jiko linakua open kiasi unaweza kuwitness kila hatua ya uandaaji..binafsi hua nasimama hapo anaandaa nikimuangalia..wengi wao wana mazoea ya hovyo unakuta anashikashika chips na mikono michafu bila hata sababu ya msingi wakati huo chombo cha kuchotea kipo hapo pemben...wasimamie kama eneo linaruhusu hilo. Kama ni jiko la ndani kweny restaurants kubwa hapo huna ujanja.

Kwa upande wa chips...chips nyingi za mtaan zinaandaliwa kwenye eneo waz; jiko linakua open kiasi unaweza kuwitness kila hatua ya uandaaji..binafsi hua nasimama hapo anaandaa nikimuangalia..wengi wao wana mazoea ya hovyo unakuta anashikashika chips na mikono michafu bila hata sababu ya msingi wakati huo chombo cha kuchotea kipo hapo pemben...wasimamie kama eneo linaruhusu hilo. Kama ni jiko la ndani kweny restaurants kubwa hapo huna ujanja.
Unakuta ni baa kubwa tu jiko lipo kule..halafu unafunga take away.hapo ndo fursa Yao ya kukufanyia hivi.
 
Niliwahi shuhudia hii kitu kuna cafe flani, asseeh nlimchana muhusika had aliomba msamaha,

Japo sikua nahitaji mie zile chips, ila nliona anawalisha watu uchafu wake, Lol
Au mapande ya nyama na ndizi za kuchoma/kukaanga wanapokatakata wanazishikashika na mikono wazi..apo apo ashike tambara afute meza..aguse mayai mabichi..apokee hela...yaan ni shida
 
Au mapande ya nyama na ndizi za kuchoma/kukaanga wanapokatakata wanazishikashika na mikono wazi..apo apo ashike tambara afute meza..aguse mayai mabichi..apokee hela...yaan ni shida
Mie ndo maana sili kwenye cafe, hotel, restaurant, etc.
Hata iwe ya [emoji294] 5, ntazururaa na kulala tyuuh hapo, ila kula nehiii.
 
Kifupi hakuna sehemu nzuri ya kula zaidi ya nyumbani kwako.

Hakuna mfanyabiashara yoyote wa chakula (awe mdogo au mkubwa) ambae hafanyi "manuva" kwenye uandaaji wa chakula ili ku maximize profit.

Mfano:
1. Vitu vilivyoharibika kama nyanya, karoti, hoho nk havitupwi kamwe.
2. Vitu vilivyobaki kama wali, kuku, nyama nk kesho vinaungwa upya
3. Vitu vilivyo expire hakuna anaetupa.
4. Maji yanayosafishia vyombo usiombe ukayaona
5. Nk
Maafisa afya hawafanyi kazi zao, inawezekana kudhibiti usafi kwa wauza chakula
 
Back
Top Bottom