Ndio maana Kuna mwaka nilienda Mbeya nikaenda pale Muanjerwa kununua nguo nikakuta bei rahisi sana kulinganisha na kariakoo nilipo muuliza mweji wangu akaniambia hizi nguo zinatoka Zambia
Ni kweli hi nchi Ina vilaza wengi maana hapo wanaofaidika kupitia bandari yetu sio tu wafanya biashara wa Zambia hata Serikali Yao pia inafaidika sana maana hao wafanya biashara wa Tanzania wanaponunua mizigo wanalipa na Kodi Kwa serikali ya Zambia
Na hao wazambia wanaomba tuendelee kulala na kuwa vilaza Ili waendelee kufaidika na ukilaza wetu