macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Koma kabisa kudhalilisha Kinondoni yetu. Mabaameidi wetu wa wa viwango siyo kama wa kwenu BuzaExactly.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Koma kabisa kudhalilisha Kinondoni yetu. Mabaameidi wetu wa wa viwango siyo kama wa kwenu BuzaExactly.
Kweli au unakuta ana chombo ya mjerumani halafu wanajireta na mkonga waoSi walikuwa mwendo
Wanafata mwendo wa gari ya magendo
Gari za magendo zinakwenda mzee
Ova
Vile vile polisi wanaweza wakachukua rushwa halafu wakasema hatujaona hiyo gari ,aisee hapo kila mtu anafukuzia dili
Mara nying noah wanatumiaKweli au unakuta ana chombo ya mjerumani halafu wanajireta na mkonga wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Gari inapoharibika njiani kama huwezi kuitoa pale ni laziwe uweke alama za warning kutoka mbali ili magari yanayokuja yapunguza mwende.Wangelitoaje hapo..si kila section ya barabara unaweza litoa gari nje au pembezoni hasa hayo yenye mizigo. Barabara zetu ni nyembamba sana..na zingine pembezoni kuna mitaro, korongo au mwuinamo ambao kwa gari inakua ngumu kuliingiza humo.
Mwendo kasi ni kitu kibaya sana sana. Kama walikuwa speed kali na gari ya mbele iko njiani kwenye kona chochote kinaweza kutokea. Au kama ni usiku. All in all. Ni lazima kuna uzembe ulitokea.Hii ajali ya ajabu aisee! Sasa inakuwaje dereva anagonga gari kwa nyuma alikuwa haoni ama ni mambo ya mzizioloji 👻?
Soma kwa utulivu... Ajira siyo ajali 5Ajali tano zipi tena zingine?
Au na ya mama Agnes?
Mpe poleNiko hapa na Dada wa Joel tunatoka semina ni amevunjika moyo vibaya naomba gari ifike apumzike ndani
😂😂😂😂😂hivi msabe hii ni pombe ya nini?Ukiwakuta kwenye kumi na nane zao utadhani hawaendi chooni. Yaani wastaarabu Fulani Kama Ni bar utakuta wanakunywa HENNESSY wakati mama zao wanauza ulanzi na msabe kwenye vilabu vya Makunguru Mwanjelwa
Kijana hautaki kuwa mzalendo?!Taifa lenyewe hili la Tanzania au jingine, ulifie wewe wengine wakagawane tozo ujinga gani huu😳😳😳
Yaani fikiria wewe ndio baba au mama, umeenda kazini halafu hurudi tenaaa
Mungu awape uvumilivu familia zao
Uenda ilikuwa kwenye kona kali mara dereva wao akakutana na lorry.Hii ajali ya ajabu aisee! Sasa inakuwaje dereva anagonga gari kwa nyuma alikuwa haoni ama ni mambo ya mzizioloji 👻?
Saa 11 alffajiri!!!! Ndo muda wao wa kufanya kazi? Kama ni issue ya magendo polisi si ndo walipaswa kufatilia? Hapa kuna harufu ya upigaji tu hakuna kingine. Mungu azipe nguvu familia zao.Songwe. Wafanyakazi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) wamefariki dunia kwa ajali ya gari aina ya land cruiser lililogonga kwa nyuma Lori aina Fuso.
Ajali hiyo imetokea leo Agosti 23, 2021 saa 11 alfajiri katika eneo la Hanseketwa wilayani Mbozi, Songwe.
Polisi imethibitisha
Kwani unafiri hawajui majukumu yao mkuu, hapo kulikuwa na ulaji ndo maana wakaamua kulivalia njuga wenyewe.Kuna mahali watumishi wa kila idara nchi hii wafundishwe namna ya kutekeleza majukumu yao na ikiwa yamewazidi unga ni hatua ipi ifanywe na idara nyingine,
Wewe huyo huyo mtoza ushuru wewe huyo huyo unataka uwe polisi na wewe huyo huyo unataka uwe usalama daah nchi yangu wapi inakwenda[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hawa jamaa walikua wanakimbiza gari yenye mzigo wa magendo, mwenye hio gari aliovertake hilo lori kukawa na lori lingine linakuja face to face (mwenye magendo) akafanikiwa kulipita hilo lori, hii cruiser ikashindwa kupita maana lori lingine lilikua karibu tayari ikabidi jamaa apige hili lori kwa nyuma ndo akazama uvunguni..ila yote kwa yote hata tusemaje ndugu zetu hawa hawawezi kurudi tenda...pumzika kwa Amani mwanangu Saidi Buddy....jamaa alikua mwana kichizi....Mi sio trafiki, ila hawa jamaa wanaonekana walikua wana overtake wakakutana face to face.. maana wapo upande wa kulia.. yaan ugonge gari kwa nyuma uchakae hivo?