zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Acha kuleta ubaguzi na mfumo dume. Kwanza wanawake ndio wengi Tanzania kuliko wanaume, pili watanzania 70% ni vijana chini ya miaka 35!! Sasa unategemea walio wengi wasiongoze?Ole wako Nchi ambayo kiongozi wako ni mwanamke au kijana mdogo!!
Ukiona hayo yameruhusiwa KUTOKEA, jua mnaadhibiwa.
Haupo serious