Mimi nawapenda wale wahanga wanaokuambiaMwingine ana marufuku ya kuchana nywele, mwingine kuvaa suti mwiko na mwingine asilalie kitanda asilani. Jamani jamani...
Exactly.... barabara haipaswi kugeuzwa garage. Tatizo tunapenda sana kudekezana. Gari bovu, weka nyumbani. Ukipata bahati mbaya, tengeneza faster, ukishindwa tupishe, ukishindwa tukusaidie kukuondoa.Actually huu ndio utaratibu wa majirani zetu hapo Kigali. Gari likiharibikia barabarani; Trafiki anakuja kukusimamia utengeneze. Kama halijapona ndani ya masaa matatu; anaita zile gari za kuvuta ili zije kukutoa barabarani; na hizo gharama utalipia.
Umesahau STL na DFPA...Ki
akajiokoa kwa style hio [emoji81][emoji81][emoji81] hawa madereva wa SU na ST wanazingua sana wakiwa highway
Unaongelea theory ila uhalisia haiko hivo.TRA inakimbizana na wafanya biashara haramu/magendo. Walishindwaje kutoa taarifa kwa polisi waliyokuwa doria kulifukuza hilo gari? Acha wapumzike watu wapate ajira maana kufukuzia magendo lazims uchoke hivyo yakubidi upumzike
Kukimbizana na watu wa magendo alfajiri? Kwa nini wasiwataarifu polisi kama ni jambo genuine!!!Mkuu Walichokua wanafanya ni moja ya jukumu lao la msingi la kazi waliyoomba.
Nieleze uhalisia upoje?
We ni nani kwani? Hata usipoumia wataumia walioguswa.Mimi hata sijaumia
We ni nani kwani? Hata usipoumia wataumia walioguswa.