Mojawapo ya madai yao ni risiti za kueletroniki na uhalisia wa biashara na faida na matumiziJapo wafanyabiashara wanachangamoto nyingi dhidi ya TRA lakini pia wapo wafanyabiashara wengi walaghai. Naona sana kwenye biashara zao hawatoi risiti na hata kama akitoa risiti basi kaiandikia pesa ya chini sana. Hv mtu ananunua mzigo wa milioni anaandikiwa risiti ya laki moja
Mojawapo ya madai yao ni risiti za kueletroniki na uhalisia wa biashara na faida na matumiziJapo wafanyabiashara wanachangamoto nyingi dhidi ya TRA lakini pia wapo wafanyabiashara wengi walaghai. Naona sana kwenye biashara zao hawatoi risiti na hata kama akitoa risiti basi kaiandikia pesa ya chini sana. Hv mtu ananunua mzigo wa milioni anaandikiwa risiti ya laki moja
Ukiacha uchawi wako utaelewaLipa kodi acha longolongo....
Jifunzeni kwa WAHINDI shubamit.....
Tatizo la wafanyabiashara ni ukweli, wafanya wengi wa bongo ukweli kwao ni sumu. Siyo kwa wateja wao tu hata jinsi ya kulipa kodi ni udaganyifu kwenda mbele. Kodi ni sheria, na pia kodi ni maelewano. TRA wanacheza muziki unaopigwa na wafanyabiashara. Ukisema uongo kwenye biashara zako wakati ukweli unaonekana lazima wakubane tu. Wangekuwa waaminifu na kutoa risiti kwa kadri anavyouza hili suala la store na mengine yasingekuwepo, kumbuka TRA wanajua mbinu nyingi sana wanazotumia wafanyabiashara kukwepa kodi. Mzigo unaingia usiku bandari bubu, TRA watajuaje? Inabidi waje store. Nchi nyingi tajiri zimewekeza kwenye TRUST, ukiweka au kufanya UONGO wewe unashtakiwa na kufungwa na faini juu. Tatizo la baadhi watendaji wengi wa serikali ukishikwa unakwepa kodi wao wanaomba Rushwa, kwa mchezo huu ni sawa Paka na panya.
Kukomesha hili tatizo ni serikali kuweka mazingira mazuri ya kazi na mishahara inayoendana na hali halisi.
Kuwachukulia hatua kali wakwepa kodi na wala rushwa.
Mojawapo ya madai yao ni risiti za kueletroniki na uhalisia wa biashara na faida na matumiziJapo wafanyabiashara wanachangamoto nyingi dhidi ya TRA lakini pia wapo wafanyabiashara wengi walaghai. Naona sana kwenye biashara zao hawatoi risiti na hata kama akitoa risiti basi kaiandikia pesa ya chini sana. Hv mtu ananunua mzigo wa milioni anaandikiwa risiti ya laki moja
Bora ya mchawi kuliko MKWEPA KODI......lipa kodi uendelee kuwa MSAFI WA MATENDO....karibu kilingeni[emoji120]Mojawapo ya madai yao ni risiti za kueletroniki na uhalisia wa biashara na faida na matumizi
Ukiacha uchawi wako utaelewa
Kodi isiyolipika wanashangilia wachawi pekeeBora ya mchawi kuliko MKWEPA KODI......lipa kodi uendelee kuwa MSAFI WA MATENDO....karibu kilingeni[emoji120]
Kwahiyo hao wafanya biashara waliofunga maduka kariakoo Kwa kero za TRA wote ni vilaza ila wewe ndio mwenye akiliInawezekana wewe ukawa unaupenda UKILAZA...
Mswahili hataki kulipa Kodi.....
Mswahil hataki /haweki kumbukumbu ya RISITI za mnyororo wa biashara.....
Mswahili anataka "shortcut" ya kila kitu.....awe ofisini/majeshini/uraiani.....
KODI ni wajibu kwetu......
