Exactly.Kifupi ukiona gari ya megendo imekataa kusimama achana nayo. Ongea na polisi wa check point waweke kikwazo.
Wale madereva ni sawa na mtu asiyetumia kondom kwa mwanamke wa bar ya Kinondoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly.Kifupi ukiona gari ya megendo imekataa kusimama achana nayo. Ongea na polisi wa check point waweke kikwazo.
Wale madereva ni sawa na mtu asiyetumia kondom kwa mwanamke wa bar ya Kinondoni.
😂😂😂😂😂 ni utundu tu umetumika hapoHirizi la wabeba magendo.
Hivi vifo vya kujitakia,wao ni task force,hawakuwa law enforcement,maswala ya kukimbizana na magari ya uharifu wapi na wapi?Wafanyakazi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kikosi kazi cha Fast Track wamefariki dunia kwa ajali ya gari aina ya Landcluser lililogonga kwa nyuma Lori aina Fuso. Walikuwa wakifukuzana na gari iliyodhaniwa kubeba magendo
Ajali hiyo imetokea leo Agosti 23, 2021 saa 11 alfajiri katika barabara ya Mbeya Tunduma eneo la Hanseketwa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe.
Kaimu Meneja wa Forodha wa TRA wa Tunduma, Omary Mnzava amewataja watumishi watano wa mamlaka hiyo kikosi kazi cha fast track waliofariki ajalini leo asubuhi Jumatatu mkoani humo ni Azari Shifonike ambaye ni dereva, Joel Mitondwa, Saidi Buddy, Fahad Hassan na Benard Mashingi.
Labda tuendeshe punda ila kwa magari kuharibika ni kitu cha kawaidaOn a serious note, tunahitaji sheria kali dhidi ya magari mabovu barabarani. Hatuwezi kugeuza barabara kuwa garage, watu wengi sana wamekufa kwa sababu ya magari yaliyoharibika barabarani.
Hao tra ni kamati ya roho mbaya plus majivuno kama wao ni special sanaTRA inakimbizana na wafanya biashara haramu/magendo. Walishindwaje kutoa taarifa kwa polisi waliyokuwa doria kulifukuza hilo gari? Acha wapumzike watu wapate ajira maana kufukuzia magendo lazims uchoke hivyo yakubidi upumzike
Ukiwakuta kwenye kumi na nane zao utadhani hawaendi chooni. Yaani wastaarabu Fulani Kama Ni bar utakuta wanakunywa HENNESSY wakati mama zao wanauza ulanzi na msabe kwenye vilabu vya Makunguru MwanjelwaHao tra ni kamati ya roho mbaya plus majivuno kama wao ni special sana
Hawa jamaa wa TRA na NHIF sijui walikua na mkutano Dar? Maana nimekutana nao wengi njia ya dar-Moro weekend hii! Wanakimbizana na hayo ma-LandcruiserEeh 1Hz ikikubali gia unapepea tu manina 😅 kila ukitia kidonge bado inadai tu
Siku zote gari zikibeba magendoAisee halafu ukute gari Ina magendo halafu dereva ni mrombo au mkinga au mhehe.
Weka mbali na watoto halafu tikisa kabla ya kunywa.
Kabisa kuna baadhi yao jamaa ni wala rushwa wakubwakama ni mpambanaji, na hujarithi chochote wala huishi kwa ajira... huwezi kuwafurahia hawa jamaa... kibaya hawakupi elimu wala kutaka kifanyike kilicho ndani ya utaratibu ili serikali ipate mapato... ni rushwa kwanza then ndo mengine ya utaratibu yafate.
R.I.P.
mzee Ramadhan Ntuzwe ni muha yule.
mkuu uso kwa uso vp..huoni lory limepigwa nyuma hapo..nau mbona gari ipo upande wa kushoto au mm sioni vizuriMi sio trafiki, ila hawa jamaa wanaonekana walikua wana overtake wakakutana face to face.. maana wapo upande wa kulia.. yaan ugonge gari kwa nyuma uchakae hivo?
Sawa lakini uwekwe utaratibu.. Kwa mfano, gari bovu likiripotiwa, lisikae barabarani zaidi ya 30mins. Ukishindwa kutengeneza ndani ya huo muda, livutwe na utalipia hizo gharama. Simple.Labda tuendeshe punda ila kwa magari kuharibika ni kitu cha kawaida
R.I.PWapumzike kwa amani.
Pole kwa wafiwa, its matter of nature. Ajira tano hizo kwa wasio na ajira.
sidhani kama zinafika hiyo speedPoleni familia na TRA. Ukiangalia hiyo gari baada ya ajali inaonekana mwendokasi wake ulikuwa karibia 200km/hour.
Mmmh inahuzunisha sana kuweka kipaumbele hayo mambo kwangu mimi chanzo kilikuwa kufukuzana(mwendokasi)hayo mengine ni deceiving.Hayajakukuta.
Huo huo usingizi jiulize umesababishwa na Nini.
Kua uyaone au likizo ijayotembelea Mbozi