Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Salaam, Shalom!!

Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.

Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,

1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.

2. UZALENDO.

3. UCHAPAKAZI.

4. MAONO/VISION.

Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.

1. KASSIM MAJALIWA

2. PHILIP MPANGO.

3. TUNDU ANTIPAS LISSU.

4. JOSEPHAT GWAJIMA.

Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni🙏
Na Vanance Mabeyo vipi hana sifa hizo?
George Simbachawene naye je?
 
Si kwamba nimewauliza, ni mtazamo wangu, C DF mstaafu Venance Mabeyo kwenye sifa ulizoainisha anafiti.
Kwanini kumhusisha mtu huyo na siasa?

Anafaa katika upande huo wa pili Si katika siasa maana Si mwanasiasa yule.

Kumtaja mtu wa aina Ile kwenye uongozi wa umma kisiasa, unatengeza taswira hasi!!
 
Wataje wajomba na shangazi zako waliotekwa!nchi hii waharifu ni wengi sana hawashughurikiwi ndiyo hao wabadhilifu, mkono ukiwafikia wanalalamika na kutaka kumhusisha Kila mtu,hao hawakutekwa walikamatwa
Ndio maana nalo lenyewe limekufa
 
Kwanini kumhusisha mtu huyo na siasa?

Anafaa katika upande huo wa pili Si katika siasa maana Si mwanasiasa yule.

Kumtaja mtu wa aina Ile kwenye uongozi wa umma kisiasa, unatengeza taswira hasi!!
Wapo wengi tu waliokuwa wanajeshi na sasa wanatumika upande wa pili,
 
Kwamba tangu alipofariki watu wameacha kupotea?

Pia mada inamjadili Magu Kwa sifa kuu nne pekee, 1. Uzalendo, 2. Uthubutu 3. Uchapakazi 4. MAONO.

Jadili HOJA hapo juu , ikiwa huna HOJA nyamaza kimya.
Maono gani? Kuvunja mahusiano ya kimataifa ndiyo maono? Kujenga runway ya kiwango cha International kijijini kwake ndiyo maono?

Kuiba fedha Tsh 2.4 Trllion ndiyo uchapa kazi?

Uthubutu wa kuua wakosoaji, kukandamiza demokrasia na kunyamazisha free press?? Huo ni woga siyo uthubutu

Kaeni na upumbavu wenu kwa vile aliwadanganya na mukakubali uwongo wake.

Wenye akili tunamjuwa kuwa alikuwa mwizi, mwongo na muuaji. Muache DIKTETA aendelee kuungua na moto wa jehanam
 
Maono gani? Kuvunja mahusiano ya kimataifa ndiyo maono? Kujenga runway ya kiwango cha International kijijini kwake ndiyo maono?

Kuiba fedha Tsh 2.4 Trllion ndiyo uchapa kazi?

Uthubutu wa kuua wakosoaji, kukandamiza demokrasia na kunyamazisha free press?? Huo ni wpga siyo uthubutu

Kaeni na upumbavu wenu kwa vile aliwadanganya na mukakubali iwpngo wake.

Wenye akili tunamjuwa kuwa alikuwa mwizi, mwongo na muuaji. Muache DIKTETA aendelee kuungua na moto wa jehanam
Basi sawa!!

Mawazo Yako ya kijinga pia yaheshimiwe!!
 
Namba tatu alikuwa ansomba nchi inyimwe misaada au mwingine?
Alifanya hivyo Ili kushinikiza DEMOKRASIA isikandamizwe.

Alikuwa na Nia njema katika Hilo.

Ni kama Sa100 Leo hataki Tume huru ya Uchaguzi, so upinzani ukidai misaada isitishwe Ili kushinikiza Sanduku la kura lililoibwa lirudi mahala pake,watakuwa sahihi.

Lakini in general,

UZALENDO wa Lissu juu ya nchi yetu Si wa kutiliwa shaka hata kidogo.

Karibu.
 
Basi sawa!!

Mawazo Yako ya kijinga pia yaheshimiwe!!
Hivi wewe Rabbon seriously unategemea uandike masifa ya kijinga ya kumpamba Magufuli halafu tukae kimya? Kama wewe alikutendea vyema kumbuka kuna aliowatendea unyama. Lazima vyote viwekwe kwa mizania iliyo sawa ndiyo wasomaji wapime.
 
Back
Top Bottom