Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 8,221
- 22,496
kwa hiyo hata nisiposema je hayo majukumu ya watano waliokufa watareplace nani?Kufa kufaana ndo Unamaanisha hivyo. Hizi viporo vya kande mnavyobughia kwa jazba mkiamka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo hata nisiposema je hayo majukumu ya watano waliokufa watareplace nani?Kufa kufaana ndo Unamaanisha hivyo. Hizi viporo vya kande mnavyobughia kwa jazba mkiamka
umesoma kweli hadi mwisfho?Hawajulikani kwa majina?
Ungepotezea tuu mkuu. Hizo ajira za TRA ni za kupita tu.Mbona umepanic mkuu,kwa hiyo hata nisiposema je hayo majukumu ya watano waliokufa watareplace nani?
Niko hapa na Dada wa Joel tunatoka semina ni amevunjika moyo vibaya naomba gari ifike apumzike ndaniMungu waliyemtumikia awarehemu
Na awape familia zao faraja, uvumilivu na imani kipindi hiki kigumu
Ulisoma ukiwa unasinzia ndugu Misunderstood !?
Niko hapa na Dada wa Joel tunatoka semina ni amevunjika moyo vibaya naomba gari ifike apumzike ndani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapumzike kwa amani ila madereva wa serikali wako rough sana.
Juzi kisogo waue familia ya ndugu yangu nzima. Wana overtake mlimani halafu hawaoni mbele na wako spidi wanafukuzana.
Ndugu yangu alipoona msalaa wa kugongana ilibidi aingie vichakani usiku.
Ndugu Mkonga kama mkonga umewiva unategemea nini?Kwa mchakao huu bila shaka walikuwa kibati sana
Kuvukuzana na wahalifu ni kazi ya polisi. Mfano ukakuta wana silaha za kujihami inakuaje? Au TRA wanapewa silaha?Kuna mahali watumishi wa kila idara nchi hii wafundishwe namna ya kutekeleza majukumu yao na ikiwa yamewazidi unga ni hatua ipi ifanywe na idara nyingine,
Wewe huyo huyo mtoza ushuru wewe huyo huyo unataka uwe polisi na wewe huyo huyo unataka uwe usalama daah nchi yangu wapi inakwenda😭😭😭😭😭😭
Taifa lenyewe hili la Tanzania au jingine, ulifie wewe wengine wakagawane tozo ujinga gani huu😳😳😳Tunaita kulifia taifa lako.Katika vitu ninavyovihofia ni kufa kwa ajili ya taifa langu
Pole sana mkuuyani wangekufa hata 20, leo ningetoa ofa pale kijiweni........wacha kabisa mangi.....walikamata kwenye 18 zao baba......yaani wanataka rushwa kibabe...mbwa mbwai.....yaani wangenifilisi kimya kimya....ILA MUNGU NINAEMUAMINI NDIO alinitoa SALAMA.... usiwaamini kabisa...hata kama alikusaidia...awe she au me...mzee au kijana.....yaani nina mbwa wangu nimempa jina la mmoja wao......ni jike nimempa la kiume...shiiiit..
Dah Bernard Mushing my Classmate!Wafanyakazi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kikosi kazi cha Fast Track wamefariki dunia kwa ajali ya gari aina ya Landcluser lililogonga kwa nyuma Lori aina Fuso. Walikuwa wakifukuzana na gari iliyodhaniwa kubeba magendo
Ajali hiyo imetokea leo Agosti 23, 2021 saa 11 alfajiri katika barabara ya Mbeya Tunduma eneo la Hanseketwa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe.
Kaimu Meneja wa Forodha wa TRA wa Tunduma, Omary Mnzava amewataja watumishi watano wa mamlaka hiyo kikosi kazi cha fast track waliofariki ajalini leo asubuhi Jumatatu mkoani humo ni Azari Shifonike ambaye ni dereva, Joel Mitondwa, Saidi Buddy, Fahad Hassan na Benard Mashingi.
Hiyo ni laana ya kihistoria..ukisoma story za biblia utagundua kuwa hata enzi ya Yesu watoza ushuru walikuwa corrupt sana na walichukiwa na wengu...kuna kipindi watu walimnasa Yesu "anakula na kunywa na watoza ushuru"...ikawa gumzo na kashfa kubwa sana mitaa ya Yerusalemu.Ninachoona hapa ni kwamba wafanyakazi wa TRA wanachukiwa na wananchi Kama polisi.
Hayajakukuta.Acha imani potofu yaani mwendo uwe mkali halafu usingizie ushirikina waswahili bhana!
Ni sahihi kabisa..Unajua kisheria hata TISS hawaruhusiwi kukamata wao wanatakiwa watoe taarifa na polis ndo wakamate sahiv TZ sheria hazifatwi kila mtu akiwa serekalini huko anajiona anaweza kukamata tu Kazi ya kukamata magendo ni lazma ushirikishe polisi kwakua ile ndo kaz yao,
Kuna mzee mmoja mfanya biashara Arusha jion anarud zake nyumba gar yake ikapigwa mkas kwa mbele kusimama wakashuka watu wanne (4) siyo polis wakajitambulisha ni uslama wa taifa wanataka waondoke nae mzee akawavutia bastola akaweka chemba akarud kwenye gar akasepa zake, usku wale jamaa wa TISS ndo wakaenda kutoa taarifa polisi kuwa wametishiwa bastola mzee akaenda kukamatwa na polisi
Lakin badae ile kesi mzee alishinda na akaachiwa huru alijitetea tu sikua na magendo na silaha namimiliki kihalali niliwatishia ili kujilinda kwakua hawakua na mamlaka ya kunikama ndo maana polisi walivyokuja niliwasikiliza na nikaondoka nao kwakua hao ndo wanamamlaka ya kukamata.
Huo ujinga wa ukamataji bila kuwa na mamlaka ya ukamataji huo ni utekaji ndo maana sabaya anateseka mahabusu huko alijiona anaweza kufanya kila kazi bila mipaka