Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafanyabiashara wanatamani kusiwe na kodi yoyote......Anamaanisha kuwa utitiri wa kodi umekuwa mkubwa sana, pamoja na kodi zote hizo bado running costs za ofisi zipo pale pale. Mkuu kama umewahi kumiliki walau duka utaelewa wanachoongea.
Ikiwa mfanyabiashara analalamikia Kodi.....vipi mfanyakazi wa umma na mwisho kabisa vipi mlaji wa mwisho ambaye ndiye abebaye mzigo mzito?!!!!Watu hawakatai kulipa kodi bro issue ni iwe kodi rafiki na wao wapate kuishi ni dhahiri hujapitia kitengo hicho cha biashara,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hayajui kwa sababu tu ameongea usiyoyapenda wewe binafsi ?!!!The Boss!
Mambo ambayo huyajui uwe makini sana tena shika adabu yako
Hawataki kulipa kodi....ndiyo silka ya mfanyabiashara.....ndiyo silka ya mfanyakazi(yeye hubanwa tu).....dunia haijaumbwa jana....[emoji1787][emoji1787]Acha kumuona The Boss hajui jambo lipeni kodi kwa manufaa ya nchi yenu.
Store kuna walakini wa bidhaa watu wanauza mizigo juu kwa juu , watu hawataki kufata sheria za kodi risiti hamtoi na bado mnaona mnaonewa na mamlaka iliyofata tu miongozo ya iliyopewa na bunge.
Serikali itaendelea kuchukua kodi....Tutaendelea kukwepa
Lipeni kodi hivi unaona nchi zilizoendelea zimeendelea kwa ajili ya nini kama sio kodi China tu hapo fine ya kukwepa kodi ni $250,000. Na hizi ngojera zote kodi watu inawauma nakutaka kuikwepa ndomana wanatoa hizo rushwa kwa maafisa sasa kama kuna mzalendo ataje majina aliempa hizo rushwa wakamatwe wote wapelekwe korokoroni[emoji23][emoji23] alietoa na aliepokea.Sirdirashy!
Ni bora na wewe kuwa mwelewa wa mambo kuliko kukurupuka! Mambo ya Kkoo tuachie sisi wachakataji wa financial information! Wewe nakuomba uendelee na hayo yako unayoyafanya limbukeni wewe!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkunazi Huna hata kibanda cha biashara unaongea nini ! Wewe kaa kimya subiria mshahara tena upo ofisini hufanyi kazi zaidi ya kuleta uchochezi kwenye mitandao
Wasipofanya hivi kwa mlolongo wa kodi wanaowekewa nadhani mwaka kesho hutawakuta hapo walipo ni either watakuwa wamegeukia kupiga winga au wameenda kulima.Japo wafanyabiashara wanachangamoto nyingi dhidi ya TRA lakini pia wapo wafanyabiashara wengi walaghai. Naona sana kwenye biashara zao hawatoi risiti na hata kama akitoa risiti basi kaiandikia pesa ya chini sana. Hv mtu ananunua mzigo wa milioni anaandikiwa risiti ya laki moja
[emoji2956]Unapo lipa kodi unatakiwa kila matumizi unayofanya uyaorodheshe kwenye huduma kisha unatowa kwenye kodi knachobaki ndio unalipa. Mbona wahindi hawalalamiki?
Tatizo kubwa tunalo ni kwamba hatuna elimu ya namna ya kulipia kodi, ndio maana tunasema sema ovyo kulalama. Mfano, bidhaa umenunua milioni 500. Si unarisiti ya kununulia? Umelipa gharama za usafiri kupeleka saiti, si unapata risiti? Uchukuzi na kodi ya jengo la ghala, risiti si unayo? Malipo ya umeme na fire extinguisher, si unazo risiti? Gharama za ulinzi na insurance ya mali ghalani, si unayo risiti? Matumizi ya mafuta ya gari kwa mwezi kuenda kazini, si unazo risiti? Chakula na vinywaji kwa wakati wa kazi, si unazo risiti? Bima ya gari, bima ya afya ya watoto, na bima ya duka lako, si unazo risiti?
Ukishakusanya zote hizo, unatowa na kiwango cha kodi uliyolipa wakati wa kununua bidhaa toka kwenye ile uliyouza wewe. Kilichobaki ndo unalipa TRA. Wenzenu wahindi wanaweka kumbukumbu zote, ndo maana hata mchicha wananunua supermarket ili wabaki na risiti ili wakadai tax return wakati wakulipa kodi yako binafsi.
Tunakwama wapi waungwana?
Wenye akili wameelewa ila kilaza kama wewe hauwezi elewa alichoamanishaTra anahusikaje na Bima ya afya?
Umeme?
Ulinzi?
Mishahara ya wafanyakazi wako?
Ada za watoto wako??
Hivi vyote ndo visingizio msilipe kodi???
Lipeni Kodi ....
Kwanini hapa nyumbani biashara iwe pasua kichwa ?!!!Wasipofanya hivi kwa mlolongo wa kodi wanaowekewa nadhani mwaka kesho hutawakuta hapo walipo ni either watakuwa wamegeukia kupiga winga au wameenda kulima.
Ukisema mtu afanye biashara kiuaminifu 100% hakuna atakaetoboa biashara bongo ni pasua kichwa.
Kichwa box kauli za waenda kuzimu hiziTra anahusikaje na Bima ya afya?
Umeme?
Ulinzi?
Mishahara ya wafanyakazi wako?
Ada za watoto wako??
Hivi vyote ndo visingizio msilipe kodi???
Lipeni Kodi ....
Tofautisha mtu aliyesajiliwa VAT na ambaye hajasajiliwa VAT , aliyesajiliwa VAT ni rahisi ile 18% kuicharge kwa mlaji wa mwishoIkiwa mfanyabiashara analalamikia Kodi.....vipi mfanyakazi wa umma na mwisho kabisa vipi mlaji wa mwisho ambaye ndiye abebaye mzigo mzito?!!!!
Inawezekana wewe ukawa unaupenda UKILAZA...Wenye akili wameelewa ila kilaza kama wewe hauwezi elewa alichoamanisha
Lipa kodi acha longolongo....Kichwa box kauli za waenda kuzimu hizi