Wafugaji wa kuku wa nyama na mayai wasiosajiliwa kuchukuliwa hatua

Wafugaji wa kuku wa nyama na mayai wasiosajiliwa kuchukuliwa hatua

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
16,515
Reaction score
28,506
1551861750366.png


Wafugaji wa kuku wa nyama na mayai wametakiwa kujisajili kisheria ili waweze kutambulika na kufanya kazi ya ufugaji kwa ufuata sheria zilizowekwa.

Imeelezwa kuwa wote ambao hawajasajiliwa lakini wanafanya kazi ya ufugaji kuku, hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Mpaka sasa takwimu zinaonyesha ni wafugaji 41 tu ndio wameshasajiliwa.
Mamlaka zinazohusika zimesema ni lazima kila mfugaji kuku kuwa na kitambulisho, na asiye nacho atachukuliwa hatua za kisheria.

Taarifa hio pia imedai kuwa hata wauzaji pia wa kuku na mayai ni lazima kuwa na vitambulisho hivyo.
 
Why only wa nyama na mayai? Kwa kuwa wengi ni wa maeneo ya mijini? Vipi na ng'ombe na mbuzi wa maziwa? Siku hizi hata sungura na kware wanafugwa pia! Vipi na hawa? Au kwa kuwa contribution yao ni insignificant? Duh! Tutaanza kufuatiliwa hadi majumbani wajameni. Makuku yenyewe yanavyotesa na kufa ovyo!
 
Na Wenye visima ambao hawajaanza kulipia Kodi Na tozo zingine Za Serikal nashauri Serikal ya awamu ya Tano ikavifukie visima hivyo ili iwe fundisho kwa wakwepa kodi

'Serikal corrupt huwa haikusanyi kodi '- Mzee Nyerere

Serikal ya awamu ya Tano sio corrupt
 
View attachment 1039167

Wafugaji wa kuku wa nyama na mayai wametakiwa kujisajili kisheria ili waweze kutambulika na kufanya kazi ya ufugaji kwa ufuata sheria zilizowekwa.

Imeelezwa kuwa wote ambao hawajasajiliwa lakini wanafanya kazi ya ufugaji kuku , hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Mpaka sasa takwimu zinaonyesha ni wafugaji 41 tu ndio wameshasajiliwa.
Mamlaka zinazohusika zimesema ni lazima kila mfugaji kuku kuwa na kitambulisho, na asiye nacho atachukuliwa hatua za kisheria.

Taarifa hio pia imedai kuwa hata wauzaji pia wa kuku na mayai ni lazima kuwa na vitambulisho hivyo.
Kwani hizi sheria wanazitungia wapi na wananchi wa kawaida ambao ndio wafugaji wanazijulia wapi?
 
Sema si tunaofuga wakienyeji poa tu hatuitaji kibali chochote ata uwe na kuku 100.
 
Na unyumba pia tutozwe...500# bao moja kwa wanandoa
 
... ninatakiwa kuwa na angalau kuku wangapi ndipo nijisajili? Hata 10?
inatakiwa kuanisha , maana mwingine anafuga kwa ajili ya kitoweo tu home bado ajisajili? maana ukisikia kujisajiri means ulipe mlolongo wa vibali!!! na kujaza form kama jaji wa mahakama kuu
 
Kwaiyo hata mimi ninaefuga kuku nyumbani kwa ajili ya mboga home na kwa bahati bahati siku za sikuukuu na uza kidogo nikajisajili???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Why only wa nyama na mayai? Kwa kuwa wengi ni wa maeneo ya mijini? Vipi na ng'ombe na mbuzi wa maziwa? Siku hizi hata sungura na kware wanafugwa pia! Vipi na hawa? Au kwa kuwa contribution yao ni insignificant? Duh! Tutaanza kufuatiliwa hadi majumbani wajameni. Makuku yenyewe yanavyotesa na kufa ovyo!
Kila mtu atafikiwa ni suala la muda tu.
 
Back
Top Bottom