Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Ndio ujue hivyo bank haiibiwi kiboyaDah! 13M, ningekua mimi ningewapiga maximum damage mpaka Polisi wanipongeze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ujue hivyo bank haiibiwi kiboyaDah! 13M, ningekua mimi ningewapiga maximum damage mpaka Polisi wanipongeze
Bank hawana pesa Bali ni za watu....uzembe wa bank ndiyo kilichofanyikaWameiba bank au wameiba kutoka kwenye akaunti ya mteja ambae ungeweza kuwa hata wewe?
Sadakta.Exactly... security ya CRDB sidhan kama kuna monetary company ina security kali kama wale watu kwa TZ
Nionyeshe tajiri msafi...nikuonyeshe mama mwenye watoto 6 Ambae ni bikraMiaka 22 ameshaanza kuiba? Atafika kweli huyo, inasikitisha badala atumie hiyo akili kuzalisha uchumi upae yeye anatumia akili kuiba kazi iliyolaaniwa na mwenyenzi Mungu.
Unauliza tena ? Sasa kwanini ulinikosoa wakati hujui maana yake ?Hayo maelezo nimetoa Mimi au wametoa wao si wametoa wao wewe unaelewa nini maana ya udukuzi
Msimamo wangu ni ule ule maelezo hayajajitosheleza kudukua sio 'kutumia line ya simu kwa jina la mtu mwingine bila kutoa taarifa kwenye mtandao' elewa ninachomaanisha sio kusema vibaya tu km kitu hujui omba uelekezwe kuna maelezo wameyaficha ndio maana nakwambia maelezo yao hayajajitoshelezaUnauliza tena ? Sasa kwanini ulinikosoa wakati hujui maana yake ?
Wabongo kwa kujifanya 'much know' mpo vizuri
Haya maelezo hapa chini yanaonyesha ni udukuzi, kama sio basi niambie maana ya udukuzi ni ipi ?Msimamo wangu ni ule ule maelezo hayajajitosheleza kudukua sio 'kutumia line ya simu kwa jina la mtu mwingine bila kutoa taarifa kwenye mtandao' elewa ninachomaanisha sio kusema vibaya tu km kitu hujui omba uelekezwe kuna maelezo wameyaficha ndio maana nakwambia maelezo yao hayajajitosheleza
Kauingilia mfumo wa bank kauingiliaje kwa kutumia line ya simu na wao wamejuaje km ni yeye ndio ameuingilia mfumo wa bank?
Wangeeleza kinagaubaga sio kufichaficha, km hujaelewa na hapa wewe una kichwa kizito
Basi baki na kile unachokiamini sikuelekezi kichwa kizito wewe tutakesha hapa mara 100 unione sijui kituHaya maelezo hapa chini yanaonyesha ni udukuzi, kama sio basi niambie maana ya udukuzi ni ipi ?
👇
Wakili wa Serikali,Titus Aron akiwasomea mashtaka hayo amedai kati ya Januari 3, 2023 na Juni 3, 2023 mshtakiwa Riziki akiwa Mikocheni wilaya ya Kinondoni kwa nia ovu aliingilia mfumo wa kompyuta wa benki ya CRDB kisha kujipatia kiasi cha Sh.Milioni 13.8.
Yeah n I'm proud of that, are you happy? Unataka unipe kazi ya kuelekeza kichwa kizito nani anatakaNi kweli hujui
Milioni 13....? 🤠🤠Wameiba hela chache sana
Hata*150*03# ni mfumo wa kompyuta ulikua hujui 🤠Huu sio udukuzi.
👇
Kwa hio hapo ndio kadukua 😆Hata*150*03# ni mfumo wa kompyuta ulikua hujui 🤠
Sijui mkuu, Asante kwa elimuHata*150*03# ni mfumo wa kompyuta ulikua hujui 🤠
Police hawataki kuachia ulaji kwa Waendesha Mashitaka na wao wanataka kwenye plea bargain wachungulie kitakachotoka, ingekuwa victim ni raia wa kawaida upelelezi ungesha kamilika!!Mtu kakaa kituo cha polisi zaidi ya wiki then kesi inafunguliwa Mahakamani mwisho wa siku unaambiwa upelelezi haujakamilika.
Kuingilia mfumo wa bank wakati wao si Watumishi wa bank hiyo!!Ata mimi nimeshangaa kuna udukuzi gani hapo
Bakharessa!! Haya na wwe nioneshe Mama mwenye Watoto 6 ambae ana bikira!!Nionyeshe tajiri msafi...nikuonyeshe mama mwenye watoto 6 Ambae ni bikra