Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili linawezekanaje,ok, kama linawezekana ni pale tu ambapo providers wa support services hawafahamiki, hebu tuunde mamlaka ya kuwasimamia- tegulatory bodyi. Kuna watu wabaya wanaweza kutokea ndani au nje ya jamii wakatuuzia kuku ambao sio salama kwa afya
Wa2... ninatakiwa kuwa na angalau kuku wangapi ndipo nijisajili? Hata 10?
Wafanyakaz mnalipwa na Kodi kutoka wapYoyote anayeingiza kipato ni lazima alipe kodi....Wafanyakazi tumewabeba sana wafanyabiashara na mwisho wa siku mkatuona mburulas.
Tulipe kodi ili tujue uchungu wa matumizi ya kodi.