Wafanyakazi poleni sana lakini tija ya kazi ni kama hakuna!

Wafanyakazi poleni sana lakini tija ya kazi ni kama hakuna!

Jana na juzi mitandaonii imekuwa na malalamiko mengi ya nyongeza kiduchu katika mishahara.

Watu walitegemea mabulungutu ya bure kutoka serikalini.
Nasema ni ya bure kwa sababu ofisi nyingi kama siyo zote, HAKUNA utendaji wenye tija.
Ingekuwa ofisi za serikali, watumishi wakahamishiwa ofisi za biashara binafsi ,pengine wengi wangelipwa nusu tu cha wanacholipwa sasa.

Daktari ambaye angeweza kuwaona wagonjwa 70 kwa siku pengine anawaona 20 au 25.
Mhandisi wa wilaya ambaye angekagua kwa kina miradi mitano kwa siku anakagua mmoja na siku imeisha.
Meneja Utawala mwenye uwezo wa kushughulikia mafaili 50 kwa siku anashughulikia mafaili 5 hadi 10.
Wafanyakazi hawasimamiwi na wengine wana ED za daktari nyingi tu, au hawafiki kabisa kazini kwa sababu ambazo ni porojo tu.

Lakini uwezo wa kununua ndege kwa kesh kwa matriloon anao. Cha kuhuzunisha ndege hizo zinajiendesha kwa hasara na anazidi kuongeza ruzuku kwenye ATCL.

Tatizo ni political will hamna na mfumo batili wa chama tawala.
LAKINI CHA AJABU NYIE NDIO WAPIGA VIGELEGELE NA MAPAMBIO KWA WINGI SASA MSILIE LIE
 
Hija yako haina ukweli wowote,Wafanyakazi wa Tanzania wanajitahidi sana tena sana,na wanachokifanya hakiendani na wanacholipwa.umetolea mfano hapo kwa Daktari-angalia standard za kidunia Daktari mmoja anatakiwa ahudumie angalau wagonjwa 20 kwa siku-Madaktari wa kibongo utakuta kwa siku Doctor mmoja anaona wagonjwa wasiopingua 40.
Na hapo ni field hiyo,unakuta Ofisi hazina hata hela za mafuta ya kiendea site.Wafanyakazi wanakwenda site kwa kupitiana vituo-bado unasema watu wanashinda Ofisini??.

Kiufupi Wafanyakazi wa Serikali wanafanya kazi katika mazingira magumi sana tena zaidi ya sana-still public inaona hawafanyi kazi.Wanashindwa kuona tatizo LA Msingi ambalo ni wao wenyewe kuweka madarakani Serikali isiyowajibika-wanatupia lawama kwa Watumishi.
LAKINI NYIE SI NDIO MNAONGOZA KWA MAKONGAMANO YA "ANAUPIGA MWINGI" KAENI KIMYA SASA
 
Subiri Msigwa aje kutoa ufafanuzi , i hope akishatoa ufafanuzi account zitavimba maana mama unaupiga mwingi.
Jana nilisema nitatoa takwimu na mahesabu jinsi working culture ya Tanzania inavyoendekeza uvivu na umasikini.

Kwanza tuanze kwa kuweka the present Tanzanian working situation:
  1. Mfanayakazi anafanya kazi nchini kwa masaa 8 kwa siku
  2. kwa wiki kazi ni siku 5(jumatatu hadi ijumaa)
  3. Hivyo kwa wiki mfanyakazi atafanya kazi masaa 40
  4. Mwaka una siku 365, ondoa siku 30 za likizo, na siku 15 pengine mtu anaumwa au sikukuu, kwa hiyo mtu anafanya kazi kwa mwaka siku 330.
  5. Katika mwaka huo mfanyakazi wetu mpendwa ana faya kazi kwa masaa 330*8=2,640 hrs.
Nimefanya kazi na kampuni moja ya kigeni, kutoka nchi ya dunia ya kwanza, wao working culture iko hivi:
  1. Mfanyakazi ana fanya kazi kwa masaa 11 kwa siku(kuanzia 12.30 asubuhi hadi 12.30 jioni, mapumziko ya saa moja mchana)
  2. kwa wiki kazi ni siku sita, jumatatu hadi jumamosi hivyo kwa wiki masaa ya kazi ni 66!
  3. Katika mwaka huo huo wa mtanzania pamoja na siku 45 za likizo na sikukuu, wenzet wanapiga kazi 330*11=3630 hrs!!!
Sisi katika mtaji ule ule wa MUDA tulionao wenzetu mfanyakazi anafanya kazi masaa 3, 630 kwa mwaka , wakati sisi mfanya kazi mtanzania( tena mwaminifu) anafanya kazi kwa masaa 2,640 tu.
Yaani wenzetu mfanyakazi anafanya kazi kwa ziada ya masaa 1,010 hrs kwa mwaka, kuliko mfanya kazi wetu!!!

