kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
siwezi kufanya kazi mshahara laki mbili lakini pia hao mama ntilie mungu awatie nguvuMkuu laki mbili ndefu
Kina mama Ana mghahawa hapa anawalipa wadadaa kwa siku elf 3000 na wako miezi sita zote hzi
Hiyo elfu 3 kwa siku na bado anakunywa Chai hapo kazini na chakula anakula sio kwa huyu TapeliMkuu laki mbili ndefu
Kina mama Ana mghahawa hapa anawalipa wadadaa kwa siku elf 3000 na wako miezi sita zote hzi
Mkuu upo dunia gani unadhani kila mtu anakusanya mia miaEmbu toa maelezo utaingizaje hyo laki mbili kwa masaa mawili Kama siyo kuomba rushwa na kuuiba kwa kutumia silaha
Kaka we hatarMaisha bhana.. Laki mbili naweza kuipata ndani ya masaa 2..
Usikae bila kazi vijana fursa hiyo..
Ofisi ipo Dar es Salaam, Kimara inahitaji wafanyakazi watatu vijana "Very Smart Upstairs"
SIFA ZA WAHITAJIKA
-Elimu Form Four Na Kuendelea
-Ujue Kutumia Computer 100%
-Ujue Kingereza Kusoma Na Kuandika (Kuongea achia Wazungu)
-Usiwe Bonge
-Uwe Mwaminifu
-Ujue Customer Care
OFISI INAJIHUSISHA NA NINI?
MOVIE STORE yenye huduma tofauti ndani yake.
UZOEFU NA KAZI (nyongeza)
-Ambae amewahi Fanya Kazi ya Kuingiza Movie kwa Wateja na anaezijua Movie na Series Kali kwa ajili ya Wateja Atapewa kipaumbele.
-Ambae amewahi Fanya Kazi ya Uwakala wa Kibenki,Mitandao Ya Simu anaezijua changamoto zake Atapewa Kipaumbele.
Jinsia Wanahitajika : Wanaume Wawili + Mwanamke Mmoja
MSHAHARA : 200,000 kwa mwezi
MUDA WA KAZI :
J3 - Ijumaa : Saa 1 Asubuhi Hadi 5 Usiku
J2 - Saa 4 Asubuhi Hadi 5 Usiku
NOTE : HAMNA OFF wala HAMNA HELA NYONGEZA INAYOTOLEWA KWA MFANYAKAZI TOFAUTI NA MSHAHARA WAKE.
UDHAMINI :
Kwa wanaohitaji Kazi ukija PM Uwe na Barua 3
1.Mdhamini 1 (Barua yake ya utambulisho toka serikali ya Mtaa)
2.Mdhamini 2 (Barua yake ya utambulisho toka serikali ya Mtaa)
3.Barua yako ya Utambulisho Toka Serikali ya Mtaa.
PM ipo Wazi kwa wahitajk Kazi ni ya HARAKA Kwa Mwenye Sifa na amekamilika Kazi utaanza HAPO HAPO pindi umemaliza wasiliana na mimi.
Asante
Boss naomba kazi hiyo nipo tayari elimu form six na ujuzi wa computer ninao.Ofisi ipo Dar es Salaam, Kimara inahitaji wafanyakazi watatu vijana "Very Smart Upstairs"
SIFA ZA WAHITAJIKA
-Elimu Form Four Na Kuendelea
-Ujue Kutumia Computer 100%
-Ujue Kingereza Kusoma Na Kuandika (Kuongea achia Wazungu)
-Usiwe Bonge
-Uwe Mwaminifu
-Ujue Customer Care
OFISI INAJIHUSISHA NA NINI?
MOVIE STORE yenye huduma tofauti ndani yake.
UZOEFU NA KAZI (nyongeza)
-Ambae amewahi Fanya Kazi ya Kuingiza Movie kwa Wateja na anaezijua Movie na Series Kali kwa ajili ya Wateja Atapewa kipaumbele.
-Ambae amewahi Fanya Kazi ya Uwakala wa Kibenki,Mitandao Ya Simu anaezijua changamoto zake Atapewa Kipaumbele.
