Wafanyakazi wa TRA nanyi fungueni maduka Kariakoo mlipe kodi hizi

Upo sahihi zambia wanatoza kodi kidogo endelevu iyo inapelekea wafanyabiashara wapende kununua mizigo zambia tena na tena na Tanzania tuna toza kodi nyingi/kubwa kwa mara moja hivyo wafanyabiashara wengi wanakimbia na kusababisha mianya ya megendo
 
Hata hiyo ndogo kajitahid sana mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…