TANZIA Wafanyakazi watano wa TRA wafariki dunia kwenye ajali

TANZIA Wafanyakazi watano wa TRA wafariki dunia kwenye ajali

Wanapenda magengo sana sababu huko ndiko wanapiga mpunga mrefu
Unajua kisheria hata TISS hawaruhusiwi kukamata wao wanatakiwa watoe taarifa na polis ndo wakamate sahiv TZ sheria hazifatwi kila mtu akiwa serekalini huko anajiona anaweza kukamata tu Kazi ya kukamata magendo ni lazma ushirikishe polisi kwakua ile ndo kaz yao,

Kuna mzee mmoja mfanya biashara Arusha jion anarud zake nyumba gar yake ikapigwa mkas kwa mbele kusimama wakashuka watu wanne (4) siyo polis wakajitambulisha ni uslama wa taifa wanataka waondoke nae mzee akawavutia bastola akaweka chemba akarud kwenye gar akasepa zake, usku wale jamaa wa TISS ndo wakaenda kutoa taarifa polisi kuwa wametishiwa bastola mzee akaenda kukamatwa na polisi

Lakin badae ile kesi mzee alishinda na akaachiwa huru alijitetea tu sikua na magendo na silaha namimiliki kihalali niliwatishia ili kujilinda kwakua hawakua na mamlaka ya kunikama ndo maana polisi walivyokuja niliwasikiliza na nikaondoka nao kwakua hao ndo wanamamlaka ya kukamata.

Huo ujinga wa ukamataji bila kuwa na mamlaka ya ukamataji huo ni utekaji ndo maana sabaya anateseka mahabusu huko alijiona anaweza kufanya kila kazi bila mipaka
 
Walikufanyaje mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
yani wangekufa hata 20, leo ningetoa ofa pale kijiweni........wacha kabisa mangi.....walikamata kwenye 18 zao baba......yaani wanataka rushwa kibabe...mbwa mbwai.....yaani wangenifilisi kimya kimya....ILA MUNGU NINAEMUAMINI NDIO alinitoa SALAMA.... usiwaamini kabisa...hata kama alikusaidia...awe she au me...mzee au kijana.....yaani nina mbwa wangu nimempa jina la mmoja wao......ni jike nimempa la kiume...shiiiit..
 
Hii ajali ya ajabu aisee! Sasa inakuwaje dereva anagonga gari kwa nyuma alikuwa haoni ama ni mambo ya mzizioloji [emoji317]?
Nafkir jamaa wa lor n kama alishika break
Kijanja cjui iliwakomoe na kweli
Kawamaliza
 
Mi sio trafiki, ila hawa jamaa wanaonekana walikua wana overtake wakakutana face to face.. maana wapo upande wa kulia.. yaan ugonge gari kwa nyuma uchakae hivo?

Yeah inawezekana...

Au dereva aliitoa gari yote nzima afanye overtaking, then lori akayumbisha bodi upande wake...
 
Hii ajali ya ajabu aisee! Sasa inakuwaje dereva anagonga gari kwa nyuma alikuwa haoni ama ni mambo ya mzizioloji [emoji317]?
Vicheche hivyo mkuu usiku gari ikiwa road na hakuna alama yeyote kama imeharibika kugonga ukiwa mwendokasi ni rahisi mno na huyo katoka usingizini kazi ya kukimbia tuiwahi kabla haijavuka mpemba ndio madhara yake hayo hao waweke kizuizi tuu hayo mambo ya kukimbiza magari na boda boda zilizobeba vitenge na sukari ni ujinga na ni mambo ya kizamani..
 
Unadhani hata kama kuna gari linatengenezwa kama hawapo spidi wanapata ajali? Ishu ni mwendokasi na kutawala barabara kwa hawa watu wa serikalini
Mkuu gari bovu barabarani hata ukiwa spidi ya serikali 80kph ni kitu hatari. Kuondoa magari mabovu hakutamaliza ajali lakini ni zitapunguza. Kama unasafiri sana utaelewa
 
Kwani wao ni polisi wa Magendo,wamevamia fani za watu! Ndio shida ya kuendesha serikali km enzi za Zakoyo mtoza ushuru kila Kona ushuru ushuru
Anyway Wapumzike wanapostahili
 
Ki

akajiokoa kwa style hio 😹😹😹 hawa madereva wa SU na ST wanazingua sana wakiwa highway
Mkuu msiwalalamikie sana walipangiwa watakufa hivyo pindi tu walipozaliwa. Jiulize madereva wangapi wanaendesha rough? Hata hawa walizoea kuendesha rough na hovyo iweje leo tu wamepata ajali iliyowaua?

This is true forces of nature and destiny exists ndo maana mimi sijibani napofakamia viporo vya kande najua this life is fakin short when you have a chance of eating spoiled kandes just go for it
 
Back
Top Bottom