Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Ondoa wote weka makonda
 
Hebu fanya marekebisho kidogo!
Namba 1 out weka namba 3
Namba 2 Ije namba 4 futa iliyopohivyo namba 4 weka Mpina Luhanga.
Naomba nne itakuwa na watu wawili Kwa mpangilio wako.

Pangilia wewe tuone, weka na sababu🙏
 
3 hatabiriki ana uginjwa wa akili
Ulimpima ugonjwa huo?

By the way hata wewe ni kichaa Sema tu hakijaamka sababu katika Ubongo wa Kila mwanadamu, Kuna funza Kwa ajili ya kubalance hasira.

Bila Mungu kukuongoza, unaweza fanya jambo Ulimwengu ukashangaa!!
 
Ndomana tunadai Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi.
 
Mkuu hili wanalijua,na ndio maana Samia ameweke her people in key positions, wamekataa Tume Huru ya Uchaguzi na Wakurugenzi wa Halimashauri ndio wasimamizi wa uchaguzi.Hawa jamaa huwa wanatangaza ushindi kwa CCM kwa mtu CCM inayempenda, taarifa tunazo mkuu.So no doubt about it,CCM watatangazwa washindi,hata kama wakishindwa.Rais Tanzania anateuliwa, hachaguliwi.Kwa mantiki hiyo uchaguzi Tanzania is a wastage of the Nations' resources.
 
Ningeongea zaidi bt wacha niweke akiba ya maneno.

Bt in short, CCM wakikaza shingo na kuleta aliyepo, mbeleni Si kwema hata kdg.

Tusubiri.
 
Dawa ya makuwadi ya Samia na dpworld hio, mapoyoyo na mabwabwa ya lumumba lazima yatetemeke.
Wewe umeelewa vizuri,

CCM ikija na mgombea dhaifu, hakuna RANGI ambayo hawatoona huko mbeleni.
 
Takataka tupu
 
Nchi imekosa watu hii mpaka akina Gwajima[emoji23]
 
Kwa mawazo haya ama kweli Pro. Limumba alikuwa sahihi

View: https://youtu.be/ZKx4c6B6vMM?si=R499FCZypyJIYTJ3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…