mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Kufanya mambo kihemuko tuWanaweza kuwafanya shamba darasa .
Vijana wadogo ambao emotional intelligence bado IPO chini.
Ila siku zote kifo kina tafutaga sababu tu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufanya mambo kihemuko tuWanaweza kuwafanya shamba darasa .
Vijana wadogo ambao emotional intelligence bado IPO chini.
Sijui walikua wana ujasiri gan aisee mpaka kufikia hatua hiyo? Au wanatumia bangi??Hawa ndio walimpiga mpaka wamuua yule jamaa... kwa sasa ni majuto tu na kampuni imewakana
Wangeongeza makosa kwa kuua(kukusudia) na kukimbia.Wanted hadi wangepatikana tu.Haikuwazuia kutoroka.
Sawa.Wangeongeza makosa kwa kuua(kukusudia) na kukimbia.Wanted hadi wangepatikana tu.
Unapoeleza kwamba akili ni kwa ajili ya kufikiri tu unamaanisha nini?Kwamba mtu anakuwa na ukomo wa kuitumia akili?Kwamba mtu anakuwa na uchaguzi wa baadhi ya mambo ili atumie akili?Akili ni kwa ajili ya kufikiri tu,kwahiyo ndio maana tunaoa kwasababu sisi sio wanyama,tunajua hatuwezi kuparamiana siku zote au katika maisha yetu yote
busara ni kuliweka kila jambo mahala pake hiyo ndio maana ndogo ya busara
sasa ni wachache sana wanaliweza hilo lkn at 40's unakuwa na nyenzo hiyo
Walikuwa na akili ya kukusanya deni tu na ndio maana walifanya waliyofanya,yani akili iliwapa option moja tu walipwe hela yao ndio walivyofikiriUnapoeleza kwamba akili ni kwa ajili ya kufikiri tu unamaanisha nini?Kwamba mtu anakuwa na ukomo wa kuitumia akili?Kwamba mtu anakuwa na uchaguzi wa baadhi ya mambo ili atumie akili?
SWALI:Hao vijana akili zao zilijilazimisha kutumika kutafuta vurugu,ugomvi hadi kuua tu bila hizo akili zao kuchagua amani,suluhu na kuomba usaidizi wa viongozi au kisheria?
Umri si hoja.Mob psychology,kupokea maagizo ya mwajiri bila kuyachuja kama ng'ombe,kutanguliza undava,kutokukubali kushindwa na mazoea ya waliyokuwa wanawafanyia wengine iliwafanya kutotumia akili kuepusha dhahma.Naona wote under 40, umri wa mihemuko kuliko busara. Mungu awavushe salama.
Basi kampuni imeajiri vichaa ambao hawajui wala hawawezi kutumia hizo akili zao kulingana na mazingira husika.Walikuwa na akili ya kukusanya deni tu na ndio maana walifanya waliyofanya,yani akili iliwapa option moja tu walipwe hela yao ndio walivyofikiri
Maana ishu ilikuwa mke kakopa bila mume kujua,kwahiyo ilitakiwa mke awepo athibitishe hilo
Busara ingewataka waliweke kila jambo mahala pake,na mahala pake ni kumsubiri mke awepo athibitishe hilo deni mbele ya mumewe na kuchukua dhamana period
Sio kwamba hawakutumia akili,walitumia ndio maana walienda katika nyumba ile na si kwako Moisemusajiografii ,hawajatumia bussaraUmri si hoja.Mob psychology,kupokea maagizo ya mwajiri bila kuyachuja kama ng'ombe,kutanguliza undava,kutokukubali kushindwa na mazoea ya waliyokuwa wanawafanyia wengine iliwafanya kutotumia akili kuepusha dhahma.
Life ni upofu mkuuNingekuwa hakimu ningewapata na kosa la involuntary manslaughter sio murder na kisha kuwapunguzia adhabu kwa sababu hawakukusudia na walimkimbiza hospital.
Sema maisha haya, hapo hakuna hata mmoja ambaye aliwahi fikiria ipo siku atashtakiwa kwa kuua aisee.
WAlitumia akili sana ila hawakutumia busara,najua umezoea sana neno akili hahahaBasi kampuni imeajiri vichaa ambao hawajui wala hawawezi kutumia hizo akili zao kulingana na mazingira husika.
akili sana ila hawakutumia busara,najua umezoea sana neno akili hahaha
HahahaKabisa sasa wadaiwa sugu tumepumzika kwakweli 🤣🤣
Akili ina mambo mawili kwa mtazamo wangu ni kufanya na kutofanyaIKama walitumia akili basi walitumia akili mbovu.Na ulisisitiza awali kwamba busara ni hadi wangefika umri wa miaka 40.
Unamalizaje mjadala haraka hivyo mkuu?Mimi nilikuwa nataka tubishane tu ili nipate njaa.Akili ina mambo mawili kwa mtazamo wangu ni kufanya na kutofanya
Moyo ndio nyenzo ya ufahamu
Na busara/hekima ni kuliweka kila jambo mahala pake
Asante boss
Aisee..Wafanyakazi wanne wa taasisi ya mikopo ya OYA wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kibaha kwa tuhuma za mauaji ya kukusudia ya Juma Said Seif (45), mkaazi wa Kitongoji cha Mbagala Mlandizi Mkoani Pwani yaliyofanyika Oktoba 7. 2024.
Wakili wa Serikali, Monica Mwela amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Dastan John Charles (23), Christopher John Charles (23), Emmanuel Joshua Olala(24) ambao ni wakazi wa Kilangalanga Mlandizi pamoja na Abdallah Felix Wendiliwe (32) mkaazi wa Janga Mlandizi.
Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Kibaha, Emmaeli Lukumai amesema ushahidi wa kesi hiyo iliyosomwa kwa mara ya kwanza bado haujakamilika, hivyo kesi hiyo imehairishwa hadi Oktoba 30 mkwaka huu.
Wakati wakisomewa kesi hiyo, watuhumiwa hawakutakiwa kujibu lolote kwa sababu mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi ya mauaji. Watuhumiwa wote wamerudishwa rumande.
Chanzo: AZAM TV
Pia soma ~ Kampuni ya OYA watoa milioni 1 kwa familia Juma Mfaume ambaye alifariki baada ya kupigwa na wafanyakazi wa kampuni hiyo
Kampuni Iko busy kujisafisha. Dhambi zao watazibeba wenyewe.Hawa ndio walimpiga mpaka wamuua yule jamaa... kwa sasa ni majuto tu na kampuni imewakana