TANZIA Wafanyakazi watano wa TRA wafariki dunia kwenye ajali

TANZIA Wafanyakazi watano wa TRA wafariki dunia kwenye ajali

Mi sio trafiki, ila hawa jamaa wanaonekana walikua wana overtake wakakutana face to face.. maana wapo upande wa kulia.. yaan ugonge gari kwa nyuma uchakae hivo?
Haimake sense kabisa hapo gari ziliumana face to face aisee ama la hash hio fuso jamaa aliwafanyia uhuni akakanyagaa brakes ghafla TRA akiwa anajaribu kutoka kumu overtake ili akampige pini mbele😸 akaila fuso kwa nyuma pembeni kabisa sababu ile body ya fuso ni chuma kigumu kama container tu huenda ndio ilimenya cruiser namna hio!
 
Haimake sense kabisa hapo gari ziliumana face to face aisee ama la hash hio fuso jamaa aliwafanyia uhuni akakanyagaa brakes ghafla TRA akiwa anajaribu kutoka kumu overtake ili akampige pini mbele😸 akaila fuso kwa nyuma
STL wanajionaga kings wa road kinoma. Mafuta wanachota bohari na spare wanapeleka tu kwa quotation. Yaani sema ndio ivo wapumzike kwa amani.
 
Songwe. Wafanyakazi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) wamefariki dunia kwa ajali ya gari aina ya land cruiser lililogonga kwa nyuma Lori aina Fuso.

Ajali hiyo imetokea leo Agosti 23, 2021 saa 11 alfajiri katika eneo la Hanseketwa wilayani Mbozi, Songwe.

Polisi imethibitisha
 
Wafanyakazi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kikosi kazi cha Fast Track wamefariki dunia kwa ajali ya gari aina ya Landcluser lililogonga kwa nyuma Lori aina Fuso. Walikuwa wakifukuzana na gari iliyodhaniwa kubeba magendo

Ajali hiyo imetokea leo Agosti 23, 2021 saa 11 alfajiri katika barabara ya Mbeya Tunduma eneo la Hanseketwa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe.

Polisi imethibitisha.

Wapumzike kwa amani waja wake mola hawa. Ila tuwe wawazi:

"Spidi yote hiyo (iliyoleta haya) ilikuwa ni usongo tu wa makusanyo ya serikali, au yale yale ya kila mtu kula anakofanyia kazi?" -- Mzee Ruksa.

Hiiiiii bagosha!
 
Back
Top Bottom