Kwa scenario hiyo kwa nini wenzetu wasiendelee kwa kasi wakati sisi hapa tunavulimilia mediocre working tendencies?
Contractor kama wewe anategemewa kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa wenye tija na Value for money ana Fisadi mradi wakati mwingine kwa kushirikiana na hao hao Wafanyakazi wa Serikali huku akijifanya mjanja wa Mjini. Disgusting....
Mkuu tafuta msaada.
Una tatizo la wale masikini walioridhka na kila wakiona mfanyabiashara anainukia ,yeye anaona anaibiwa.
Jitoe katika huo unyonge wa kujitakia.
 
Jana nilisema nitatoa takwimu na mahesabu jinsi working culture ya Tanzania inavyoendekeza uvivu na umasikini.

Kwanza tuanze kwa kuweka the present Tanzanian working situation:
  1. Mfanayakazi anafanya kazi nchini kwa masaa 8 kwa siku
  2. kwa wiki kazi ni siku 5(jumatatu hadi ijumaa)
  3. Hivyo kwa wiki mfanyakazi atafanya kazi masaa 40
  4. Mwaka una siku 365, ondoa siku 30 za likizo, na siku 15 pengine mtu anaumwa au sikukuu, kwa hiyo mtu anafanya kazi kwa mwaka siku 330.
  5. Katika mwaka huo mfanyakazi wetu mpendwa ana faya kazi kwa masaa 330*8=2,640 hrs.
Nimefanya kazi na kampuni moja ya kigeni, kutoka nchi ya dunia ya kwanza, wao working culture iko hivi:
  1. Mfanyakazi ana fanya kazi kwa masaa 11 kwa siku(kuanzia 12.30 asubuhi hadi 12.30 jioni, mapumziko ya saa moja mchana)
  2. kwa wiki kazi ni siku sita, jumatatu hadi jumamosi hivyo kwa wiki masaa ya kazi ni 66!
  3. Katika mwaka huo huo wa mtanzania pamoja na siku 45 za likizo na sikukuu, wenzet wanapiga kazi 330*11=3630 hrs!!!
Sisi katika mtaji ule ule wa MUDA tulionao wenzetu mfanyakazi anafanya kazi masaa 3, 630 kwa mwaka , wakati sisi mfanya kazi mtanzania( tena mwaminifu) anafanya kazi kwa masaa 2,640 tu.
Yaani wenzetu mfanyakazi anafanya kazi kwa ziada ya masaa 1,010 hrs kwa mwaka, kuliko mfanya kazi wetu!!!

Kwa scenario hiyo kwa nini wenzetu wasiendelee kwa kasi wakati sisi hapa tunavulimilia mediocre working tendencies?
Mkuu tafuta msaada.
Una tatizo la wale masikini walioridhka na kila wakiona mfanyabiashara anainukia ,yeye anaona anaibiwa.
Jitoe katika huo unyonge wa kujitakia.
Ni Mpumbavu pekee ambaye haamini kuwa Kashfa mbalimbali zinazohusu upotevu wa fedha katika miradi mbalimbali haziwahusu Wafanyabiashara ukiwepo wewe wakishirikiana na Wafanyakazi Walafi. Sasa ni kugawana keki ya Taifa kila mmoja kwa Urefu kwa kamba na ukubwa wa Tumbo lake.
 
Ni Mpumbavu pekee ambaye haamini kuwa Kashfa mbalimbali zinazohusu upotevu wa fedha katika miradi mbalimbali haziwahusu Wafanyabiashara ukiwepo wewe wakishirikiana na Wafanyakazi Walafi. Sasa ni kugawana keki ya Taifa kila mmoja kwa Urefu kwa kamba na ukubwa wa Tumbo lake.
Kama ni rahisi hivyo, hivi wewe ni mpumbavu kiasi hicho na usiweze kujichotea kiasi chako.
Watu mijinga mijinga wa aina yako mko wengi.
 
