TANZIA Wafanyakazi watano wa TRA wafariki dunia kwenye ajali

TANZIA Wafanyakazi watano wa TRA wafariki dunia kwenye ajali

Kuna mahali watumishi wa kila idara nchi hii wafundishwe namna ya kutekeleza majukumu yao na ikiwa yamewazidi unga ni hatua ipi ifanywe na idara nyingine,

Wewe huyo huyo mtoza ushuru wewe huyo huyo unataka uwe polisi na wewe huyo huyo unataka uwe usalama daah nchi yangu wapi inakwenda😭😭😭😭😭😭
 
Kuna mahali watumishi wa kila idara nchi hii wafundishwe namna ya kutekeleza majukumu yao na ikiwa yamewazidi unga ni hatua ipi ifanywe na idara nyingine,

Wewe huyo huyo mtoza ushuru wewe huyo huyo unataka uwe polisi na wewe huyo huyo unataka uwe usalama daah nchi yangu wapi inakwenda😭😭😭😭😭😭
Kweli kabisa. TRA wajiulize kwa nini wakimbizane na watu wa kulipa kodi barabarani ndani ya mipaka ya Tanzania. Kama hao watu wamefanikiwa kuingia nchini kwa kuwa TRA wameshindwa kudhibiti mambo mipakani basi waachwe. Mambo ya kufukuzana barabarani ndani ya Tanzania matokeao ndio haya.

Na TRA wajiulize kwa nini watu wanakwepa kulipa kodi.
 
Mi sio trafiki, ila hawa jamaa wanaonekana walikua wana overtake wakakutana face to face.. maana wapo upande wa kulia.. yaan ugonge gari kwa nyuma uchakae hivo?
Aaah mkuu saa 11 asubuhi bado Giza, LC imeachiwa kama 160kph mara kicheche hiki hapa Mita 5 dereva anajaribu kutoka kulia upande wa kushoto unabaki unapigwa mbele mpaka nyuma na gari inaishia hapo
 
Aaah mkuu saa 11 asubuhi bado Giza, LC imeachiwa kama 160kph mara kicheche hiki hapa Mita 5 dereva anaharibu kutoka kulia upande wa kushoto unabaki unapigwa mbele mpaka nyuma na gari inaishia hapo
Hajawahi pata ajali labda niliwahi jikuta juu ya mti huku naimba wimbo Mungu ni pendo ilihali nilikuwa nakula upepo mwanana kwenye vx amazon
 
Kwanini kuwawazia mabaya kwa kiasi kikubwa hivi tena kwa kuhisi tuu?

Dah
Ungeyasikia mkuu usingemkoment kuyo jamaa hapo😢😢😢😢 basi tufanye ni kazi ya Mungu haina makosa Ila Kuna mda Mungu atatukana pia huko
 
Ungeyasikia mkuu usingemkoment kuyo jamaa hapo😢😢😢😢 basi tufanye ni kazi ya Mungu haina makosa Ila Kuna mda Mungu atatukana pia huko

Kusikia tunasikia mengi sana ya watu kama wanavyosikia mengi yetu wengine
Kama tusivyopenda kuhukumiwa basi na sisisisi tusihukumu
 
Back
Top Bottom