KERO Wafanyabiashara ya chakula acheni kurudisha mabaki

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Utashangaa kwenye thread hii kuna mdau analalamika eti chakula tunachokula migahawani huwa hali kwa sababu ya uchafu cha kuchangaza huyohuyo analamba papuchi.
Sijui anakwepa kitu gani
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Umenikumbusha kuna siku nilienda dukani kununua Skonzi, nimefika muuza duka katoka kupimia watu maziwa, alichofanya akapaka vidole mate ili afungue mfuko baada ya hapo akachukua mfuko wa Skonzi akatoa na mikono yake hiyohiyo yenye mate na maziwa.

Nilichukia sana, ila nikaamua kuondoka tu. Zile Skonzi zikaishia kwenye takataka na ndiyo ukawa mwanzo wa kununua Skonzi mfuko mzima ili kuepukana na hii adha maana kuna watu usafi ni 0.
 
Pale makumbusho kitimoto rosti, saa saba usiku, jamaa kapiga mifupa na nyanya, kaweka mezani kasepa,mifupa haina nyama, ila tulimsaka mpaka nyumbani kwake Tandale, akalipia usafiri na kila kitu
 
Pale makumbusho kitimoto rosti, saa saba usiku, jamaa kapiga mifupa na nyanya, kaweka mezani kasepa,migupa haina nyama, ila tulimsaka mpaka nyumbani kwake Tandale, akalipia usafiri na kila kitu
Rosti HiloπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mi ndo maana huwa nikibakisha chakula nakinawia natupia stick na tissue nachanganya na chakula au km kuna upenyo natupia paka ama mbwa, nakifanya kisiuzike tena kwa namna yoyote
 
Mi ndo maana huwa nikibakisha chakula nakinawia natupia stick na tissue nachanganya na chakula au km kuna upenyo natupia paka ama mbwa, nakifanya kisiuzike tena kwa namna yoyote
Walivyopinda wengine .watachuja
 
Bila kusahau wengi wa wauza samaki wa kukaanga wa mtaani
Picha linaanza wengi hawakaangi hao samaki mazingira safi
Ukinunua anashika samaki kwa mikono yake ndiyo anakuwekea kwenye kifungashio
Mikono hiyo hiyo anajikuna, anashika hela na mikono hiyo hiyo anaitumia chooni
Yani ganzi sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…