HatarWazee wa magendo Wana balaa, usiwafate hata kidogo. Hiyo road ya Tunduma-Mbeya kwenye milima mikali ya Iwambi,Songwe,senjere,chapwa,Old Vwawa wao ndio sehemu wanapokuacha wanafunguka hawaogopi malori yanayopita na gari wanatumia za kawaida.
Msabe huujui Ila nadhani kyindi na wolans unazijua.😂😂😂😂😂hivi msabe hii ni pombe ya nini?
Niliisikia kipindi fulani iringa na sasa Makunguru unasema
DhuuuuMsabe huujui Ila nadhani kyindi na wolans unazijua.
Msabe Ni pombe Fulani ukiiangalia utadhani Kuna siafu wamefia humo.
Mkuu poleni sana.Hawa jamaa walikua wanakimbiza gari yenye mzigo wa magendo, mwenye hio gari aliovertake hilo lori kukawa na lori lingine linakuja face to face (mwenye magendo) akafanikiwa kulipita hilo lori, hii cruiser ikashindwa kupita maana lori lingine lilikua karibu tayari ikabidi jamaa apige hili lori kwa nyuma ndo akazama uvunguni..ila yote kwa yote hata tusemaje ndugu zetu hawa hawawezi kurudi tenda...pumzika kwa Amani mwanangu Saidi Buddy....jamaa alikua mwana kichizi....
Na mimi nimewaza kama wewe mkuu. Tunaweza kuongea mengi hapa, lakini ukweli ni kwamba hawa walikua ni watu wapo katika kujitafutia riziki zao kwa njia wanazojua wao, kama jinsi ambavyo mimi na wewe pia tuna njia zetu za kujitafutia riziki tunazozijua sisi.Ajali kazini
Rudisha hii avatar picha yako ya awali tuliyokuzoea.Dah Jamaa wamekuwa trapped kizembe sana. anyway hili linaweza kuwa funzo kwa wengine ! Gari ya magendo huwa inafuatiliwa kimkakati siyo kuikimbiza
Hawa jamaa walikua wanakimbiza gari yenye mzigo wa magendo, mwenye hio gari aliovertake hilo lori kukawa na lori lingine linakuja face to face (mwenye magendo) akafanikiwa kulipita hilo lori, hii cruiser ikashindwa kupita maana lori lingine lilikua karibu tayari ikabidi jamaa apige hili lori kwa nyuma ndo akazama uvunguni..ila yote kwa yote hata tusemaje ndugu zetu hawa hawawezi kurudi tenda...pumzika kwa Amani mwanangu Saidi Buddy....jamaa alikua mwana kichizi....
Na Wote vijana vijana tu akili zao bhana na kufata mkumbo
Mmh aisee Kama kweli alikanyaga breki ili wajae Basi huyo dereva sio!Jamaa atakuwa alikandamiza brake bila shaka yani jamaa anataka kuitolea ubavuni tu jamaa akamtilia brake zote jamaa wakajaaa mazima 😂😂😂af Fuso unaita kiroli labda ikiwa tupu ila ikiwa fully loaded ni mziki mwengine!
Mzee wa kutabasamuKi
akajiokoa kwa style hio 😹😹😹 hawa madereva wa SU na ST wanazingua sana wakiwa highway
Ninachojiuliza kwanini wafukukuzie gari wakati barabarani kuna askari wa usalama, kukimbiza gari barabarani kwa kuwa ni TRA ni hatari hata kwa usalama wa watu wengine na mwisho Mbeya na Songwe ni mikoa miwili tofauti ilikuwaje watumishi wa TRA wa mkoawa Mbeya wakafanye operesheni mkoa wa Songwe je waliruhusiwa na nani? je mkoa wa Songwe hawana TRA, je wakati wanaenda Mbozi waliwasiliana na wenzao wa Mkoa wa Songwe?Wafanyakazi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kikosi kazi cha Fast Track wamefariki dunia kwa ajali ya gari aina ya Landcluser lililogonga kwa nyuma Lori aina Fuso. Walikuwa wakifukuzana na gari iliyodhaniwa kubeba magendo
Ajali hiyo imetokea leo Agosti 23, 2021 saa 11 alfajiri katika barabara ya Mbeya Tunduma eneo la Hanseketwa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe.
Kaimu Meneja wa Forodha wa TRA wa Tunduma, Omary Mnzava amewataja watumishi watano wa mamlaka hiyo kikosi kazi cha fast track waliofariki ajalini leo asubuhi Jumatatu mkoani humo ni Azari Shifonike ambaye ni dereva, Joel Mitondwa, Saidi Buddy, Fahad Hassan na Benard Mashingi.
Umewaza vizuri, Mimi pamoja na kwamba huwa nawakubali Sana baadhi ya madereva wa maloli makubwa kwa umakini barabarani, lakini baadhi yao wana dosari katika parking hasa magari hayo yanapoharibika akiwa barabarani, endapo gari linapata breakdown. Wengi huwa analiacha ndani kabisa ya barabara "kicheche" Jambo ambalo ni hatari sana hususan miss ya giza. Niwashauri wawe wanapaki nje kabisa ya barabara.On a serious note, tunahitaji sheria kali dhidi ya magari mabovu barabarani. Hatuwezi kugeuza barabara kuwa garage, watu wengi sana wamekufa kwa sababu ya magari yaliyoharibika barabarani.
KaribuuMzee wa kutabasamu
Ni Kama Ole Sabaya alivyokua ana operate Hai,Arusha mjini,Dar kwa kutumwa na mamlaka iliyomteua,so nao Ni hivyo hivyo labda.Ninachojiuliza kwanini wafukukuzie gari wakati barabarani kuna askari wa usalama, kukimbiza gari barabarani kwa kuwa ni TRA ni hatari hata kwa usalama wa watu wengine na mwisho Mbeya na Songwe ni mikoa miwili tofauti ilikuwaje watumishi wa TRA wa mkoawa Mbeya wakafanye operesheni mkoa wa Songwe je waliruhusiwa na nani? je mkoa wa Songwe hawana TRA, je wakati wanaenda Mbozi waliwasiliana na wenzao wa Mkoa wa Songwe?
STL wanajionaga kings wa road kinoma. Mafuta wanachota bohari na spare wanapeleka tu kwa quotation. Yaani sema ndio ivo wapumzike kwa amani.
in short una maana wapo tayari kwa lolote lile na hawana kitu cha kupoteza kwa hiyo unapo changa karata zako kuwa makini.Kifupi ukiona gari ya megendo imekataa kusimama achana nayo. Ongea na polisi wa check point waweke kikwazo.
Wale madereva ni sawa na mtu asiyetumia kondom kwa mwanamke wa bar ya Kinondoni.