DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,966
Unapaswa kujivunia kufia taifa lakoTunaita kulifia taifa lako.Katika vitu ninavyovihofia ni kufa kwa ajili ya taifa langu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapaswa kujivunia kufia taifa lakoTunaita kulifia taifa lako.Katika vitu ninavyovihofia ni kufa kwa ajili ya taifa langu
Kama Taifa tutatoa rambirambi laki 5 kwa kila familia ya marehemu..Unapaswa kujivunia kufia taifa lako
We jamaa hii sayansi au sayanzi umeandika hapa 😅😅😅😅😅Dogo ni impact law of density and gravity justify the means end. Haijaungua ni impact
vumbi boss na kuwahi mrongolaHii ajali ya ajabu aisee! Sasa inakuwaje dereva anagonga gari kwa nyuma alikuwa haoni ama ni mambo ya mzizioloji 👻?
Mkuu hao watu hawana huruma wala ubinadamu ukiingia kumi na nane zao. Kuna muda naona Bora polisi kuliko TRANinachoona hapa ni kwamba wafanyakazi wa TRA wanachukiwa na wananchi Kama polisi.
Kwa hiyo aliyekuwa akifukuzwa, alipoishuhudia hiyo ajali kwenye mirror akawa anacheka kicheko cha ushindi kile cha kwi kwi?Wafanyakazi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kikosi kazi cha Fast Track wamefariki dunia kwa ajali ya gari aina ya Landcluser lililogonga kwa nyuma Lori aina Fuso. Walikuwa wakifukuzana na gari iliyodhaniwa kubeba magendo
Ajali hiyo imetokea leo Agosti 23, 2021 saa 11 alfajiri katika barabara ya Mbeya Tunduma eneo la Hanseketwa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe.
Kaimu Meneja wa Forodha wa TRA wa Tunduma, Omary Mnzava amewataja watumishi watano wa mamlaka hiyo kikosi kazi cha fast track waliofariki ajalini leo asubuhi Jumatatu mkoani humo ni Azari Shifonike ambaye ni dereva, Joel Mitondwa, Saidi Buddy, Fahad Hassan na Benard Mashingi.
Si walikuwa mwendoHii ajali ya ajabu aisee! Sasa inakuwaje dereva anagonga gari kwa nyuma alikuwa haoni ama ni mambo ya mzizioloji 👻?
TOZO TOZO TOZOWafanyakazi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kikosi kazi cha Fast Track wamefariki dunia kwa ajali ya gari aina ya Landcluser lililogonga kwa nyuma Lori aina Fuso. Walikuwa wakifukuzana na gari iliyodhaniwa kubeba magendo
Ajali hiyo imetokea leo Agosti 23, 2021 saa 11 alfajiri katika barabara ya Mbeya Tunduma eneo la Hanseketwa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe.
Kaimu Meneja wa Forodha wa TRA wa Tunduma, Omary Mnzava amewataja watumishi watano wa mamlaka hiyo kikosi kazi cha fast track waliofariki ajalini leo asubuhi Jumatatu mkoani humo ni Azari Shifonike ambaye ni dereva, Joel Mitondwa, Saidi Buddy, Fahad Hassan na Benard Mashingi.