Neno kilaza sikulianza mimi bali wewe ukimwambia the boss na ndio maana nikaandika "unapenda ukilaza/vilaza"....ok mgosi sasa unautafuta msamiati ulio sahihi......Kwahiyo hao wafanya biashara waliofunga maduka kariakoo Kwa kero za TRA wote ni vilaza ila wewe ndio mwenye akili
Believe me wewe ndio kilaza
[emoji1787][emoji1787]Kodi isiyolipika wanashangilia wachawi pekee
Nyie wafanyabiashara wa kariakoo ndio hamjielewi asa hapo t.r.a wamekosa nn? wao wanafanya kazi Kwa mujibu wa Sheria zilizopitishwa na wabunge wenu na kusainiwa na rais wenu uyo mnaemuona kama kimbilio.WAFANYAKAZI WA TRA FUNGUENI MADUKA KARIAKOO NANYI MLIPE KODI HIZI
Mimi mfanyabiashara nacomply,ukiniita nakuja,nadaiwa Milioni 100 nimelipa yote bado Milioni 3 mnanifungia mashine,basi fungueni nyinyi maduka mlipe na hizi kodi zote,
1. Kodi ya mzigo unapoingia bandarini.
2. Kodi ya mapato dukani na stoo.
3. Kulipia leseni.
4. Service levy.
5. Kulipia fire extinguishers
6. Kodi ya pango la frame Kariakoo.
7. Kodi ya pango la store.
8. Kibali cha Tbs.
9. Kodi ya parking.
10. Kodi ya majitaka.
11. Mfumuko wa bei,Machinga anauza 10,000 mwenye frame anauza 20,000 kufidia mikodi na tozo.
12. Kodi ya Choo.
13. Kodi ya Ulinzi dukani.
14. Kodi ya Ulinzi store,
15. Faini ya kila jioni ukikamatwa na mzigo toka dukani kurudisha store.
16. Bill ya Umeme.
17. Kulipa Wafanyakazi na wabeba mizigo.
18. Died stock.
19. Kodi ya meza nyumbani,na ada ya watoto.
20. Bima ya Afya.
Ebu Tra nanyi mfungue maduka Kariakoo mlipe hizi kodi zote,hili mjue sisi hela hatuchumi kwenye mti kuwapa ninyi na sijui kama zinafika mahali husika.
Maduka wanayo mkuu pale kariakoo ila ni FREE OF CHARGE.Sikuzote wanaoteseka ni maskini na wote wasio na wateteziWAFANYAKAZI WA TRA FUNGUENI MADUKA KARIAKOO NANYI MLIPE KODI HIZI
Mimi mfanyabiashara nacomply,ukiniita nakuja,nadaiwa Milioni 100 nimelipa yote bado Milioni 3 mnanifungia mashine,basi fungueni nyinyi maduka mlipe na hizi kodi zote,
1. Kodi ya mzigo unapoingia bandarini.
2. Kodi ya mapato dukani na stoo.
3. Kulipia leseni.
4. Service levy.
5. Kulipia fire extinguishers
6. Kodi ya pango la frame Kariakoo.
7. Kodi ya pango la store.
8. Kibali cha Tbs.
9. Kodi ya parking.
10. Kodi ya majitaka.
11. Mfumuko wa bei,Machinga anauza 10,000 mwenye frame anauza 20,000 kufidia mikodi na tozo.
12. Kodi ya Choo.
13. Kodi ya Ulinzi dukani.
14. Kodi ya Ulinzi store,
15. Faini ya kila jioni ukikamatwa na mzigo toka dukani kurudisha store.
16. Bill ya Umeme.
17. Kulipa Wafanyakazi na wabeba mizigo.
18. Died stock.
19. Kodi ya meza nyumbani,na ada ya watoto.
20. Bima ya Afya.
Ebu Tra nanyi mfungue maduka Kariakoo mlipe hizi kodi zote,hili mjue sisi hela hatuchumi kwenye mti kuwapa ninyi na sijui kama zinafika mahali husika.
WEWE ndio hujielewi sabb hao TRA wanatimiza wajibu wao waliopewa na mwajiri wao uyo Samia na kasimu majaliwa... Sasa wewe unashupaza shingo kuwaattack TRA as if ndio waliopitisha hzi Kodi na kuzisaini wao...Hujielewi
Ulipojifunza kuhusu hyo biashara ya suti nazani ulijifunza mengi ndipo ukaamua kuingia umo..kosa Moja watz wanafanya ni kutojifunza kuhusu Mamb ya Kodi na Sheria zake ktk biashara husika anayotaka kufanya..Mazungumzo kwenye ukadiriaji kodi ndo mtiti. Mimi nimeingiza bidhaa, let's say, suti za kiume toka Uturuki za materio fulani. Nakadiriawa kodi milioni 200. Mtu mwingine kaagiza the same quality na quantity ya mzigo kama wangu. Kakadiliwa kodi milion 80 au pungufu ya hapo. Sasa unategemea hawa watu wawili kwenye soko itakuwaje?