Unadhani hatujui bei za vitu zilianza kupanda lini huku ugumu wa fedha ukiwa juu? Umesahau msemo wa vyuma kukaza? Mafuta ya kula sukari, vifaa vya ujenzi vyote vilipanda wakati wa dhalimu. Unadhani tumesahau?
Weka bei za wakati wa dhalimu wako na za wakati huu wa malaika wako
 
Weka bei za wakati wa dhalimu wako na za wakati huu wa malaika wako

Ungeweka ww hizo bei za kipindi cha shetani na sasa kwenye huyu unayemuita malaika kwangu. Ninachojua bei kuzingua ilianza toka kipindi cha dhalimu.
 
Ungeanza na wanasiasa kwanza eg Wabunge/Madiwani. Je,Hawa Wana tija ya maana ktk majukumu Yao?
Wanansiasa wanatakiwa kutengeneza na kusimamia sera za maendeleo.
Bahati mbaya nao wameingia mkumbo wa kutafuta kipato tu.
Effective ness yao ni sawa na hakuna!
 
Jana na juzi mitandaonii imekuwa na malalamiko mengi ya nyongeza kiduchu katika mishahara.

Watu walitegemea mabulungutu ya bure kutoka serikalini.
Nasema ni ya bure kwa sababu ofisi nyingi kama siyo zote, HAKUNA utendaji wenye tija.
Ingekuwa ofisi za serikali, watumishi wakahamishiwa ofisi za biashara binafsi ,pengine wengi wangelipwa nusu tu cha wanacholipwa sasa.

Daktari ambaye angeweza kuwaona wagonjwa 70 kwa siku pengine anawaona 20 au 25.
Mhandisi wa wilaya ambaye angekagua kwa kina miradi mitano kwa siku anakagua mmoja na siku imeisha.
Meneja Utawala mwenye uwezo wa kushughulikia mafaili 50 kwa siku anashughulikia mafaili 5 hadi 10.
Wafanyakazi hawasimamiwi na wengine wana ED za daktari nyingi tu, au hawafiki kabisa kazini kwa sababu ambazo ni porojo tu.

Sasa hapo productivity kwa ujumla inaweza kuwa only 40% na watu wanataka nyongeza kubwa tu.

Hili haliwezekani kabisa hadi tija iongezeke ingalau 80-90%.

Nchi zilizoendelea wana put in masaa mengi tu ya kazi, productivity nzuri na hivyo mishahara kuwa mizuri.

Kama Taifa tujitathmini.
nadhani wewe hujielewi hivi tija itoke wapi wakati huyo mtumishi halipwi vzr.aache kujitafutia riziki kwingine ahangaike na kazi ambazo hata hazilipi.mtumishi anahitaji kula,malzi mazuri,asomeshe watoto wake nk halafu unamlipa laki tatu hiyo tija itoke wapi.hebu mlipeni mshahara mzuri kama hutaona tija.mtumishi anafikiria leo atakula au hali halafu wewe useme hakuna tija.neda wewe ukalete hiyo tija.
 
nadhani wewe hujielewi hivi tija itoke wapi wakati huyo mtumishi halipwi vzr.aache kujitafutia riziki kwingine ahangaike na kazi ambazo hata hazilipi.mtumishi anahitaji kula,malzi mazuri,asomeshe watoto wake nk halafu unamlipa laki tatu hiyo tija itoke wapi.hebu mlipeni mshahara mzuri kama hutaona tija.mtumishi anafikiria leo atakula au hali halafu wewe useme hakuna tija.neda wewe ukalete hiyo tija.
Tija inakuja kwa kufanya kazi zaidi na kuongeza uzalishaji.
Kama ulikuwa unazalisha chupa 100 za maji kwa siku na unalipwa shs 150 kila chupa(jumla 15,000), nawe ukahamasika kuzalisha chupa 200 kwa siku na ukalipwa 30,000(jumla 30,000) hapo nafikiri hata wewe utaelewa maana ya tija.
Ukizalisha zaidi na kipato kikubwa zaidi.
Kipato chako kimeongezeka na mwenye biashara ameongeza uzaishaji.
Na matatizo yako kwisha.
 
👇😁😁😁
16588519852620.jpg
 
Back
Top Bottom