Steven Nguma
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 1,074
- 1,147
Tutafanya ila tulitangaza kwenye ITV,REDIO ONE, GAZETI MWANANCHI,NIPASHE,THEGARDIANMaonesho mengine toeni updates mapema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutafanya ila tulitangaza kwenye ITV,REDIO ONE, GAZETI MWANANCHI,NIPASHE,THEGARDIANMaonesho mengine toeni updates mapema
Naomba nitoe angalizo moja tunamajanga makubwa ya matapele wanaojifanya wanauza Mbwa hasa GSD nawaomba muwe waangalifu sana kwahilo, hasa Arusha,Moshi,Dar, ukikubaliana nao ukatuma pesa huoni Mbwa wala copy. Please tutafute tutakuonyesha njia iliyo sahihikupata Mbwa sahihi kwa mahitaji yako.
Karibu sana nduguMwakani nitahitaji gsd kiume na jike. Nitawatafuta
Kwakweli wanaumiza sana watu,halafu wanaluga tamu sana.[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu, hakuna eneo lenye matapeli ksma madalali wa mbwa.
Wansuza breed fake au hata wagonjwa.
Sio tu mikoa uliyoitaja hata Nairobi ndiko yalikozaliwa matapeli zaidi.
Nashukuru tunajaribu sasa, ila wenzetu wa kenya wapo vizuri zaidi yetu kwakweli.Ahaa niliona clip yenu kwa group la Coast
Scooby dooby doo....[emoji1]Dobermann.. Nampenda sana huyu mbwa. Umbo lake tuView attachment 887984View attachment 887985
Pitbull kila anavyozidi kukua ndio ana develop uchizi, usishangae siku unarudi unakuta amekula familia yote.... japo wengine wanamtetea ila ukweli ndio huo, ana uchizi ndani yake.Napenda kufuga Pitbull ila nasikia ni hatari sana unaweza ukapata kesi ya mauaji ngoja niendelee kufuga hawa wala "NYA".
Nahitaji kujua hao mnaowaita mbwa koko wanakua ni aina gani ya mbwa?karibu kwa mchango au maswali mkuu
Mbwa wa kiswahili ndio wakoje?Mi nafunga mbwa wa kiswahili na wako vzr Sana,kiulinzi ata adabu pia.nawapa huduma zote stahiki ikiwa chakula,chanjo zote,na kuoga kira jpili.kiukweli ulinzi tosha..
Nitapingana na ww daima hakuna Mbwa mkorofi ila inategemeana na ww mfugaji unavyo muandaa kwajili ya matumizi gani.Pitbull kila anavyozidi kukua ndio ana develop uchizi, usishangae siku unarudi unakuta amekula familia yote.... japo wengine wanamtetea ila ukweli ndio huo, ana uchizi ndani yake.
Nitapingana na ww daima hakuna Mbwa mkorofi ila inategemeana na ww mfugaji unavyo muandaa kwajili ya matumizi gani.
Kabla hujapingana na mimi daima ungejaribu kufanya utafiti.Nitapingana na ww daima hakuna Mbwa mkorofi ila inategemeana na ww mfugaji unavyo muandaa kwajili ya matumizi gani.
Kaka Mbwa yeyote ni mkali, Mbwa yeyote anatabia zake shida ni kukariri hadisi za walio fuga bila ya kufwatilia tabia za Mbwa, Mbawa yoyote usipo mfwatilia na kumwongoza kwa jinsi ya malengo yako ya ufugaji utamwona kichaa,Kuna Gsd alikuwa anaitwa raff alikuwa huwezi kumlisha kumwogesha kumtibu mpaka afungwe kama anachinjwa sasa na huyo tutasemaje?ilishindikana kumtunza mpaka ilibidi apumzishwe, na walimfundisha wennyewe kwamaba wanataka mbwa awe mkali,Kabla hujapingana na mimi daima ungejaribu kufanya utafiti.