City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Uko sahihi mkuu.Unapoagizwa kufanya jambo hata kama umeambiwa utumie nguvu,tanguliza busara zaidi.Utaharibu maisha yako kwa mambo ya kumtetea tajiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi mkuu.Unapoagizwa kufanya jambo hata kama umeambiwa utumie nguvu,tanguliza busara zaidi.Utaharibu maisha yako kwa mambo ya kumtetea tajiri.
KabisaUnapoagizwa kufanya jambo hata kama umeambiwa utumie nguvu,tanguliza busara zaidi.Utaharibu maisha yako kwa mambo ya kumtetea tajiri.
Ndio suala la umri linapokuja, approach ya mtu mzima mara nyingi haina papara wala mihemuko, hufuata taratibu zaidi.Basi kampuni imeajiri vichaa ambao hawajui wala hawawezi kutumia hizo akili zao kulingana na mazingira husika.
Naona samia ameshawapa msemo mpya wa kutetea mauaji,kwa hiyo wewe kufa mmoja kwako siyo tatizo ila wakifa wanne ndiyo tatizo siyo?Yawezekana mdaiwa alitumia nguvu nyingi sana ikapelekea na wao kutumia nguvu zaidi Ili kumdhibiti vinginevyo pengine angewauwa wao ni bora afe mmoja kuliko wangekufa watu wanne
Acha wavune kile walichopanda
WatajijuaWana umri mdogo sana
Vijana wana akili kama za kina Nyundo, yaani wote wana akili za maroboti, wanatekeleza kile walicho tumwa!!Uko sahihi mkuu.
Upo sawa? Umekuwa mpole mno!tusipende vurugu
Wapumbavu sana.Vijana wana akili kama za kina Nyundo, yaani wote wana akili za maroboti, wanatekeleza kile walicho tumwa!!
Kabisa. Fimbo moja tu au ngumi inaweza kukupa shtaka la kuua. Siku zote pigana au fanya ugomvi pale inapobidi sana. Vivyo hivyo hivyo kwa huyo waliyemuua. Angekaa pembeni awaache wachukuwe vifaa na achukuwe hatua za kimahakama pengine angekuwa hai mpaka leotusipende vurugu
HakikaMajuto ni mjukuu, ubabe wa kishamba mwisho wao ndo huo
Wanashtakiwaje bila mwajiri wao?
KabisaKampuni Iko busy kujisafisha. Dhambi zao watazibeba wenyewe.
Wanadai ndivyo walivyoSijui walikua wana ujasiri gan aisee mpaka kufikia hatua hiyo? Au wanatumia bangi??