Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Unaweza kufukuzwa kwenye biashara yako?Umeandika kwa jazba. Tuliza akili utaelewa ulichoandika.
Acha kwenda kazini siku 4, uone utakavyofukuzwa kama mbwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kufukuzwa kwenye biashara yako?Umeandika kwa jazba. Tuliza akili utaelewa ulichoandika.
Acha kwenda kazini siku 4, uone utakavyofukuzwa kama mbwa.
Ajira ni utumwaBill gate aliacha chuo akaanza kufanya kazi zake mwenyewe na sasa ni tajiri duniani.
Ila wewe umesoma mpaka chuo umeajiriwa na unajiona una akili sana😁😁😁😁😁
Acha kwenda kazini siku 4 bila kutoa taarifa kama haujafukuzwa kama mbwa.
Duh masterz ya nn?Mkuu we upo nchi gani? Degree zinafanya kazi ya bodaboda,mkaa na umachinga........ utakuwa hauko Tz........nina jamaa yangu ana Masters ni bodaboda Tabata 😔😔
😀 Sure mzee alikuwa muhindi huyo?nikishawahi kufanya kazi mshahara 75k kwa mwezi (2500 /day). Bro sometimes life linaweza kukuhumble from nowhere na ukaacha kejeli once and for all.
MA ya PA mzumbe na udsm BAPSPADuh masterz ya nn?
😂😂😂😂nnayo kwani😂Naiomba hiyo ada
Rudi shule na eliminatana sisi wenye shule sijui elimu na ni jobless 🌚turudi pia kuongeza elimu
Mbunge msukuma kaishia darasa la 7 lkn ameajiri wasome wenye degree.Mkuu naona uzi ufungwe kwa hii comment yako. Kuongeza ujuzi hata kupitia YouTube ni sawa na kwenda shule. Mimi nimejifunza kifaransa kupitia App ya Duolingo baada ya kuanza kupata wateja kadhaa wa Burundi na DRC.
Nani akuchome moto wakati wewe ni job seeker tu.Wananchi wenye hasira wanataka kunichoma moto. 😁
Siyo tu kukuchoma moto na kukulawiti wanatakaWananchi wenye hasira wanataka kunichoma moto. [emoji16]
Wewe jomba mbona huko nyuma hukuwa hivyo?Siyo tu kukuchoma moto na kukulawiti wanataka