Wafuasi wa Hayati Magufuli wanakubalika kuliko upinzani na CCM

Mama amepotea njia pale alipokubali kuishi kumtumikia mzee wa Msoga!

Imeisha kula kwake na kundi la walamba Asali.

Cha muhimu ni kujipanga bila Papara!

Wapinzani na Urafiki wao na Kinana wameturudisha 1995-2015.

Wakati wa Kura mnaipigia ccm kote, lakini lawama mnataka kuupa upinzani. Bebeni mizigo yenu wenyewe.
 
Hao unaowadharau ndio Chadema wanalilia kura zao

Ndio waliwapa Chadema kura million 6 wakapata ruzuku ya Kila million 300 kwa mwezi ,wakanunua magaru ya movement for change

Usiwadharau
Chadema imeshajifuta yenyewe ,hakuna mwananchi anayeiamini tena...

Kama imejifuta endeleeni na CCM sio mmekalia kuifungulia nyuzi.
 
M
Chadema bila kujua wamejiingiza kwenye mtego wa kumnanga jpm, matokeo yake wananchi wanawaona wao na mama ni wale wale

Mbona hao chadema walimnanga huyo Magufuli akiwa hai? Leo wamnange akiwa mfu ndio waonekane wabaya. Kwa njia nyingine unasema kwamba mabaya aliowatendea Magufuli hao wapinzani akiwa hai Ni sahihi, na Ni kosa wapinzani kulalamika mabaya waliotendewa ambayo mengine mpaka Leo yanaishi.

Msituletee roho zenu za hofu kwamba muwafanyie vibaya watu na wasiseme kiss kuogopa waking wachache ambao walifurahia wenzao wakiteswa. Leo Mbowe atamsemaje vizuri Magufuli ambapo msaidizi wake mpaka leo hajulikani yupo wapi. Acheni unafiki.
 

Ukweli kuhusu kuuawa kwa been saanane na Azory. Aisee nasubiria ukweli kuhusu waliompiga risasi Lissu.
 
Mention hao wafuasi wanaokubalika mkuu ili wengine maybe twaweza wakubali!!!
 
Unaijua CCM wewe au unaisikia tuu juu juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…