Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,828
Ukiwashirkisha polisi kwenye issue ya magendo lazima wauzishe mechi...TRA inakimbizana na wafanya biashara haramu/magendo. Walishindwaje kutoa taarifa kwa polisi waliyokuwa doria kulifukuza hilo gari? Acha wapumzike watu wapate ajira maana kufukuzia magendo lazims uchoke hivyo yakubidi upumzike