Wafugaji wa kuku wa nyama na mayai wasiosajiliwa kuchukuliwa hatua

Wafugaji wa kuku wa nyama na mayai wasiosajiliwa kuchukuliwa hatua

Hii ni habari iliyoripotiwa katika gazeti moja na ambayo pia inasambaa mitandaoni.

Kwa kifupi, wanatakiwa kusajiliwa kwa mujibu wa sheria na sio kufuga hivi hivi. Taarifa hii imetolewa na Dr. John Kaijage ambae ni Mtafiti Mkuu na Mratibu wa ufugaji wa kuku katika Wizara ya Kilimo na Mifugo.

Habari ndio hio.
Ni hela tu inatafutwa hapo. Haluna kingine
 
Hii ni habari iliyoripotiwa katika gazeti moja na ambayo pia inasambaa mitandaoni.

Kwa kifupi, wanatakiwa kusajiliwa kwa mujibu wa sheria na sio kufuga hivi hivi. Taarifa hii imetolewa na Dr. John Kaijage ambae ni Mtafiti Mkuu na Mratibu wa ufugaji wa kuku katika Wizara ya Kilimo na Mifugo.

Habari ndio hio.
Madhara ya kuongozwa na kichaa ndio haya Mkuu.
 
Kila mtu atafikiwa ni suala la muda tu.
One world order, lazima tuwe kwenye mfumo! kuna siku itafika huwezi kuuza wala kununua endapo huna namba ya utambulisho. wafanyakazi hivi sasa lazima wawe na TIN number, ili kupata mshahara. sasa wewe unayefuga kware utatambulikananje kama hujajisajili?😎🤣
 
Aisee Tunakoenda siko. Ebu fikiria Nmemaliza kozi ya IT sina kazi, nkaona bora nijiajiri nitengeneze kablog kangu au website yangu baada ya kulipia domain name naambiwa inabidi nilipie usajili wa wesite millioni moja kwa serikali. Okaay nkaona hio milioni sina nkaamua niachane kwanza na mambo ya website na blog yangu nkaanza kufuga kuku, Punde si punde naambiwa na ufugaji wa kuku inabidi nijisajili na nilipe kodi. Nkaona niachane na hio tena, Nkafikiria kile kisima nlichoachiwa na bibi mzaa mama, Nkasema yeees acha nianze kuuza maji mtaani kwenye kile kisima, napo nkaja kuambiwa inabidi nilipe kodi. Aiseee Kwa namna hii sie tuliopo kwenye 'Jobless Corner' Tutatokaje kimaisha. sasa kila startup itakua inafeli kutokana na hizi kodi zisizoeleweka. Whyyy!!!!!!!
Kwa sababu msipojisajiri. Kuna watu wabaya wanaweza kutokea ndani au nje ya jamii wakatuuzia kuku ambao sio salama kwa afya. Tuko kwenye vita ya kiuchumi ambayo huwezi jua adui anakuja kwa style gani. Kwa hiyo we tulia kama ulivo serikali ulikulinde.
Ndo hivo hivo tulifika kwenye conclusion kwamba NGOs zisajiliwe kwa sababu kilikua na NGOs ambazo zilikua zina malengo evil juu ya hili taifa.

So relax brother. This goverment fights a lot of battles in silence na wananchi hawawezi kujua kwa sababu wanasikiliza sana western media kuliko kufatilia ukweli
 
Ni kweli tunahitaji barabara na madaraja lakini sio kwa mtindo huu
 
10 tenaa...!! Watasajilii mpaka wafugaaa mbwaaa
 
Why only wa nyama na mayai? Kwa kuwa wengi ni wa maeneo ya mijini? Vipi na ng'ombe na mbuzi wa maziwa? Siku hizi hata sungura na kware wanafugwa pia! Vipi na hawa? Au kwa kuwa contribution yao ni insignificant? Duh! Tutaanza kufuatiliwa hadi majumbani wajameni. Makuku yenyewe yanavyotesa na kufa ovyo!
Safi sana.Tunaanza na wanaosafirisha kuku kwenye bodaboda na vipikapu watuonyeshe vibali vyao kwa kuwa ilishatangazwa wasafirisha vitoweo wapate leseni. Kisha tunauliza watuonyeshe manda yao ya kufugia na Vibali vyao. Kama hawana tuntaifisha kuku. Hatuachi mpaka kuku wapotee mjini na wapande bei. Tuige kufuata sheria bila shuruti kama wapinzani walivyofanya wakati wa uchaguzi. Tano tena.
 
Hii taarifa iliyoandikwa kwenye magazeti inaweza kuwa ya kitambo lakini nadhani ninjambo linalotakiwa kujadiliwa kwa kina. Mimi nilifikiri wanaotakiwa kuwekewa kipaumbele cha kusajiliwa ni wale wanaotoa huduma kwenye tasnia ya ufugaji kuku. Hao ni pamoja na:

Matabibu wa mifugo,
Animal production specialists,
Wauza pembejeo, et cetera
IMG-20201231-WA0012.jpg


Aidha, maelezo haya pia yame exclude wafugaji wa kuku wa asili, ambao, takwimu zinaonesha kuwa ni wengi zaidi ya kundi lengwa na hivyo ndio wenye mchango mkubwa
 
Like seriously KUKU?

Mbona sasa badala ya kupunguza umasikini instead mnaweka sheria zinazoongeza umasikini?

Nani anatunga hizi sheria kandamizi juu ya hawa masikini?

Kuna trailer ya far cry 6 ipo YouTube ina ujumbe mzito sana.
Kwamba nchi ni kama grenade iliyochomolewa pini.
 
Back
Top Bottom