Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Busara huwa inaanzia umri upi?Kwa umri wao busara waitoe wapi?
Vitoto vya elfu mbili shida iko mingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Busara huwa inaanzia umri upi?Kwa umri wao busara waitoe wapi?
Vitoto vya elfu mbili shida iko mingi sana
Hawakutakiwa kutumia nguvu hata kidogo ni kinyume na sheria kwa taasisi ya fedha hii imekula kwaoYawezekana mdaiwa alitumia nguvu nyingi sana ikapelekea na wao kutumia nguvu zaidi Ili kumdhibiti vinginevyo pengine angewauwa wao ni bora afe mmoja kuliko wangekufa watu wanne
Miaka 40,chini ya hapo ni kuokotezaBusara huwa inaanzia umri upi?
Kama ni hivyo,wote tungekufa au kupata dhahma mbaya kwenye umri mdogo.Ili twende sawa,tutumie neno "AKILI" ili isikuletee ukakasi kwenye tafsiri.Miaka 40,chini ya hapo ni kuokoteza
Vijana bado wadogo sana wanakula kitanzi!!Wafanyakazi wanne wa taasisi ya mikopo ya OYA wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kibaha kwa tuhuma za mauaji ya kukusudia ya Juma Said Seif (45), mkaazi wa Kitongoji cha Mbagala Mlandizi Mkoani Pwani yaliyofanyika Oktoba 7. 2024...
Na upo uwezekano walimpeleka hospitali kwa sababu ya kujua kwamba walijulikana tayari wametoka OYA na hawakuwa na ujanja wa kukataa tena.Kumpeleka hospitali inaonesha hawakukusudia kuua. Wakipata mwanasheria mzuri anaweza kuwasaidia kubadili kesi, ila kifungo hakiepukiki.
Naona wote under 40, umri wa mihemuko kuliko busara. Mungu awavushe salama.Wakili wa Serikali, Monica Mwela amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Dastan John Charles (23), Christopher John Charles (23), Emmanuel Joshua Olala(24) ambao ni wakazi wa Kilangalanga Mlandizi pamoja na Abdallah Felix Wendiliwe (32) mkaazi wa Janga Mlandizi.
Siko hapa kukwepa ukakasi nipo hapa kusema ukweli,binadamu akifika miaka arobaini ndio anakuwa amekomaa,ndio maana wanasema maisha yanaanza kwenye miaka 40Kama ni hivyo,wote tungekufa au kupata dhahma mbaya kwenye umri mdogo.Ili twende sawa,tutumie neno AKILI isikuletee ukakasi kwenye tafsiri.
Nimeipenda hiiNaona wote under 40, umri wa mihemuko kuliko busara. Mungu awavushe salama.
Ningekuwa hakimu ningewapata na kosa la involuntary manslaughter sio murder na kisha kuwapunguzia adhabu kwa sababu hawakukusudia na walimkimbiza hospital.wanakula nyundo wote hao wanafia jela
Ingekuwa hivyo hata kuoa/kuolewa ingekuwa ni hadi watu wafike miaka 40.Kuna mambo hayahitaji ubishi au kuonesha ukakamavu.Akili itangulie kwanza.Think before you do anything.Siko hapa kukwepa ukakasi nipo hapa kusema ukweli,binadamu akifika miaka arobaini ndio anakuwa amekomaa,ndio maana wanasema maisha yanaanza kwenye miaka 40
Hata mitume wengi walipewa utume walipofikia miaka 40
Hata katiba ya tanzania raisi afikie miaka 40
Chini ya hapo ni kuokoteza tu
Haikuwazuia kutoroka.Na upo uwezekano walimpeleka hospitali kwa sababu ya kujua kwamba walijulikana tayari wametoka OYA na hawakuwa na ujanja wa kukataa tena.
