nosspass
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 5,814
- 4,781
kabisa mkuu....ila ndio wameshakwenda.....tena ni wachache sana....nlitamani wawe 20....Hata wewe utakufa tu, hakuna atakayeishi milele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisa mkuu....ila ndio wameshakwenda.....tena ni wachache sana....nlitamani wawe 20....Hata wewe utakufa tu, hakuna atakayeishi milele
Nigga you pushing them plates like crayzeeMkuu msiwalalamikie sana walipangiwa watakufa hivyo pindi tu walipozaliwa. Jiulize madereva wangapi wanaendesha rough? Hata hawa walizoea kuendesha rough na hovyo iweje leo tu wamepata ajali iliyowaua?
This is true forces of nature and destiny exists ndo maana mimi sijibani napofakamia viporo vya kande najua this life is fakin short when you have a chance of eating spoiled kandes just go for it
Trick tamu sana manina waendelee na ujinga wao ni mguu kati tu unawaoasha! Halafu unakuta jamaa kachochea fuso yake kasepa zake😅😅😅Mwenye gari iliyokuwa inafukuzwa alikuwa kwenye fuso, kapiga breki tu..
Yaaan hawa walishajipanga kuwa mpaka asubuhi wanaripoti kufanya "office work" saa2 nyie ndo mnaanza kupambana wao wana mil1 moja kila mtu mfukoniHao wamefia njaa zao! Hamna cha taifa wala ukwaju! Wangemshika mwenye Fuso wangetaka wale 5M ya haraka isio na risiti bila makato!
Moment of force inaeleza yoteDogo ni impact law of density and gravity justify the means end. Haijaungua ni impact
Wauza magendo unafikiri wana magari yanayokimbia kivile basi,ila wanambinu za kukukalisha hapo barabarani mpaka ushangae na roho yako hata uje na benz- 🤣 🤣 🤣 . Nakumbuka mzee alikuwa anawapasua watu vichwa na TOYOTA STOUT tu 🤣🤣 .Hahahahah gari yenye msala unakuta ina 260kph wao wanapambana na 160KPH yao jamaa kawatoka akawauza😅
Ukiendesha gari ovyo kuna siku utapata ajili ufe au uwe kilema, hakuna destin hapo ni suala la sababu na matokeo.Mkuu msiwalalamikie sana walipangiwa watakufa hivyo pindi tu walipozaliwa. Jiulize madereva wangapi wanaendesha rough? Hata hawa walizoea kuendesha rough na hovyo iweje leo tu wamepata ajali iliyowaua?
This is true forces of nature and destiny exists ndo maana mimi sijibani napofakamia viporo vya kande najua this life is fakin short when you have a chance of eating spoiled kandes just go for it
Sasa mkuu forces of nature ndo inakuelekeza uendeshe gari ovyo ili destiny iliyopangwa itiki. Hata huko wewe kuendesha gari ovyo ilishapangwa pindi tu ulipozaliwa.Ukiendesha gari ovyo kuna siku utapata ajili ufe au uwe kilema, hakuna destin hapo ni suala la sababu na matokeo.
Hakuna forces of nature Maghayo inayokuelekeza sasa endesha gari ovyo maana unatakiwa ufe kwa ajali🤣Sasa mkuu forces of nature ndo inakuelekeza uendeshe gari ovyo ili destiny iliyopangwa itiki. Hata huko wewe kuendesha gari ovyo ilishapangwa pindi tu ulipozaliwa.
Aisee halafu ukute gari Ina magendo halafu dereva ni mrombo au mkinga au mhehe.Si walikuwa mwendo
Wanafata mwendo wa gari ya magendo
Gari za magendo zinakwenda mzee
Ova
We jamaa pambafuu Sana[emoji1][emoji1]TRA inakimbizana na wafanya biashara haramu/magendo. Walishindwaje kutoa taarifa kwa polisi waliyokuwa doria kulifukuza hilo gari? Acha wapumzike watu wapate ajira maana kufukuzia magendo lazims uchoke hivyo yakubidi upumzike
Polisi wazoefu wanajua,hakuna jambo hatari kama kumkimbiza dereva mzoefu wa magendo-Ni very risk business na ukicheza you are gone, mtu asitegemee kumshinda dereva magendo kwa kuangalia upande wa speed,wale jamaa wanajua mambo mengi sana hapo barabarani ikiwemo kukutengenezea trap ya mzinga.Aisee halafu ukute gari Ina magendo halafu dereva ni mrombo au mkinga au mhehe.
Weka mbali na watoto halafu tikisa kabla ya kunywa.
Kifupi ukiona gari ya megendo imekataa kusimama achana nayo. Ongea na polisi wa check point waweke kikwazo.Polisi wazoefu wanajua,hakuna jambo hatari kama kumkimbiza dereva mzoefu wa magendo-Ni very risk business na ukicheza you are gone, mtu asitegemee kumshinda dereva magendo kwa kuangalia upande wa speed,wale jamaa wanajua mambo mengi sana hapo barabarani ikiwemo kukutengenezea trap ya mzinga.
Kuna aina ya gari za wakulungwa hupaswi kuzifukuza......Hii ajali ya ajabu aisee! Sasa inakuwaje dereva anagonga gari kwa nyuma alikuwa haoni ama ni mambo ya mzizioloji 👻?
Hirizi la wabeba magendo.Wamefanikiwa kufariki kabla ya kulifikia sasa au ni dereva wa fuso kawafanyia cheusi chekundu kakazia mguu kati ghafla?