Wafikishwa Mahakamani kwa kudukua Mfumo wa Kompyuta wa CRDB

Ila vigogo wao wa serikali wanavyotuhujumu kila kukicha wakipelekwa mahakamni wanapewa nafac ya kujitetea, Thats why i hate the existence of Government its always hypocritical
 
Huu sio udukuzi.
👇
"" Imedaiwa kuwa tarehe hizo mshtakiwa Riziki alitumia laini ya simu iliyosajiliwa kwa jina la Yusuph Mboko kisha aliiba kiasi hicho kwa kutumia laini ya simu ya Mboko bila kutoa taarifa kwa umiliki wa mtandao.""

Umesoma hapo???
 
Nashauri kwa yeyote alie na Nia ya kuiba Bank pasipo kutumia siraha akajifunze kupitia Mikasa miwili adhimu na iliyoitikisa Dunia.
1) Ni ule mkasa wa SPAGIARI na GENGE lake

2) Na mkasa wa pili ni ule mkasa wa wale wadukuzi wawili waliodukua mifumo ya bank na kuiba kiasi cha zaidi ya billion 200 za kitanzania bila kujulikana hadi leo, huu mkasa ulisukwa kwa ustadi mkubwa Sana. kuanzia liletukio la wale jamaa kwenda kufungua account 4 bank na ku deposit pesa kiasi cha Dola miatano kwenye kila account na kuzitelekeza kwa zaidi ya miezi minne,, aiseeee
haya mambo yanapaswa kifundishwa level fulani ya elimu hapa kwetu na sio kuwakalilisha watu Integration na madudu mengine mengi,

Dunia inabadilika
 
Hv we uliyeleta hii habar unajua uzito wa hi sentensi “kudukua mfumo wa bank”!???
 

Nashauri waajiriwe huko benk kama ma IT
 
Uki
Ukiona mapungufu sio unaiba mzee,toa taarifa rasmi itakua rahisi kupewa michongo kwny taasisi husika
 
Uki

Ukiona mapungufu sio unaiba mzee,toa taarifa rasmi itakua rahisi kupewa michongo kwny taasisi husika
Wengi wamefanya hivo wameambulia Asante na ki laki bas ata ajira hawapewi shida hamna anaye tambua mchango wao watu wamesoma sana na wanaujuzi sana ila kutambulika na serikali au jamii ni ngumu kilicho Baki ni kuwaonesha Kwa vitendo na miaka ijayo kama tutaendelea kuzalisha wasomi tu bila kuwa n mikakati basi tutakuwa kama Nigeria wasomi wengi ila wezi ndio ajira pekee
 
Dah!...huyu kijana mdogo amesomea 'IT' au 'programming' nini ?...ana akili nzuri sana, sema ameitumia vibaya.
Kuiba simu ya mtu unayejua password yKe ya simbanking ni kusoma IT
 
Hao hawadukua mifumo ya kompyuta bana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…