Wafikishwa Mahakamani kwa kudukua Mfumo wa Kompyuta wa CRDB

Miaka 22 ameshaanza kuiba? Atafika kweli huyo, inasikitisha badala atumie hiyo akili kuzalisha uchumi upae yeye anatumia akili kuiba kazi iliyolaaniwa na mwenyenzi Mungu.
 
Miaka 22 ameshaanza kuiba? Atafika kweli huyo, inasikitisha badala atumie hiyo akili kuzalisha uchumi upae yeye anatumia akili kuiba kazi iliyolaaniwa na mwenyenzi Mungu.
Tulia wewe punguza kelele wameambiwa wasijibu chochote maana Mahakama hio haina jurisdiction utaona wanavyoipangua hio kesi hakuna kesi hapo
 
Dah!...huyu kijana mdogo amesomea 'IT' au 'programming' nini ?...ana akili nzuri sana, sema ameitumia vibaya.
 
Haya wahaya kaeni mkao wa kiadivoketi kuikwamua ndege ziwani.
 
Hapo imepambwa kama ni udukuzi ila kiuhalisia hakuna udukuzi uliofanyika
Huu sio udukuzi.
👇
 
Kuna mtu wa ndani amewapa details. Narudia tena. Kuna mtu ndani amewapa details!
 
Haya maelezo ni tofauti na tafsiri yako ya udukuzi stow away
 
Ifike mahali upendo utamalaki tuwe na tuition.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…