TANZIA Wafanyakazi watano wa TRA wafariki dunia kwenye ajali

TANZIA Wafanyakazi watano wa TRA wafariki dunia kwenye ajali

Walikuwa wakilikimbiza gari lililohisiwa kubeba magendo.
TRA wanalazimisha kmajuku yasiyo kuwa yao; kazi ya kufukuza na kukamata wafanya magendo ni ya polisi. Wao TRA walitaka wawahi mgawo. Polisi huwa na training maalumu ya kufukizia magari kwa spidi kubwa.

Anya RIP, na pole sana kwa wafiwa. Watakuwa wameachia familia zao pendo kubwa sana kwani afisa wa TRA ndani ya familia siyo haba.
 
On a serious note, tunahitaji sheria kali dhidi ya magari mabovu barabarani. Hatuwezi kugeuza barabara kuwa garage, watu wengi sana wamekufa kwa sababu ya magari yaliyoharibika barabarani.
Mkuu wewe ni dereva? Hv unafikiri gari kuharibika ni jambo la kupanga?
 
Mkuu wewe ni dereva? Hv unafikiri gari kuharibika ni jambo la kupanga?
Sijasema ni jambo la kupanga, ninachosema ni kwamba barabara isiguezwe garage. Dereva una wajibu wa kuendesha gari zima, na kama likiharabika kwa bahati mbaya, linapaswa kutolewa barabarani, ili lisiwe kikwazo au hatari kwa watu wengine. Simple
 
Wamekufa kizembe sana. Hiyo ni kazi ya polisi. Walitakiwa wawapigie polisi wakamate gari na waangalie km wamelipa kodi.
Kuna polisi kila kituo kwahiyo ilikuwa rahisi sana.
KIKOSI kazi kinakuaga na watu wote, TRA, polisi, TBS, n.k
 
Sijasema ni jambo la kupanga, ninachosema ni kwamba barabara isiguezwe garage. Dereva una wajibu wa kuendesha gari zima, na kama likiharabika kwa bahati mbaya, linapaswa kutolewa barabarani, ili lisiwe kikwazo au hatari kwa watu wengine. Simple
Wangelitoaje hapo..si kila section ya barabara unaweza litoa gari nje au pembezoni hasa hayo yenye mizigo. Barabara zetu ni nyembamba sana..na zingine pembezoni kuna mitaro, korongo au mwuinamo ambao kwa gari inakua ngumu kuliingiza humo.
 
Wangelitoaje hapo..si kila section ya barabara unaweza litoa gari nje au pembezoni hasa hayo yenye mizigo. Barabara zetu ni nyembamba sana..na zingine pembezoni kuna mitaro, korongo au mwuinamo ambao kwa gari inakua ngumu kuliingiza humo.
Kwani kazi ya breakdown ni nini? Gari inatolewa Mbeya kuja mpaka Dar. Magari mabovu yameua watu wengi sana barabarani, Kuwe na utaratibu wa kutoa hayo magari, au mpaka wafariki viongozi ndio tutaona umuhimu wa hili.
 
Kwani kazi ya breakdown ni nini? Gari inatolewa Mbeya kuja mpaka Dar. Magari mabovu yameua watu wengi sana barabarani, Kuwe na utaratibu wa kutoa hayo magari, au mpaka wafariki viongozi ndio tutaona umuhimu wa hili.
Gari ikiharibika unaita breakdown..inaelekea hujawahi pata shida barabarani wewe...na inawezekana kulikua na hitilafu ndogo tu..au ni neglegensi ya huyo dereva wa TRA..Akakanyaga kibati bila kukadiria braking distansi...uwapo barabarani whatever the speed ur driving ni lazima uwe na tahadhari..jiulize "what if" kwenye kila kitendo unachokifanya barabarani.
 
Poleni wafiwa
Ila sasa huku kukimbizana mbeba magendo asiposimama inakuaje
Inakua ni kukimbizana tu barabarani mpaka mtu anakuwa busted kama kwenye nfs most wanted sio duh hatari sana 😃😃😃😃
Na hawa jamaa kazi ni saa 24 maana saa 11 wako barabarani 🤔🤔🤔🤔
 
Wapumzike kwa amani ila madereva wa serikali wako rough sana.

Juzi kidogo waue familia ya ndugu yangu nzima. Wana overtake mlimani halafu hawaoni mbele na wako spidi wanafukuzana.

Ndugu yangu alipoona msalaa wa kugongana ilibidi aingie vichakani usiku.
Wao wanadhani wana haki ya kutumia barabara pasipo kufuata sheria za usalama barabarani. Ukikutana nao wanakuwashia mataa wakikutaka uwapishe njia. Kwa nini basi wasiwatumie traffic police wawawashie ving'ora njia nzima?.
 
Mwenyezi mungu awape kauli thabiti pamoja na kuwapunguzia adhabu ya kaburi.
 
Walikuwa wakilikimbiza gari lililohisiwa kubeba magendo.
Wangelipata lazima wangekula rushwa kwa hilo gari. Ilikuwa sahihi zaidi wao kuwajulisha polisi, ila kwa sababu ni rushwa maana ukiwaachia polisi ina maana hiyo rushwa wangeikosa, so hapo hakuna uzalendo ila ni uroho na roho mbaya ndiyo imewagharimu. Mifumo yetu ya kodi inapswa kuwa wazi na TRA wanapaswa kuwa wawazi ili kuepusha mambo ya kufuatiliana.
 
Ujinga ni MZIGO, WALISHONDWA NINI KUPIGA SIMU POLICE KITUO CHA MBEKE? AU WALIKUWA WANATAKA WALE DILI...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wapumzike kwa amani waja wake mola hawa. Ila tuwe wawazi:

"Spidi yote hiyo (iliyoleta haya) ilikuwa ni usongo tu wa makusanyo ya serikali, au yale yale ya kila mtu kula anakofanyia kazi?" -- Mzee Ruksa.

Hiiiiii bagosha!
 
Wangelipata lazima wangekula rushwa kwa hilo gari. Ilikuwa sahihi zaidi wao kuwajulisha polisi, ila kwa sababu ni rushwa maana ukiwaachia polisi ina maana hiyo rushwa wangeikosa, so hapo hakuna uzalendo ila ni uroho na roho mbaya ndiyo imewagharimu. Mifumo yetu ya kodi inapswa kuwa wazi na TRA wanapaswa kuwa wawazi ili kuepusha mambo ya kufuatiliana.
Vile vile polisi wanaweza wakachukua rushwa halafu wakasema hatujaona hiyo gari ,aisee hapo kila mtu anafukuzia dili
 
Wangelipata lazima wangekula rushwa kwa hilo gari. Ilikuwa sahihi zaidi wao kuwajulisha polisi, ila kwa sababu ni rushwa maana ukiwaachia polisi ina maana hiyo rushwa wangeikosa, so hapo hakuna uzalendo ila ni uroho na roho mbaya ndiyo imewagharimu. Mifumo yetu ya kodi inapswa kuwa wazi na TRA wanapaswa kuwa wawazi ili kuepusha mambo ya kufuatiliana.
TRA wana task force yao mzee
Wana act kma wazee pia
Hata tanesco wanacho
Sema ukingia kwenye 18 yao lazima wakupukutishe

Ova
 
Back
Top Bottom