Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Wengne hzo habar ndio tunazitaka ,upumbavu wa kutuweka giza kama tupo kuzimu wa nn!? Maisha kuwa juu ,nchi kuduma ya nn yte hayo bora muokotwe tu kwenye hayo maroba kama ninyi ndio mnatukwamishaJinsi jiwe lilikuwa katili bora wasivivae viatu vyake.
Hatutaki tena habari za watu wasiojulikana, kuokota viroba vyenye miili ya watu waliouawa, kutekana, kutotaka kukosolewa, siasa za visasi
Umenikumbusha,Kwa mawazo haya ama kweli Pro. Limumba alikuwa sahihi
View: https://youtu.be/ZKx4c6B6vMM?si=R499FCZypyJIYTJ3
Hizo sifa mbaya hazijatajwa hapo.Jinsi jiwe lilikuwa katili bora wasivivae viatu vyake.
Hatutaki tena habari za watu wasiojulikana, kuokota viroba vyenye miili ya watu waliouawa, kutekana, kutotaka kukosolewa, siasa za visasi
Kweli kabisa,Wengne hzo habar ndio tunazitaka ,upumbavu wa kutuweka giza kama tupo kuzimu wa nn!? Maisha kuwa juu ,nchi kuduma ya nn yte hayo bora muokotwe tu kwenye hayo maroba kama ninyi ndio mnatukwamisha
Salaam, Shalom!!
Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.
Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,
1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.
2. UZALENDO.
3. UCHAPAKAZI.
4. MAONO/VISION.
Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.
1. KASSIM MAJALIWA
2. PHILIP MPANGO.
3. TUNDU ANTIPAS LISSU.
4. JOSEPHAT GWAJIMA.
Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA [emoji1241].
Karibuni[emoji120]
Walichumia tumbo la mamako?Hapo umepatia mmoja tu Kassim Majaliwa.
Hao wengine ni wachumia tumbo tu
Why nimtoe ilhali ana sifa ya UZALENDO, Uthubutu, Msimamo na Vision?mtoe lissu
Mawazo Yako yanaheshimiwa 🙏Takataka tupu
Mzee majaliwa huyuhuyu ninaemjua mimi ndie msafi kwako?Hapo umepatia mmoja tu Kassim Majaliwa.
Hao wengine ni wachumia tumbo tu
Huyu toa kabisa tupa kule.3. TUNDU ANTIPAS LISSU.
PolepoleSalaam, Shalom!!
Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.
Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,
1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.
2. UZALENDO.
3. UCHAPAKAZI.
4. MAONO/VISION.
Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.
1. KASSIM MAJALIWA
2. PHILIP MPANGO.
3. TUNDU ANTIPAS LISSU.
4. JOSEPHAT GWAJIMA.
Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Karibuni🙏
Unerogwa weweSalaam, Shalom!!
Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.
Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,
1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.
2. UZALENDO.
3. UCHAPAKAZI.
4. MAONO/VISION.
Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.
1. KASSIM MAJALIWA
2. PHILIP MPANGO.
3. TUNDU ANTIPAS LISSU.
4. JOSEPHAT GWAJIMA.
Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA [emoji1241].
Karibuni[emoji120]
Kilaza jaziniHapo umepatia mmoja tu Kassim Majaliwa.
Hao wengine ni wachumia tumbo tu
Hivi 2000 kuna uchaguzi?Namba moja na 3 naona wanaweza kabisa