21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,280
- 2,814
Poleni sana TRA Mungu yupo nanyi kwenye kipindi hiki kigumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu amekataa watu kubambikwa kesi. Wapumzike Mahala wanapostahiliWafanyakazi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kikosi kazi cha Fast Track wamefariki dunia kwa ajali ya gari aina ya Landcluser lililogonga kwa nyuma Lori aina Fuso. Walikuwa wakifukuzana na gari iliyodhaniwa kubeba magendo
Ajali hiyo imetokea leo Agosti 23, 2021 saa 11 alfajiri katika barabara ya Mbeya Tunduma eneo la Hanseketwa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe.
Polisi imethibitisha.
Ukungu ni noma.... siku moja nashuka Tukuyu kutoka Mbeya saa 8 usiku, unatembea spidi 40 bado inakuwa kama mtu kaweka blanketi kwenye kioo, nikaona cha kufia nini, nikatafuta sehemu nikapaki nikalala mpaka morning.Noma sana yani hapo paso ingebaki number plate tu
Walikufanyaje mkuu?ni wa TRA wakufe tu....walichonifanyia mwaka huu....hakika nimenyoroka.........wakufilie mbali....ubaya ubaya tuu....Mungu nisaheme tuu.....
Unadhani hata kama kuna gari linatengenezwa kama hawapo spidi wanapata ajali? Ishu ni mwendokasi na kutawala barabara kwa hawa watu wa serikaliniOn a serious note, tunahitaji sheria kali dhidi ya magari mabovu barabarani. Hatuwezi kugeuza barabara kuwa garage, watu wengi sana wamekufa kwa sababu ya magari yaliyoharibika barabarani.
Chuma sana hiyo LandCruiser Hardtop mkonga lakini imekuwa kama siyo gari aroooHiyo ni gari ya au mabox?
Inaonekana walikuwa kibati sana hao jamaaChuma sana hiyo LandCruiser Hardtop mkonga lakini imekuwa kama siyo gari arooo
Inaweza kuwa kweli walivyo overtake wakakutana sura na ngom nyingine Ila wakaMua kwenda kulia Zaid wakwepe wakakutana na matako ya fuso lilipAki wakazamaMi sio trafiki, ila hawa jamaa wanaonekana walikua wana overtake wakakutana face to face.. maana wapo upande wa kulia.. yaan ugonge gari kwa nyuma uchakae hivo?
umeshasema tayariNaandika na kufuta...anyway waseme wengine