Wafanyakazi WATATU waliopo DAR (vijana smart) Wanahitajika HARAKA iwezekanavyo..

Mfanye mtu aifurahie kazi, aifanye kwa amani. Ila mtoa mada hapa anatafuta kazi zifanywe ili mradi tu, mwishowe ndo wale wanakuja kuibiwa.
200,000

Humpi chakula
Humpi posho
Humpi Pesa ya matibabu

Afanye kazi zaidi ya masaa 16+ alafu malipo 6,400 huu ni zaidi ya utumwa, yaan utumwa huu inabidi awafanyie ndugu zake aone km hawajaifirisi Ofisi nampa wiki 1 tu washamtia hasara
 
Hii 👆 kazi Bora ufanye wewe mwenyewe Tu 😂, ili uonje joto ya jiwe
 
Unataka vijana 'upstairs' then unataka kuwalipa 200k TZS.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…