Wafugaji wa kuku wa nyama na mayai wasiosajiliwa kuchukuliwa hatua

Mimi nafuga ndevu vipi kuna usajili wowote
 
i. Kuna watu wabaya wanaweza kutokea ndani au nje ya jamii wakatuuzia kuku ambao sio salama kwa afya
Hili linawezekanaje,ok, kama linawezekana ni pale tu ambapo providers wa support services hawafahamiki, hebu tuunde mamlaka ya kuwasimamia- tegulatory body
 
Kila siku serikali inajitahidi kuwaudhi wananchi kwanamna nyingi. Uzuri watanzania sio reactuve ingekua balaa.
Tuendeleze uvumilivu tu ila ipo siku vumbi litatimka.
 
Yoyote anayeingiza kipato ni lazima alipe kodi....Wafanyakazi tumewabeba sana wafanyabiashara na mwisho wa siku mkatuona mburulas.
Tulipe kodi ili tujue uchungu wa matumizi ya kodi.
Wafanyakaz mnalipwa na Kodi kutoka wap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…