So far, kodi ni nyingi na nyingine hazina majina na zina highest rates ambazo hazilipiki, na sheria hazitekelezeki.
Kuna biashara za wakubwa hazitozwi kodi na biashara za wengine wasio kuwa na nasaba au muhali na viongozi zitozwe utitiri wa kodi. Hapo ni ngumu wengine kulipa kodi na kufanya biashara.
Ushauri wangu:
Ni wangu mtizamo. Naruhusu kupingwa kwa hoja.
- Rates za kodi zipunguzwe, na ikiwezekana hata VAT iwe 10-12%.
- Sheria za kodi ziangaliwe upya na zirekebishwe kwa maslahi ya taifa.
- Teknolojia rafiki itumike kwenye ukusanyaji wa kodi.
- Liundwe jeshi kamili kudhibiti magendo na watumishi wa TRA, TPA, na mamlaka za udhibiti ambazo zinahusika pale ambapo mtumishi ata miconduct, kama kusababisha urasimu, rushwa, nk.
- Elimu itolewe kila mwananchi atambue umuhimu wa kulipa kodi, sambamba na kila mwananchi ahiari na ashurutishwe kulipa kodi.
Wafanya biashara sio kama hawataki kulipa Kodi ishu iliyopo ni hizo sera TRA kuusu hayo malipo ya KodiNeno kilaza sikulianza mimi bali wewe ukimwambia the boss na ndio maana nikaandika "unapenda ukilaza/vilaza"....ok mgosi sasa unautafuta msamiati ulio sahihi......
Mgosi ni hivi....hata muuaji wa kweli anajitetea mahakamani kupitia yeye binafsi na wakili wake.....
Hao wafanyabiashara wanatetea maslahi yao.....wana haki hiyo.....kwani duniani kote mfanyabiashara anataka maximization of profit tu....hizo nchi zilizoendelea wameweka utaratibu wa lazima wa kulipa kodi....kupitia elimu ya kodi kwa kila mwananchi.....wananchi na wafanyabiashara wao wanaelewa.....ngoma iko kwetu sisi Waswahili......hatutaki/hatupendi kuweka risiti ya mlolongo wa biashara zetu....kwetu ni "shortcut" tu....sasa huo uhuru tutakao unapatikana wapi ??!!!
Kulipa kodi ni sawa na zaka za dini.....zaka si sadaka na si hiyari......
Lipa kodi acha "umbubu"......
TRA kila mwaka ukienda kukadiliwa kodi inapanda hawajui kama mwaka huo ulipata hasara au laa, mfanyakaz uwez ukarijua hili sababu wewe sio risk taker, na kitanda usicho kilalia kamwe uwez jua kunguni wakeBora ya mchawi kuliko MKWEPA KODI......lipa kodi uendelee kuwa MSAFI WA MATENDO....karibu kilingeni[emoji120]
Tangu jana unajitoa sana ufahamuTra anahusikaje na Bima ya afya?
Umeme?
Ulinzi?
Mishahara ya wafanyakazi wako?
Ada za watoto wako??
Hivi vyote ndo visingizio msilipe kodi???
Lipeni Kodi ....
Ndio maana Kuna mwaka nilienda Mbeya nikaenda pale Muanjerwa kununua nguo nikakuta bei rahisi sana kulinganisha na kariakoo nilipo muuliza mweji wangu akaniambia hizi nguo zinatoka ZambiaWafanya biashara sio kama hawataki kulipa Kodi ishu iliyopo ni hizo sera TRA kuusu hayo malipo ya Kodi
Mfano halisi kama sera zetu zimetungwa na vilaza ni hu
Kontena la vitenge kutoka China bandari ya Kenya linatoka Kwa ushuru wa 45M
Kontena kama hilo katika bandari ya Daresalaam linatoka Kwa ushuru wa 300M
Matokeo ya ubovu wa sera za Kodi za TRA zinatufanya Watanzania tuende tukachukue mzigo Zambia au Malawi ndio unakuwa na nafuu kuliko ukiagiza kutoka China
Kibaya zaidi hiyo mizigo ya Zambia na Malawi yote imepitia katika bandari yetu ya Daresalaam
Yani badala Tanzania ilishe wafanya biashara wa nchi zisizo na bandari imekuwa kinyume chake wafanya biashara wa Tanzania walishwa bizaa na nchi ambazo hazina bandari
Kwa lugha rahisi wafanya biashara wa nchi zisizo na bandari wanafaidika na bandari yetu kuliko wafanya biashara wetu
Hi nchi Ina vilaza wengi sana