Jinsia Wanahitajika : Wanaume Wawili + Mwanamke Mmoja
MSHAHARA : 200,000 kwa mwezi
MUDA WA KAZI :
J3 - Ijumaa : Saa 1 Asubuhi Hadi 5 Usiku
J2 - Saa 4 Asubuhi Hadi 5 Usiku
NOTE : HAMNA OFF wala HAMNA HELA NYONGEZA INAYOTOLEWA KWA MFANYAKAZI TOFAUTI NA MSHAHARA WAKE.
UDHAMINI :
Kwa wanaohitaji Kazi ukija PM Uwe na Barua 3
1.Mdhamini 1 (Barua yake ya utambulisho toka serikali ya Mtaa)
2.Mdhamini 2 (Barua yake ya utambulisho toka serikali ya Mtaa)
3.Barua yako ya Utambulisho Toka Serikali ya Mtaa.
PM ipo Wazi kwa wahitajk Kazi ni ya HARAKA Kwa Mwenye Sifa na amekamilika Kazi utaanza HAPO HAPO pindi umemaliza wasiliana na mimi.
Asanteni.
Mateso
laki mbili utaishia kuwa mwizi mjini.Yupo Dodoma mwenye uhitaji Boss, ni mtaalamu wa Computer ila sio mtaalamu wa Movie, ni mtaalamu wa mimala ya simu mitandao yote kwa 100%. Ila hana ndugj Dar.
Kuna group ukipost hili tangazo cm itajaa msg hadi ushindwe kusoma maisha ni magumu sana kazi hamna.Ofisi ipo Dar es Salaam, Kimara inahitaji wafanyakazi watatu vijana "Very Smart Upstairs"
SIFA ZA WAHITAJIKA
-Elimu Form Four Na Kuendelea
-Ujue Kutumia Computer 100%
-Ujue Kingereza Kusoma Na Kuandika (Kuongea achia Wazungu)
-Usiwe Bonge
-Uwe Mwaminifu
-Ujue Customer Care
OFISI INAJIHUSISHA NA NINI?
MOVIE STORE yenye huduma tofauti ndani yake.
UZOEFU NA KAZI (nyongeza)
-Ambae amewahi Fanya Kazi ya Kuingiza Movie kwa Wateja na anaezijua Movie na Series Kali kwa ajili ya Wateja Atapewa kipaumbele.
-Ambae amewahi Fanya Kazi ya Uwakala wa Kibenki,Mitandao Ya Simu anaezijua changamoto zake Atapewa Kipaumbele.
Jinsia Wanahitajika : Wanaume Wawili + Mwanamke Mmoja
MSHAHARA : 200,000 kwa mwezi
MUDA WA KAZI :
J3 - Ijumaa : Saa 1 Asubuhi Hadi 5 Usiku
J2 - Saa 4 Asubuhi Hadi 5 Usiku
NOTE : HAMNA OFF wala HAMNA HELA NYONGEZA INAYOTOLEWA KWA MFANYAKAZI TOFAUTI NA MSHAHARA WAKE.
UDHAMINI :
Kwa wanaohitaji Kazi ukija PM Uwe na Barua 3
1.Mdhamini 1 (Barua yake ya utambulisho toka serikali ya Mtaa)
2.Mdhamini 2 (Barua yake ya utambulisho toka serikali ya Mtaa)
3.Barua yako ya Utambulisho Toka Serikali ya Mtaa.
PM ipo Wazi kwa wahitajk Kazi ni ya HARAKA Kwa Mwenye Sifa na amekamilika Kazi utaanza HAPO HAPO pindi umemaliza wasiliana na mimi.
Asanteni.
We si kazi unayo saiviNingekua kijana sifanyi hiyo kazi hata kama nina sifa. Hiyo kazi kijana utakufa masikini
Tupeane connection ya bandarin ndugu yangu.Njoo temeke uje upige kazi ya ukuli au njoo bandarin kuna mizingo ya kushusha kwenye meli
Dp world wametangaza kazi kibaoTupeane connection ya bandarin ndugu yangu.
Mbona cjaziona asee. Tafadhali share link!Dp world wametangaza kazi kibao
Course gan umesomaMbona cjaziona asee. Tafadhali share link!
Mm ni driver wa magari madogo ila hata hzo general labor duties na fanya.Course gan umesoma