Pre GE2025 Wafanyakazi wa Tanzania badilikeni. Hakuna wa kuwasaidia zaidi ya kadi yako ya kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
KUMBUKA: CCM haitegemei kura ili ishinde kwenye uchaguzi

Inategemea wakurugenzi+ wanajeshi + polisi+ wasimamizi wa vituo hasa walimu (wanatumiwa indirect)


Hata CCM akipata kura 30% na mpinzani wa kwanza akapata 50%


CCM itapita tu kwa 50% za upinzani
 
Wapumbavu hacha waminywe , watu hawazi jitetea ila ndo kwanza wapo kwa maandamano ,ujinga gani huu
 
Si kwa haya mazuzu ya nchi hii. Utaona mwakani uzezeta watakaofanyiwa.

N.B nchi hii mazuzu ni mengi kuliko timamu, inafanya sote tuonekane ni mazuzu.
 
Mkuu,
siyo kila mtoa wazo anataka kuwa kiongozi. Unaweza kuwa kiongozi bila kukwaa madaraka.

Ukiweza kutibu akili za watu kama wewe ni zaidi ya uongozi
ndio maana tunapinga mercenaries na puppets 🐒

kwamba wanakaa ulaya wanatuma mtu aje kuvuruga nchi kwa maelekekezo na ushauri wao na kwamaslahi yao. na tayari mmeadapt fikra za kwamba ati nisipokua kiongozi wengine watakua 🐒

hiyo haiwezekani. mawazo na fikra za kitumwa hazikubaliki 🐒
 
Si kwa haya mazuzu ya nchi hii. Utaona mwakani uzezeta watakaofanyiwa.

N.B nchi hii mazuzu ni mengi kuliko timamu, inafanya sote tuonekane ni mazuzu.
Tuchukulie watumishi wa umma/wafanyakazi wamechoka akili hadi hawajui wafanye nini kiwasaidie.Washauri/waazime akili zako.Wafanye nini kujikwamua na madhila hayo?
 
Ushilikiano wetu Mimi na wewe utatuokoa sisi na kizazi chetu kutoka kwenye Mikono dhalimu ya CCM
Ushilikiano=Ushirikiano...

na actually siwezi kushirikiana wala kubabaika na wavivu, mamluki na vibaraka kwa chochote 🐒
 
Mkuu
Dunia ya leo ukitaka kufanya propaganda hakikisha una akiba ya akili na soni za kutosha.

Hawa waliopo wanavuruga nchi wakiwa humo humo ndani na pia wamenunua makazi huko nje.... Usiwaze sana wewe pigia kura CCM lakini sisi wengine tumeshaona hakuna la maana kutoka humo
 
Msanii soma hapa soma tena na tena , kwa macho yangu nilishuhudia,
 
Kwa hiyo hapa unataka kusema kuwa wafanyakazi hawafanyi kazi kwa bidii ndio maana hawaongezewi mishahara?
 
Ushilikiano=Ushirikiano...

na actually siwezi kushirikiana wala kubabaika na wavivu, mamluki na vibaraka kwa chochote 🐒
One against many...
Si ajabu hata lusifa ana watetezi wake.

Hatushangai
 
Msanii soma hapa soma tena na tena , kwa macho yangu nilishuhudia,
Upo sahihi. Lakini hata kwa kijiko cha chai, tutauchimba mlima kidogo kidogo na vilembwe watakuja kumalizia
 
Idadi ya watumishi wa serikali haizidi milioni 2 na wapiga kura wako zaidi ya milioni 25. Hivyo hasira yao haitawasaidia.

Pia ccm haitegemei kura kushinda uchaguzi, inategemea dola na tume tu
Umemaliza!!! Uzi ufungwe. Mtoa mada anadhani idadi ya Watumishi wa Serikali ni 96% ya wapiga kura. Halafu hafahamu kuwa hakuna Tume huru ya Uchaguzi Tanzania.
 
TUCTA ni tawi kuu la CCM
 
Aliona hana cha kusema mbele ya watumishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…