Wafugaji wa kuku wa nyama na mayai wasiosajiliwa kuchukuliwa hatua

Wafugaji wa kuku wa nyama na mayai wasiosajiliwa kuchukuliwa hatua

View attachment 1039167

Wafugaji wa kuku wa nyama na mayai wametakiwa kujisajili kisheria ili waweze kutambulika na kufanya kazi ya ufugaji kwa ufuata sheria zilizowekwa.

Imeelezwa kuwa wote ambao hawajasajiliwa lakini wanafanya kazi ya ufugaji kuku , hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Mpaka sasa takwimu zinaonyesha ni wafugaji 41 tu ndio wameshasajiliwa.
Mamlaka zinazohusika zimesema ni lazima kila mfugaji kuku kuwa na kitambulisho, na asiye nacho atachukuliwa hatua za kisheria.

Taarifa hio pia imedai kuwa hata wauzaji pia wa kuku na mayai ni lazima kuwa na vitambulisho hivyo.
Wawe wanagawa vyakula vyenye ruzuku kwa wafugaji,wanaleta sheria kandamizi,wapo wanaofuga majini pia wao hawaitaji usajili?
 
Tz tuna vyanzo vingi sana vya kupata mapato Hebu wenye mamlaka acheni uvivu wa kufikiria na kuwa wabunifu
 
Na Wenye visima ambao hawajaanza kulipia Kodi Na tozo zingine Za Serikal nashauri Serikal ya awamu ya Tano ikavifukie visima hivyo ili iwe fundisho kwa wakwepa kodi

'Serikal corrupt huwa haikusanyi kodi '- Mzee Nyerere

Serikal ya awamu ya Tano sio corrupt
Msitubane hivyo bhana! Hayo si maisha
 
Yoyote anayeingiza kipato ni lazima alipe kodi....Wafanyakazi tumewabeba sana wafanyabiashara na mwisho wa siku mkatuona mburulas.
Tulipe kodi ili tujue uchungu wa matumizi ya kodi.
 
Tumeipenda wenyewe, chaguo letu milele na wavimbe wapasuke watajijua wenyewe

Wacha waisome namba eenh sisiemu mbele kwa mbele[emoji445][emoji445][emoji445]

Kazi ipo[emoji2356]
 
Kama kawaida linatengenezwa tatizo baadae linakuja kutatuliwa alafu makofi na vigelegele kwa mtatuaji
View attachment 1039167

Wafugaji wa kuku wa nyama na mayai wametakiwa kujisajili kisheria ili waweze kutambulika na kufanya kazi ya ufugaji kwa ufuata sheria zilizowekwa.

Imeelezwa kuwa wote ambao hawajasajiliwa lakini wanafanya kazi ya ufugaji kuku , hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Mpaka sasa takwimu zinaonyesha ni wafugaji 41 tu ndio wameshasajiliwa.
Mamlaka zinazohusika zimesema ni lazima kila mfugaji kuku kuwa na kitambulisho, na asiye nacho atachukuliwa hatua za kisheria.

Taarifa hio pia imedai kuwa hata wauzaji pia wa kuku na mayai ni lazima kuwa na vitambulisho hivyo.
 
Luna kodi Mpya inakuja kila anayenyoa nywele ziwe za kwapani,mavuzi,ndevu au kichwani lazima uwe umejisajiri na kulipa 20k.
Tumeipenda wenyewe chama chetu mbele kwa mbele!!
 
Kodi ni lazima ilipwe
FB_IMG_1551768663357.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1039167

Wafugaji wa kuku wa nyama na mayai wametakiwa kujisajili kisheria ili waweze kutambulika na kufanya kazi ya ufugaji kwa ufuata sheria zilizowekwa.

Imeelezwa kuwa wote ambao hawajasajiliwa lakini wanafanya kazi ya ufugaji kuku , hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Mpaka sasa takwimu zinaonyesha ni wafugaji 41 tu ndio wameshasajiliwa.
Mamlaka zinazohusika zimesema ni lazima kila mfugaji kuku kuwa na kitambulisho, na asiye nacho atachukuliwa hatua za kisheria.

Taarifa hio pia imedai kuwa hata wauzaji pia wa kuku na mayai ni lazima kuwa na vitambulisho hivyo.
Mkoloni ana nafuu aisee !
 
Aisee Tunakoenda siko. Ebu fikiria Nmemaliza kozi ya IT sina kazi, nkaona bora nijiajiri nitengeneze kablog kangu au website yangu baada ya kulipia domain name naambiwa inabidi nilipie usajili wa wesite millioni moja kwa serikali. Okaay nkaona hio milioni sina nkaamua niachane kwanza na mambo ya website na blog yangu nkaanza kufuga kuku, Punde si punde naambiwa na ufugaji wa kuku inabidi nijisajili na nilipe kodi. Nkaona niachane na hio tena, Nkafikiria kile kisima nlichoachiwa na bibi mzaa mama, Nkasema yeees acha nianze kuuza maji mtaani kwenye kile kisima, napo nkaja kuambiwa inabidi nilipe kodi. Aiseee Kwa namna hii sie tuliopo kwenye 'Jobless Corner' Tutatokaje kimaisha. sasa kila startup itakua inafeli kutokana na hizi kodi zisizoeleweka. Whyyy!!!!!!!
Hii nchi shida sasa lkn all in all SSM ndiyo imeharibu hii nchi ni bora hata ww uliyesomea IT unaweza sema ajira hakuna lkn za walimu na madaktari bwana yule anajiita mzalendo wa nchi kafuta na sasa uchaguzi umekaribia kamejishaua kutoa ajira 4547 kwa wahitimu wa mwaka 2015-2017 na wahitimu wenyewe wapo zaid ya laki 2 nchi nzima. Na hapo kuajiri mpaka 2020.
CCM NDIYO MCHAWI WA MAENDELEO WA NCHI.
 
View attachment 1039167

Wafugaji wa kuku wa nyama na mayai wametakiwa kujisajili kisheria ili waweze kutambulika na kufanya kazi ya ufugaji kwa ufuata sheria zilizowekwa.

Imeelezwa kuwa wote ambao hawajasajiliwa lakini wanafanya kazi ya ufugaji kuku , hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Mpaka sasa takwimu zinaonyesha ni wafugaji 41 tu ndio wameshasajiliwa.
Mamlaka zinazohusika zimesema ni lazima kila mfugaji kuku kuwa na kitambulisho, na asiye nacho atachukuliwa hatua za kisheria.

Taarifa hio pia imedai kuwa hata wauzaji pia wa kuku na mayai ni lazima kuwa na vitambulisho hivyo.
Daah inasikitisha sana Tena mno,kwani kikwete aliwezaje kuongoza serikali yake pasina Mambo ya ovyo ivi uyu jiwe mbona anatukomoa mno maana Kodi zimeongezeka watu kapunguza ajira Amna mambo yanazidi kuwa magumu why kwake tu mwenzie aliwezaje hapa ndo utajua matumizi ya hekma na busara jiwe afai ata kuwa balozi wa nyumba kumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sheria ya leseni inakataza mkulima, mfugaji kutozwa kodi/ushuru kwenye mazao yao.
ila mwaka huu kila mmoja atalipa kodi
 
Back
Top Bottom