TANZIA Wafanyakazi watano wa TRA wafariki dunia kwenye ajali

TANZIA Wafanyakazi watano wa TRA wafariki dunia kwenye ajali

Mkuu msiwalalamikie sana walipangiwa watakufa hivyo pindi tu walipozaliwa. Jiulize madereva wangapi wanaendesha rough? Hata hawa walizoea kuendesha rough na hovyo iweje leo tu wamepata ajali iliyowaua?

This is true forces of nature and destiny exists ndo maana mimi sijibani napofakamia viporo vya kande najua this life is fakin short when you have a chance of eating spoiled kandes just go for it
Nigga you pushing them plates like crayzee
 
Hao wamefia njaa zao! Hamna cha taifa wala ukwaju! Wangemshika mwenye Fuso wangetaka wale 5M ya haraka isio na risiti bila makato!
Yaaan hawa walishajipanga kuwa mpaka asubuhi wanaripoti kufanya "office work" saa2 nyie ndo mnaanza kupambana wao wana mil1 moja kila mtu mfukoni

Mafuta ya bure hakuna cha service wala gharama za uendeshaji. Kmmk kuna watu wanakula kirahisi sana
 
Hahahahah gari yenye msala unakuta ina 260kph wao wanapambana na 160KPH yao jamaa kawatoka akawauza😅
Wauza magendo unafikiri wana magari yanayokimbia kivile basi,ila wanambinu za kukukalisha hapo barabarani mpaka ushangae na roho yako hata uje na benz- 🤣 🤣 🤣 . Nakumbuka mzee alikuwa anawapasua watu vichwa na TOYOTA STOUT tu 🤣🤣 .
 
Nadhani meneja wao akipita hapa atakuwa na kitu cha kujifunza, hawa jamaa ni kero sana, mimi nilikuwa nimebeba mzigo kwenye pikipiki, jamaa kaja na cruiser kachomeka mbele, alafu anashuka anadai risiti wakati kidogo nianguke...
 
Mkuu msiwalalamikie sana walipangiwa watakufa hivyo pindi tu walipozaliwa. Jiulize madereva wangapi wanaendesha rough? Hata hawa walizoea kuendesha rough na hovyo iweje leo tu wamepata ajali iliyowaua?

This is true forces of nature and destiny exists ndo maana mimi sijibani napofakamia viporo vya kande najua this life is fakin short when you have a chance of eating spoiled kandes just go for it
Ukiendesha gari ovyo kuna siku utapata ajili ufe au uwe kilema, hakuna destin hapo ni suala la sababu na matokeo.
 
Ukiendesha gari ovyo kuna siku utapata ajili ufe au uwe kilema, hakuna destin hapo ni suala la sababu na matokeo.
Sasa mkuu forces of nature ndo inakuelekeza uendeshe gari ovyo ili destiny iliyopangwa itiki. Hata huko wewe kuendesha gari ovyo ilishapangwa pindi tu ulipozaliwa.
 
TRA inakimbizana na wafanya biashara haramu/magendo. Walishindwaje kutoa taarifa kwa polisi waliyokuwa doria kulifukuza hilo gari? Acha wapumzike watu wapate ajira maana kufukuzia magendo lazims uchoke hivyo yakubidi upumzike
We jamaa pambafuu Sana[emoji1][emoji1]
 
Aisee halafu ukute gari Ina magendo halafu dereva ni mrombo au mkinga au mhehe.
Weka mbali na watoto halafu tikisa kabla ya kunywa.
Polisi wazoefu wanajua,hakuna jambo hatari kama kumkimbiza dereva mzoefu wa magendo-Ni very risk business na ukicheza you are gone, mtu asitegemee kumshinda dereva magendo kwa kuangalia upande wa speed,wale jamaa wanajua mambo mengi sana hapo barabarani ikiwemo kukutengenezea trap ya mzinga.
 
Polisi wazoefu wanajua,hakuna jambo hatari kama kumkimbiza dereva mzoefu wa magendo-Ni very risk business na ukicheza you are gone, mtu asitegemee kumshinda dereva magendo kwa kuangalia upande wa speed,wale jamaa wanajua mambo mengi sana hapo barabarani ikiwemo kukutengenezea trap ya mzinga.
Kifupi ukiona gari ya megendo imekataa kusimama achana nayo. Ongea na polisi wa check point waweke kikwazo.
Wale madereva ni sawa na mtu asiyetumia kondom kwa mwanamke wa bar ya Kinondoni.
 
Dereva wa Gari la magendo aliwaingiza mtegoni wakajaa itakuwa...halafu Hawa TRA ya Nini kufukuzana njiani wakati boarder na njia za panya kutoka Zambia mnaweza weka vizuizui..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom