Wafuasi wa Hayati Magufuli wanakubalika kuliko upinzani na CCM

Wafuasi wa Hayati Magufuli wanakubalika kuliko upinzani na CCM

Waacheni wapinzani watumike pamoja na hasira ya wanapambana na Marehemu, ila ukweli ni huo huku chini kuna kura zinazagaa zinakosa umakini wa kutunzwa.

Ukiwa field ndipo unaweza kusema ukweli, vinginevyo mitandao inadanganya hamna kitu humu.

Angalia zitto anavyopambana na marehemu ahahahaaa, aya huko Washington napo kimenuka.

Real tungeonyeshwa mazuri yao badala ya kutumia nguvu isiyokuwepo.
Hatutegemei kura zenu kushinda mpige msipige siye tushashinda kwa kishindo muda mrefu uliopita
 
Hatutegemei kura zenu kushinda mpige msipige siye tushashinda kwa kishindo muda mrefu uliopita
Sawa ndg kinana nimekuelewa ndiyo maana umerudishwa plus wale 3boys lazima mtoboe.

This is afrikan.
Ndiyo maana naita black human as our appearance.
 
Ukiachana na mihemko ya humu JF na Twitter kwa baadhi, ukweli ni kwamba kwa ground, SUKUMA GANG, wana mtaji wa watu wengi ambao ni tabaka la chini, kwa utafiti tu mdogo kati ya wananchi 10... wananchi 7 wanaamini maono na itikadi za Hayati JPM, huu ni ukweli ukitembelea wananchi kama mama ntilie, bodaboda, machinga ambao hili kundi lilikuwa mtaji wa CHADEMA.

Hata Lowassa alipata kura milion 6 kutoka kwenye hili kundi, now hili kundi limewapotezea CHADEMA na upinzani kwa ujumla kwa sababu kwanza wanampinga na kukejeri harakati za Hayati JPM.

Na ukweli ambao mama Samia Hassan Suluhu haambiwi, wananchi hawamkubali, wamekaa kimya, wengi wananung'unika, huku wakimkumbuka sana hayati.

Kituko kikubwa ni ndugu zangu UPINZANI kwa sasa imekuwa ngumu kuwarudia wananchi au lile kundi lililowahi kuwaamini na kuwazawadia kura takribani milioni 6+

Kwa sababu UPINZANI umekuwa ukifurahia hayati anaponangwa, wakati huohuo wananchi wengi wanaamini maono na itikadi za JPM zaidi, hivyo meseji inayokwenda kwa hilo kundi ni kuwa UPINZANI na mama Samia pamoja na CCM MASLAHI lao ni moja.

Kwa sasa asilimia kubwa ya wananchi hawana imani ni hii CCM MASLAHI, wala hawana imani na UPINZANI.

Nendeni kwa ground, imani kubwa ni kwenye maono ya JPM, wakiamini yule alikuwa mtu wao sahihi.

Hili kundi linaamini ndani ya system siku moja ataibuka mtu mwenye maono yale yale na atawainua tena.

Ukweli ni kwamba SUKUMA GANG, bado ipo ndani ya system, kwa sasa ipo kimya ,ikisubiri kujipenyeza na kurudi tena.

Kwa sasa kwenye uchaguzi ili upate kura nyingi na kukubalika, ukitembea na itikadi, maono ya JPM, huna mpinzani.

CCM MASLAHI na UPINZANI ni makundi mawili ambayo hayana ushawishi kwa wananchi.

Bado wananchi wanamkumbuka JPM alivyowapenda, alivyowafanya watembee kifua mbele wajione na wao ni wamiliki wa nchi yao, bado wanamkumbuka alivyowavusha kwenye Corona huku akikataa harakati za CHADEMA kutaka tufungiwe lockdown, bado wanamkumbuka alivyowapa fursa za kujiajiri bila kufukuzwa kama wakimbizi.

Twendeni kwa Ground, Wananchi hawamtaki mama, wamewapuuza UPINZANI
Nendeni mkasajili Chama ndo mtajua hamjui. Mpina aliyeshindwa ubunge matokeo yakatangazwa mara mbili usiku tofauti asubuhi tofauti ndo tegemeo la Sukuma Gang? Taja Sukuma Gang mmoja anayeweza kutikisa watu nchi hii, Makonda au Mnyeti?
 
Nendeni mkasajili Chama ndo mtajua hamjui. Mpina aliyeshindwa ubunge matokeo yakatangazwa mara mbili usiku tofauti asubuhi tofauti ndo tegemeo la Sukuma Gang? Taja Sukuma Gang mmoja anayeweza kutikisa watu nchi hii, Makonda au Mnyeti?
Polepole sasa kaenda kutikisa malawi
 
Kwa nini hao sukuma gang usiwashauri waanzishe chama chao na sera yao ikawa "kumrejesha magufuli",nadhani kwa uungwaji mkono huo unaosema watachukua nchi.
Waachane na siasa za ccm na upinzani wasipofanya hivyo basi hamna hiyo nguvu unayoisema.
 
Wanaopewa 5000 wapigie kura chama husika? Au unawasema wananchi wa wapi? Ila ndo bas tena
 
Unasema hwa wahinga kina Sabaya, Makonda, Happi na hilo jinga kubwa lao Msiba ??

Unasemea kina nani mkuu?
 
Na ukweli ndo huo wananchi wa chini mama hawamuelewi ata kidogo.
 
Kura za kwenye vikapu kama zile za Gwajiboi?
Waacheni wapinzani watumike pamoja na hasira ya wanapambana na Marehemu, ila ukweli ni huo huku chini kuna kura zinazagaa zinakosa umakini wa kutunzwa.

Ukiwa field ndipo unaweza kusema ukweli, vinginevyo mitandao inadanganya hamna kitu humu.

Angalia zitto anavyopambana na marehemu ahahahaaa, aya huko Washington napo kimenuka.

Real tungeonyeshwa mazuri yao badala ya kutumia nguvu isiyokuwepo.
 
Mtoa mada upo sahihi sana tena sana.
Huku mtaani mtu humwambii kitu kuhusu huyu kiongozi wa sasa. Hawataki hata kumsikia. Mbaya zaidi, si tu watu wa hali ya chini, lakini pia hata watumishi wa sekta mbalimbali, hata zile sekta nyeti hawamkubali hata kidogo.
Mimi nimeshuhudia mara kadhaa, watu wanaibusu picha ya
wanaomkubali huyu kiongozi wa sasa ni watu 2 tu.
Mbaya zaidi, wale wasaidizi wake hawataki kumwambia ukweli kwamba hali ni mbaya, yaani hakubaliki hata kidogo, labda uje mwujiza wa Mwenyezi Mungu.
Ndo maana mimi nilileta Uzi unaosema "CCM wasipofanya maamuzi magumu 2025 watashuhudia Historia mpya ikiandikwa"
 
Ukiachana na mihemko ya humu JF na Twitter kwa baadhi, ukweli ni kwamba kwa ground, SUKUMA GANG, wana mtaji wa watu wengi ambao ni tabaka la chini, kwa utafiti tu mdogo kati ya wananchi 10... wananchi 7 wanaamini maono na itikadi za Hayati JPM, huu ni ukweli ukitembelea wananchi kama mama ntilie, bodaboda, machinga ambao hili kundi lilikuwa mtaji wa CHADEMA.

Hata Lowassa alipata kura milion 6 kutoka kwenye hili kundi, now hili kundi limewapotezea CHADEMA na upinzani kwa ujumla kwa sababu kwanza wanampinga na kukejeri harakati za Hayati JPM.

Na ukweli ambao mama Samia Hassan Suluhu haambiwi, wananchi hawamkubali, wamekaa kimya, wengi wananung'unika, huku wakimkumbuka sana hayati.

Kituko kikubwa ni ndugu zangu UPINZANI kwa sasa imekuwa ngumu kuwarudia wananchi au lile kundi lililowahi kuwaamini na kuwazawadia kura takribani milioni 6+

Kwa sababu UPINZANI umekuwa ukifurahia hayati anaponangwa, wakati huohuo wananchi wengi wanaamini maono na itikadi za JPM zaidi, hivyo meseji inayokwenda kwa hilo kundi ni kuwa UPINZANI na mama Samia pamoja na CCM MASLAHI lao ni moja.

Kwa sasa asilimia kubwa ya wananchi hawana imani ni hii CCM MASLAHI, wala hawana imani na UPINZANI.

Nendeni kwa ground, imani kubwa ni kwenye maono ya JPM, wakiamini yule alikuwa mtu wao sahihi.

Hili kundi linaamini ndani ya system siku moja ataibuka mtu mwenye maono yale yale na atawainua tena.

Ukweli ni kwamba SUKUMA GANG, bado ipo ndani ya system, kwa sasa ipo kimya ,ikisubiri kujipenyeza na kurudi tena.

Kwa sasa kwenye uchaguzi ili upate kura nyingi na kukubalika, ukitembea na itikadi, maono ya JPM, huna mpinzani.

CCM MASLAHI na UPINZANI ni makundi mawili ambayo hayana ushawishi kwa wananchi.

Bado wananchi wanamkumbuka JPM alivyowapenda, alivyowafanya watembee kifua mbele wajione na wao ni wamiliki wa nchi yao, bado wanamkumbuka alivyowavusha kwenye Corona huku akikataa harakati za CHADEMA kutaka tufungiwe lockdown, bado wanamkumbuka alivyowapa fursa za kujiajiri bila kufukuzwa kama wakimbizi.

Twendeni kwa Ground, Wananchi hawamtaki mama, wamewapuuza UPINZANI

sasa hivi wanamtumia CAG kumchafua makufuli kufikisha ujumbe kwa wananchi kuwa jpm alikuwa fisadi. kila mara CAG ripoti zake ni makufuli tu
 
Hao wafuasi kama nani? Waambie waunde chama Chao afu tukutane 2025
CCJ wapi!? Kilishaundwa na kilikufilia mbali! Mfumo WA unafiki ulio ndani ya CCM ni imara Sana. Lowassa ilikuwa aimege na kudondoka na kundi la wanaCCM, lakini aliachwa akinyongeka peke yake na wachache. Ambao walirudi tena Kwa kuomba msamaha!
Jasusi bobevu alishindwa!

CCM ni kama playground bully, ukitoka huruhusiwi kuingia playground, huruhusiwi kucheza bembea, na waliokuwa marafiki ghafla hawakuiti tena mkacheze wala kukuona wewe ni rafiki Yao!
 
Ukiachana na mihemko ya humu JF na Twitter kwa baadhi, ukweli ni kwamba kwa ground, SUKUMA GANG, wana mtaji wa watu wengi ambao ni tabaka la chini, kwa utafiti tu mdogo kati ya wananchi 10... wananchi 7 wanaamini maono na itikadi za Hayati JPM, huu ni ukweli ukitembelea wananchi kama mama ntilie, bodaboda, machinga ambao hili kundi lilikuwa mtaji wa CHADEMA.

Hata Lowassa alipata kura milion 6 kutoka kwenye hili kundi, now hili kundi limewapotezea CHADEMA na upinzani kwa ujumla kwa sababu kwanza wanampinga na kukejeri harakati za Hayati JPM.

Na ukweli ambao mama Samia Hassan Suluhu haambiwi, wananchi hawamkubali, wamekaa kimya, wengi wananung'unika, huku wakimkumbuka sana hayati.

Kituko kikubwa ni ndugu zangu UPINZANI kwa sasa imekuwa ngumu kuwarudia wananchi au lile kundi lililowahi kuwaamini na kuwazawadia kura takribani milioni 6+

Kwa sababu UPINZANI umekuwa ukifurahia hayati anaponangwa, wakati huohuo wananchi wengi wanaamini maono na itikadi za JPM zaidi, hivyo meseji inayokwenda kwa hilo kundi ni kuwa UPINZANI na mama Samia pamoja na CCM MASLAHI lao ni moja.

Kwa sasa asilimia kubwa ya wananchi hawana imani ni hii CCM MASLAHI, wala hawana imani na UPINZANI.

Nendeni kwa ground, imani kubwa ni kwenye maono ya JPM, wakiamini yule alikuwa mtu wao sahihi.

Hili kundi linaamini ndani ya system siku moja ataibuka mtu mwenye maono yale yale na atawainua tena.

Ukweli ni kwamba SUKUMA GANG, bado ipo ndani ya system, kwa sasa ipo kimya ,ikisubiri kujipenyeza na kurudi tena.

Kwa sasa kwenye uchaguzi ili upate kura nyingi na kukubalika, ukitembea na itikadi, maono ya JPM, huna mpinzani.

CCM MASLAHI na UPINZANI ni makundi mawili ambayo hayana ushawishi kwa wananchi.

Bado wananchi wanamkumbuka JPM alivyowapenda, alivyowafanya watembee kifua mbele wajione na wao ni wamiliki wa nchi yao, bado wanamkumbuka alivyowavusha kwenye Corona huku akikataa harakati za CHADEMA kutaka tufungiwe lockdown, bado wanamkumbuka alivyowapa fursa za kujiajiri bila kufukuzwa kama wakimbizi.

Twendeni kwa Ground, Wananchi hawamtaki mama, wamewapuuza UPINZANI
Hotuba za Rais Magufuli zinauzwa kama njugu huku mtaani. Ukiuhudhuria vikao vya wana CCM huku chini ndio utashangaa na kucheka. Kila mmmoja anailaani CCM ya sasa, Mwenyekiti wake, Katibu wake na huyo Makamu Mwenyekiti ndio hawataki kumsikia kabisa. Wakati mwingine nahisi Mwenyekiti anaujua ukweli ndio maana alitoa ile kauli Marekani.
 
Kiongozi huzaliwa, Viongozi wanaozaliwa ni wachache, wanaotengenezwa ni wengi, tunahitaji nguvu kuyatambua haya.
 
Ukiachana na mihemko ya humu JF na Twitter kwa baadhi, ukweli ni kwamba kwa ground, SUKUMA GANG, wana mtaji wa watu wengi ambao ni tabaka la chini, kwa utafiti tu mdogo kati ya wananchi 10... wananchi 7 wanaamini maono na itikadi za Hayati JPM, huu ni ukweli ukitembelea wananchi kama mama ntilie, bodaboda, machinga ambao hili kundi lilikuwa mtaji wa CHADEMA.

Hata Lowassa alipata kura milion 6 kutoka kwenye hili kundi, now hili kundi limewapotezea CHADEMA na upinzani kwa ujumla kwa sababu kwanza wanampinga na kukejeri harakati za Hayati JPM.

Na ukweli ambao mama Samia Hassan Suluhu haambiwi, wananchi hawamkubali, wamekaa kimya, wengi wananung'unika, huku wakimkumbuka sana hayati.

Kituko kikubwa ni ndugu zangu UPINZANI kwa sasa imekuwa ngumu kuwarudia wananchi au lile kundi lililowahi kuwaamini na kuwazawadia kura takribani milioni 6+

Kwa sababu UPINZANI umekuwa ukifurahia hayati anaponangwa, wakati huohuo wananchi wengi wanaamini maono na itikadi za JPM zaidi, hivyo meseji inayokwenda kwa hilo kundi ni kuwa UPINZANI na mama Samia pamoja na CCM MASLAHI lao ni moja.

Kwa sasa asilimia kubwa ya wananchi hawana imani ni hii CCM MASLAHI, wala hawana imani na UPINZANI.

Nendeni kwa ground, imani kubwa ni kwenye maono ya JPM, wakiamini yule alikuwa mtu wao sahihi.

Hili kundi linaamini ndani ya system siku moja ataibuka mtu mwenye maono yale yale na atawainua tena.

Ukweli ni kwamba SUKUMA GANG, bado ipo ndani ya system, kwa sasa ipo kimya ,ikisubiri kujipenyeza na kurudi tena.

Kwa sasa kwenye uchaguzi ili upate kura nyingi na kukubalika, ukitembea na itikadi, maono ya JPM, huna mpinzani.

CCM MASLAHI na UPINZANI ni makundi mawili ambayo hayana ushawishi kwa wananchi.

Bado wananchi wanamkumbuka JPM alivyowapenda, alivyowafanya watembee kifua mbele wajione na wao ni wamiliki wa nchi yao, bado wanamkumbuka alivyowavusha kwenye Corona huku akikataa harakati za CHADEMA kutaka tufungiwe lockdown, bado wanamkumbuka alivyowapa fursa za kujiajiri bila kufukuzwa kama wakimbizi.

Twendeni kwa Ground, Wananchi hawamtaki mama, wamewapuuza UPINZANI

Mnaiwaza chadema hata kwenye Mambo ya kijinga. Nyie si ndio mnasema mitandao haipigi Kura. Mi katika Marais hovyo kwahi kutokea kwangu Ni Magufuli, alichotufanyia kazini kwetu sitamsahau.
 
Ulit
Ukiachana na mihemko ya humu JF na Twitter kwa baadhi, ukweli ni kwamba kwa ground, SUKUMA GANG, wana mtaji wa watu wengi ambao ni tabaka la chini, kwa utafiti tu mdogo kati ya wananchi 10... wananchi 7 wanaamini maono na itikadi za Hayati JPM, huu ni ukweli ukitembelea wananchi kama mama ntilie, bodaboda, machinga ambao hili kundi lilikuwa mtaji wa CHADEMA.

Hata Lowassa alipata kura milion 6 kutoka kwenye hili kundi, now hili kundi limewapotezea CHADEMA na upinzani kwa ujumla kwa sababu kwanza wanampinga na kukejeri harakati za Hayati JPM.

Na ukweli ambao mama Samia Hassan Suluhu haambiwi, wananchi hawamkubali, wamekaa kimya, wengi wananung'unika, huku wakimkumbuka sana hayati.

Kituko kikubwa ni ndugu zangu UPINZANI kwa sasa imekuwa ngumu kuwarudia wananchi au lile kundi lililowahi kuwaamini na kuwazawadia kura takribani milioni 6+

Kwa sababu UPINZANI umekuwa ukifurahia hayati anaponangwa, wakati huohuo wananchi wengi wanaamini maono na itikadi za JPM zaidi, hivyo meseji inayokwenda kwa hilo kundi ni kuwa UPINZANI na mama Samia pamoja na CCM MASLAHI lao ni moja.

Kwa sasa asilimia kubwa ya wananchi hawana imani ni hii CCM MASLAHI, wala hawana imani na UPINZANI.

Nendeni kwa ground, imani kubwa ni kwenye maono ya JPM, wakiamini yule alikuwa mtu wao sahihi.

Hili kundi linaamini ndani ya system siku moja ataibuka mtu mwenye maono yale yale na atawainua tena.

Ukweli ni kwamba SUKUMA GANG, bado ipo ndani ya system, kwa sasa ipo kimya ,ikisubiri kujipenyeza na kurudi tena.

Kwa sasa kwenye uchaguzi ili upate kura nyingi na kukubalika, ukitembea na itikadi, maono ya JPM, huna mpinzani.

CCM MASLAHI na UPINZANI ni makundi mawili ambayo hayana ushawishi kwa wananchi.

Bado wananchi wanamkumbuka JPM alivyowapenda, alivyowafanya watembee kifua mbele wajione na wao ni wamiliki wa nchi yao, bado wanamkumbuka alivyowavusha kwenye Corona huku akikataa harakati za CHADEMA kutaka tufungiwe lockdown, bado wanamkumbuka alivyowapa fursa za kujiajiri bila kufukuzwa kama wakimbizi.

Twendeni kwa Ground, Wananchi hawamtaki mama, wamewapuuza UPINZANI

Ulitaka chadema wamfurahie kisa kafariki? Alipokuwa anapigania na kuwaumiza na kuwafanyia kila dhihaka mbona hamkulaumu. Yani mtu awatese akiwa hai halafu muwalazimishe wamfurahie akifa ili kuwafurahisha.
 
ukwel mama hakubaliki,upinzani wamepuuzwa

Upinzani upuuzwe Mara ngapi?. So mlijaza CCM bungeni na kwenye halmashauri na kwenye vijiji. Sasa upinzani mnauingiza wa Nini?. Bakini na liserikali lenu acheni kuingiza upinzani kwenye Mambo yasiyo wahusu. Yani wananchi waichague CCM full suit halafu uje useme Mambo yako.
 
Back
Top Bottom