Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
- Thread starter
-
- #101
ππππUtashangaa kwenye thread hii kuna mdau analalamika eti chakula tunachokula migahawani huwa hali kwa sababu ya uchafu cha kuchangaza huyohuyo analamba papuchi.
Sijui anakwepa kitu gani
Ni kula kula tu mitaani hovyo.Katika tabia usiyoipenda ni kutokula ovyo.Maana yake katika tabia unayoipenda ni kula ovyo.Kwanini unapenfa kula ovyo?
Mhh so ni mambo ya kiroho?Wewe Dada una macho ya Rohoni, usiniulize nimejuaje Ila hapo hakuna inzi wa kawaida wala Mifupa ya kawaida biashara Ina mambo mengi meusi meusi
Hapana we ulionaje kwa macho ya kawaida?Mhh so ni mambo ya kiroho?
Kuna mabachela..hawana mda kabisaa.wapikiwe na nani?Ni kula kula tu mitaani hovyo.
Kuna wapishi nyumbani why ule vichochoroni.
Mi nliona kama uchafu tu..always nkifika katikati ya mlo ndo nakutania navyo..katikati ya chakulaHapana we ulionaje kwa macho ya kawaida?
Balaa gani mkuu..njoo kariakoo ndio kuna balaaa
Ndio hivyo manyoya ya kuku hujawahi kukutana nayo katikati?Mi nliona kama uchafu tu..always nkifika katikati ya mlo ndo nakutania navyo..katikati ya chakula
Umenikumbusha kuna siku nilienda dukani kununua Skonzi, nimefika muuza duka katoka kupimia watu maziwa, alichofanya akapaka vidole mate ili afungue mfuko baada ya hapo akachukua mfuko wa Skonzi akatoa na mikono yake hiyohiyo yenye mate na maziwa.Elimu inahitajika sana kwa wafanyabiashara hususani wa chakula! Kuna tabia ya kulamba ulimi kupakaza mimate kwenye vidole kisha kufungua mfuko wa nylon na kukuwekea bidhaa kama nyanya ,bamia ,carrot ,hoho etc
Kuna tabia ya kupuliza mifuko ya nylon na kufunga karanga ,miwa ,ubuyu ,korosho etc ,elimu inahitajika sana ni chanzo cha magonjwa ya TB ,Hep B etc
Hayo hapanaNdio hivyo manyoya ya kuku hujawahi kukutana nayo katikati?
Pale makumbusho kitimoto rosti, saa saba usiku, jamaa kapiga mifupa na nyanya, kaweka mezani kasepa,mifupa haina nyama, ila tulimsaka mpaka nyumbani kwake Tandale, akalipia usafiri na kila kituKuna hii tabia ya kurudisha mabaki ya mteja kwenye chakula Kwa wafanyabiashara hasa wa maeneo ya kawaida japo huwa hatuoni ila utakutana nayo tu.
Juzi Kuna mtu kasema aliwahi shuhudia mama ntilie anarudisha mchuzi uliobakishwa na mteja kwenye sufuria ya mboga nikakumbuka visa vyangu, silagi Kwa mama ntilie ila chips haziepukiki.
Pia soma: Huwa unakagua usafi sehemu unayoenda kupata chakula?
Eneo la kwanza ni Mikocheni karibu na hospital kubwa sana, wakati nakula chips mayai kufungua katikati nakuta nzi wamenasa ilibidi njikaze tu kuwaondoa nsije tupa chakula na nna njaa.
Eneo la pili Ubungo mitaa ya hosteli ndanindani kwenye hotel kama nyota tatu, nikiwa na rafiki ikaagizwa chips mayai na nyama, wakati nakula katikati nakuta mifupa midogomidogo ya kuku ilikwishaliwa liwa imenasia, na pieces za kabichi, means mteja akibakisha wao wanatoa kile kilichobaki wanarudisha kwenye kisafi wanachanganya.
Juzijuzi Tena Niko Magomeni, kwenye chips tu pembeni ya main Rosa, chips mayai nakula katikati nashangaa naona ugumu kufosi naibuka na toothpick kama tatu zimelala katikati ya mayai. nkitafuta nakuata vipande vya nyama.
Sijawahi kutana na haya mambo mtaani kwetu ila maeneo yenye biashara ndo nakutana nayo.
Mbona mnatufanyia hivi, imagine mtu unahangaika tangu asubuhi hata kunywa maji hukumbuki, unaamua kupoza tumbo unaletewa vyakula vilivyorudishiwa mabaki?
What if huyo aliekula hapo akabakisha ana maradhi yanayoambukizwa Kwa mate kama hepatitis?
What if akiwa anakula kapiga chafya vikarukia humo?
What if wamewekeana sumu au madawa?
Mteja anatoa pesa kamili Kwa kile anachostahili hata mkimwaga hayo mabaki shida yenu Iko wapi, si unauza kama ulivyoplan? Kwanini mnarisk Maisha ya wengine kutafuta extra profit toka kwenye kilekile mlichozalisha. Mnapata hasara mkimwaga ilhali kishalipiwa?
Mnaua biashara za wengine pia.
Badilikeni!!
Mavi ya kunguru kwenye kiepe yao ushawahi kutana nayo?Hayo hapana
Rosti HiloππPale makumbusho kitimoto rosti, saa saba usiku, jamaa kapiga mifupa na nyanya, kaweka mezani kasepa,migupa haina nyama, ila tulimsaka mpaka nyumbani kwake Tandale, akalipia usafiri na kila kitu
HapanaMavi ya kunguru kwenye kiepe yao ushawahi kutana nayo?
Itakua umewekewa mara nyingi sana mpaka umeyazoeaHapana
Mhh hata ukimwagiza mtuItakua umewekewa mara nyingi sana mpaka umeyazoea
Walivyopinda wengine .watachujaMi ndo maana huwa nikibakisha chakula nakinawia natupia stick na tissue nachanganya na chakula au km kuna upenyo natupia paka ama mbwa, nakifanya kisiuzike tena kwa namna yoyote
Sio rahisi na tissue na maji nimenawia humo humoπ πWalivyopinda wengine .watachuja