Naendesha na kumiliki kampuni ya ukusanyaji wa madeni, huwa nahamasisha Sana collection instead of recovery haswa yenye utumiaji wa nguvu na pia inanisaidi kuondoa a na kesi za madai za kila leo, kwangu na kwa wateja wangu na bado inaacha mazingira ya urafiki na sio uaduiWafanyakazi wanne wa taasisi ya mikopo ya OYA wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kibaha kwa tuhuma za mauaji ya kukusudia ya Juma Said Seif (45), mkaazi wa Kitongoji cha Mbagala Mlandizi Mkoani Pwani yaliyofanyika Oktoba 7. 2024.
Wakili wa Serikali, Monica Mwela amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Dastan John Charles (23), Christopher John Charles (23), Emmanuel Joshua Olala(24) ambao ni wakazi wa Kilangalanga Mlandizi pamoja na Abdallah Felix Wendiliwe (32) mkaazi wa Janga Mlandizi.
Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Kibaha, Emmaeli Lukumai amesema ushahidi wa kesi hiyo iliyosomwa kwa mara ya kwanza bado haujakamilika, hivyo kesi hiyo imehairishwa hadi Oktoba 30 mkwaka huu.
Wakati wakisomewa kesi hiyo, watuhumiwa hawakutakiwa kujibu lolote kwa sababu mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi ya mauaji. Watuhumiwa wote wamerudishwa rumande.
Chanzo: AZAM TV
Pia soma ~ Kampuni ya OYA watoa milioni 1 kwa familia Juma Mfaume ambaye alifariki baada ya kupigwa na wafanyakazi wa kampuni hiyo
Oya
Walianza kuongea.Wakaja kufokeana.Wakaenda mbele kutukanana na kutishiana.Hawakuishia hapo,wakatafuta gongo.Wakampiga(sijajua ni mara ngapi).Baada ya kuona wamejeruhi na wametambulika ni wafanyakazi wa OYA na hawana ujanja tena wa kuhepa dhahma ndiyo wakamkimbiza hospitali.Sidhani kama huruma ndiyo iliwaongoza.Na,haijulikani kama mdaiwa alifia palepale,njiani au hospitali!Ningekuwa hakimu ningewapata na kosa la involuntary manslaughter sio murder na kisha kuwapunguzia adhabu kwa sababu hawakukusudia na walimkimbiza hospital.
Sema maisha haya, hapo hakuna hata mmoja ambaye aliwahi fikiria ipo siku atashtakiwa kwa kuua aisee.
Akili ni kwa ajili ya kufikiri tu,kwahiyo ndio maana tunaoa kwasababu sisi sio wanyama,tunajua hatuwezi kuparamiana siku zote au katika maisha yetu yoteIngekuwa hivyo hata kuoa/kuolewa ingekuwa ni hadi watu wafike miaka 40.Kuna mambo hayahitaji ubishi au kuonesha ukakamavu.Akili itangulie kwanza.Think before you do anything.
Akili za kuambiwa changanya na zakoWafanyakazi wanne wa taasisi ya mikopo ya OYA wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kibaha kwa tuhuma za mauaji ya kukusudia ya Juma Said Seif (45), mkaazi wa Kitongoji cha Mbagala Mlandizi Mkoani Pwani yaliyofanyika Oktoba 7. 2024.
Wakili wa Serikali, Monica Mwela amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Dastan John Charles (23), Christopher John Charles (23), Emmanuel Joshua Olala(24) ambao ni wakazi wa Kilangalanga Mlandizi pamoja na Abdallah Felix Wendiliwe (32) mkaazi wa Janga Mlandizi.
Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Kibaha, Emmaeli Lukumai amesema ushahidi wa kesi hiyo iliyosomwa kwa mara ya kwanza bado haujakamilika, hivyo kesi hiyo imehairishwa hadi Oktoba 30 mkwaka huu.
Wakati wakisomewa kesi hiyo, watuhumiwa hawakutakiwa kujibu lolote kwa sababu mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi ya mauaji. Watuhumiwa wote wamerudishwa rumande.
Chanzo: AZAM TV
Pia soma ~ Kampuni ya OYA watoa milioni 1 kwa familia Juma Mfaume ambaye alifariki baada ya kupigwa na wafanyakazi wa kampuni hiyo