LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
Na wale wanasema mama anaupiga mwingi na wanasuburia magari ya mahakama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajisifia kuwa msukule wa mtu. Bill gate aliacha shule akaanza kufanya kazi zake ila wewe unajisifia kuajiriwa😁😁😁Bora uwashauri waanze kubeti kuliko hii elimu ya ukasuku.
Acha kuwatisha watu wakati wewe ni msukule wa mtu😁😁😁Kama mshahara wako haufiki 1M after Tax rudi shule madfatari hayang'ati ikiwezekana anza kuvaa bukta ya bluu na shati nyeupe ununue na mfuko wa sports uweke kikombe cha uji uende shule Acha mambo ya ajabu nanii
Unaongea sana njoo nikupe kazi mshahara 2M hii nipo serious ukipuuza shauri yako.Acha kuwatisha watu wakati wewe ni msukule wa mtu😁😁😁
Kama wewe ni kidume kweli, acha kwenda kazini siku 5 kama haujafukuzwa kazi kama mbwa koko😁😁😁
Bill gate aliacha chuo akaanza kufanya kazi zake mwenyewe na sasa ni tajiri duniani.Vipi kuhusu wafanyakazi wa halmashauri ambao mishahara ni 580,000/=
Kuna haja kweli ya hawa watumishi mishahara yao ipitie akaunti ya benki
Walipwe tu kwa tigopesa au cash
Umeandika kwa jazba. Tuliza akili utaelewa ulichoandika.Unaongea sana njoo nikupe kazi mshahara 2M hii nipo serious ukipuuza shauri yako.
Elimu n mshahara una uhusiano gani?1. Kama mshahara wako unalipwa cash mkononi bila kupitia benki na vilevile hicho kiasi unaweza kuweka kwenye mfuko wa shati na ukaenea. Rudi shule.
2. Wale wote ambao mwezi December kazini kwao kulitangazwa kuwa ni likizo lakini watabaki wafanyakazi wachache kwa ajili ya dharura. Kama wewe ni miongoni mwa hao wafanyakazi tafadhali kaongeze elimi. Hata ushauri wa kufanya kazi kwa bidii haukufai.
3. Kama mshahara wako hauzidi Tsh 200,000/= unapaswa kuongeza elimu.
1. Kama mshahara wako unalipwa cash mkononi bila kupitia benki na vilevile hicho kiasi unaweza kuweka kwenye mfuko wa shati na ukaenea. Rudi shule.
2. Wale wote ambao mwezi December kazini kwao kulitangazwa kuwa ni likizo lakini watabaki wafanyakazi wachache kwa ajili ya dharura. Kama wewe ni miongoni mwa hao wafanyakazi tafadhali kaongeze elimi. Hata ushauri wa kufanya kazi kwa bidii haukufai.
3. Kama mshahara wako hauzidi Tsh 200,000/= unapaswa kuongeza elimu.
Kuna watu waliishia darasa la saba lakini wamewazidi mapato hao hao wenye PhD.3. Kama mshahara wako hauzidi Tsh 200,000/= unapaswa kuongeza elimu.
kwa ulichoandika wewe ndo unahitaji shule zaidi ya hao...jitafakari1. Kama mshahara wako unalipwa cash mkononi bila kupitia benki na vilevile hicho kiasi unaweza kuweka kwenye mfuko wa shati na ukaenea. Rudi shule.
2. Wale wote ambao mwezi December kazini kwao kulitangazwa kuwa ni likizo lakini watabaki wafanyakazi wachache kwa ajili ya dharura. Kama wewe ni miongoni mwa hao wafanyakazi tafadhali kaongeze elimi. Hata ushauri wa kufanya kazi kwa bidii haukufai.
3. Kama mshahara wako hauzidi Tsh 200,000/= unapaswa kuongeza elimu.
Umesema kweli kabisaaa.Kuna mwenye shule nzuri lakini hata hiyo sehemu tu ya kulipwa pesa mkononi, ambayo anaweza kuiweka kwenye mfuko wa shati na ikatosha hana na anaitafuta kwa mbinde!! Acha tu kuwa uyaone!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afrika ina ujinga mwingi sana. Mtu anajisifia kuajiriwa wakati muda wote huko makazini wanatumwa kama watoto, wengine walipata hiyo kazi kwa kuroga (chale mpaka makalioni) na wengine mpaka wametoa rushwa ya ngono.
Mkuu naona uzi ufungwe kwa hii comment yako. Kuongeza ujuzi hata kupitia YouTube ni sawa na kwenda shule. Mimi nimejifunza kifaransa kupitia App ya Duolingo baada ya kuanza kupata wateja kadhaa wa Burundi na DRC.Kuongeza ujuzi ndio jambo muhimu zaidi. Mtu ukiingia youtube mambomingisana yakujifunza bure na yana uwezo wa kumpa mtu kipato vizuri tu.
Youtube shule bora number 1 duniani. Niwewe ujue nini unatafuta kujua.
Mtoa mada hafahamu hili.Kuongeza elimu kuna husiana vp na mshahara/kazi ndugu?
na sisi wenye shule sijui elimu na ni jobless 🌚turudi pia kuongeza elimu