X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Una mfahamu vizuri...?Bakharessa!! Haya na wwe nioneshe Mama mwenye Watoto 6 ambae ana bikira!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una mfahamu vizuri...?Bakharessa!! Haya na wwe nioneshe Mama mwenye Watoto 6 ambae ana bikira!!
Hii ndiyo bongoDuh hunger zao
Ila vigogo wao wa serikali wanavyotuhujumu kila kukicha wakipelekwa mahakamni wanapewa nafac ya kujitetea, Thats why i hate the existence of Government its always hypocriticalWatu wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka manne likiwemo la kuingilia mfumo wa kompyuta wa benki ya CRDB na kujipatia kiasi cha Sh Milioni 13.8.
Washtakiwa hao ni Riziki Kanena (22) ambaye ni mkazi wa Mikocheni na Laulentina Yastaf Mkazi wa Akamea Karagwe mkoani Kagera.
Wakili wa Serikali,Titus Aron akiwasomea mashtaka hayo amedai kati ya Januari 3, 2023 na Juni 3, 2023 mshtakiwa Riziki akiwa Mikocheni wilaya ya Kinondoni kwa nia ovu aliingilia mfumo wa kompyuta wa benki ya CRDB kisha kujipatia kiasi cha Sh.Milioni 13.8.
Imedaiwa kuwa tarehe hizo mshtakiwa Riziki alitumia laini ya simu iliyosajiliwa kwa jina la Yusuph Mboko kisha aliiba kiasi hicho kwa kutumia laini ya simu ya Mboko bila kutoa taarifa kwa umiliki wa mtandao.
Pia katika shtaka la nne linalomkabili Laulentina , inadaiwa tarehe hiyo akiwa eneo la Akamea Karagwe mtaa wa Mlamba vijijini mkoani Kagera alipokea Sh. Milioni 5.4 wakati akijua ni mali ya wizi.
Aron amedai upelelezi wa shauri hilo haujakamilika hivyo aliomba mahakama hiyo ipange tarehe nyingine.
Baada ya kusomewa mashtaka hayo Hakimu Mkazi Mkuu, Pamela Mazengo amesema washtakiwa hao hawaruhusiwi kujibu chochote kwa sababu mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi ya uhujumu uchumi.
Hakimu Pamela, ameahirisha kesi hiyo hadi Agosti 14,2023 kwa ajili ya kutajwa na washtakiwa hao wamerudishwa rumande.
BONGO 5
"" Imedaiwa kuwa tarehe hizo mshtakiwa Riziki alitumia laini ya simu iliyosajiliwa kwa jina la Yusuph Mboko kisha aliiba kiasi hicho kwa kutumia laini ya simu ya Mboko bila kutoa taarifa kwa umiliki wa mtandao.""Huu sio udukuzi.
👇
Wanasiasa wakiwakomba mnageukia uzalendo wa Mali za umma. Kumbe mnazivizia nafasi. Watz wote baba yetu ni mmoja.Ndipo waliponikwaza mimi kanuni ni moja tu ukipata nafasi ya kupiga unapiga km hutapiga tena
Watu wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka manne likiwemo la kuingilia mfumo wa kompyuta wa benki ya CRDB na kujipatia kiasi cha Sh Milioni 13.8.
Washtakiwa hao ni Riziki Kanena (22) ambaye ni mkazi wa Mikocheni na Laulentina Yastaf Mkazi wa Akamea Karagwe mkoani Kagera.
Wakili wa Serikali,Titus Aron akiwasomea mashtaka hayo amedai kati ya Januari 3, 2023 na Juni 3, 2023 mshtakiwa Riziki akiwa Mikocheni wilaya ya Kinondoni kwa nia ovu aliingilia mfumo wa kompyuta wa benki ya CRDB kisha kujipatia kiasi cha Sh.Milioni 13.8.
Imedaiwa kuwa tarehe hizo mshtakiwa Riziki alitumia laini ya simu iliyosajiliwa kwa jina la Yusuph Mboko kisha aliiba kiasi hicho kwa kutumia laini ya simu ya Mboko bila kutoa taarifa kwa umiliki wa mtandao.
Pia katika shtaka la nne linalomkabili Laulentina , inadaiwa tarehe hiyo akiwa eneo la Akamea Karagwe mtaa wa Mlamba vijijini mkoani Kagera alipokea Sh. Milioni 5.4 wakati akijua ni mali ya wizi.
Aron amedai upelelezi wa shauri hilo haujakamilika hivyo aliomba mahakama hiyo ipange tarehe nyingine.
Baada ya kusomewa mashtaka hayo Hakimu Mkazi Mkuu, Pamela Mazengo amesema washtakiwa hao hawaruhusiwi kujibu chochote kwa sababu mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi ya uhujumu uchumi.
Hakimu Pamela, ameahirisha kesi hiyo hadi Agosti 14,2023 kwa ajili ya kutajwa na washtakiwa hao wamerudishwa rumande.
BONGO 5
Ukiona mapungufu sio unaiba mzee,toa taarifa rasmi itakua rahisi kupewa michongo kwny taasisi husikaWanatakiwa wapewe pongezi maana kama mtu wa ndani mtanzania ameona udhaifu kwenye mfumo wao ina maana amewaokoa wasiibiwe fedha nyingi zaid na mtu wa nje si kila kosa la kumuukumu mtu mengine ni funzo watu wajifunze na vitengo wa one umuhimu wa hao vijana
Wengi wamefanya hivo wameambulia Asante na ki laki bas ata ajira hawapewi shida hamna anaye tambua mchango wao watu wamesoma sana na wanaujuzi sana ila kutambulika na serikali au jamii ni ngumu kilicho Baki ni kuwaonesha Kwa vitendo na miaka ijayo kama tutaendelea kuzalisha wasomi tu bila kuwa n mikakati basi tutakuwa kama Nigeria wasomi wengi ila wezi ndio ajira pekeeUki
Ukiona mapungufu sio unaiba mzee,toa taarifa rasmi itakua rahisi kupewa michongo kwny taasisi husika
nbcExactly... security ya CRDB sidhan kama kuna monetary company ina security kali kama wale watu kwa TZ
Ushaambiwa laini ya simu ,hivi huwa mnasomaje habariUnadukua bank, halafu unaiba 13M? Hakuna udukuzi hapo.
Ushaambiwa laini ya simu ,hivi huwa mnasomaje habariUnadukua bank, halafu unaiba 13M? Hakuna udukuzi hapo.
Ushaambiwa laini ya simu ,hivi huwa mnasomaje habariUnadukua bank, halafu unaiba 13M? Hakuna udukuzi hapo.
Kuiba simu ya mtu unayejua password yKe ya simbanking ni kusoma ITDah!...huyu kijana mdogo amesomea 'IT' au 'programming' nini ?...ana akili nzuri sana, sema ameitumia vibaya.
Kamuibia mtu kwenye line yake ,pengine ndio alikua na kiasi hicho tuDah! 13M, ningekua mimi ningewapiga maximum damage mpaka Polisi wanipongeze