TANZIA Wafanyakazi watano wa TRA wafariki dunia kwenye ajali

TANZIA Wafanyakazi watano wa TRA wafariki dunia kwenye ajali

Wafanyakazi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kikosi kazi cha Fast Track wamefariki dunia kwa ajali ya gari aina ya Landcluser lililogonga kwa nyuma Lori aina Fuso. Walikuwa wakifukuzana na gari iliyodhaniwa kubeba magendo

Ajali hiyo imetokea leo Agosti 23, 2021 saa 11 alfajiri katika barabara ya Mbeya Tunduma eneo la Hanseketwa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe.

Polisi imethibitisha.
Mungu amekataa watu kubambikwa kesi. Wapumzike Mahala wanapostahili
 
On a serious note, tunahitaji sheria kali dhidi ya magari mabovu barabarani. Hatuwezi kugeuza barabara kuwa garage, watu wengi sana wamekufa kwa sababu ya magari yaliyoharibika barabarani.
Unadhani hata kama kuna gari linatengenezwa kama hawapo spidi wanapata ajali? Ishu ni mwendokasi na kutawala barabara kwa hawa watu wa serikalini
 
Mi sio trafiki, ila hawa jamaa wanaonekana walikua wana overtake wakakutana face to face.. maana wapo upande wa kulia.. yaan ugonge gari kwa nyuma uchakae hivo?
Inaweza kuwa kweli walivyo overtake wakakutana sura na ngom nyingine Ila wakaMua kwenda kulia Zaid wakwepe wakakutana na matako ya fuso lilipAki wakazama
 
Back
Top Bottom