MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Waganda wametoa sababu zao kwa nini imewalazimu kuegemea upande wa SGR ya Kenya zaidi ya ile ya Tanzania inayotegemewa kujengwa.
Naomba hii mada tuijadili kitaalam kwa kudadavua taarifa neno kwa neno.
Urefu
Kenya - 1,250KM
Tanzania - 1548KM (1228Km kwenye ardhi na 320km kwenye maji)
Uwezo wa mizigo
Kenya - kontena 8640 kwa siku maana ina uwezo wa treni 40 kwa siku kila moja ikiburuza kontena 216
Tanzania - kontena 216 kwa siku kwa ajili ya mapungufu na changamoto nyingi kuanzia bandarini na kwenye ziwa Victoria
Muda wa usafiri
Kenya - masaa 24
Tanzania - siku tatu, masaa 72 kama wakijaribu sana
Vikwazo vya aina ya mizigo
Kenya - Hamna kikwazo, vyote vinaruhusiwa
Tanzania - Kuna aina ya mizigo hairusiwi kupita kwenye ziwa
Upokezaji wa mizigo
Kenya - Hakuna changamoto, ni moja kwa moja
Tanzania - Bandari ya Mwanza na Port Bell, pale inabidi meli zitumike tano kuvusha mizigo ya treni moja
Uwezo wa bandari
Kenya - Bandari ya Mombasa ni kubwa mara tatu zaidi ya Dar, na bado kuna uboreshwaji unaoendelea
Tanzania - Bandari yao bado sana
Mizigo ya sasa
Kenya - Uganda inasafirisha mizigo tani milioni 10 kupitia Mombasa
Tanzania - Uganda inasafirisha tani milioni 0.5 kupitia Tanzania
Ukaribu wa soko kuu
Kenya - Ipo karibu ya Suez Canal
Tanzania - Ipo mbali sana na Suez Canal
Uhakika wa kukamilisha
Kenya - Imekanilisha Nairobi - Mombasa 472KM na tayari ujezi umeanza kwa eneo lililosalia ikiwemo upatikanaji wa pesa
Tanzania - Wametia saini mkataba wa ujenzi wa Dar - Morogoro 205KM, bado wanasaka hela kwa ajili sehemu iliyosalia, na pia bandari za Mwanza na Port Bell itabidi zijengwe upya na ununuzi wa meli aina mpya.
Hizo hapo ni baadhi ya sababu, kuna mengine mengi nikipata fursa nitaendelea kuyajaza humu.
Kwa wasomaji hodari great thinkers naomba muifuate ripoti kamili hapa https://sgr.go.ug/downloads/SGR_comparison_of_Kenya_Tanzania_Ethiopia_Uganda.pdf
Naomba hii mada tuijadili kitaalam kwa kudadavua taarifa neno kwa neno.
Urefu
Kenya - 1,250KM
Tanzania - 1548KM (1228Km kwenye ardhi na 320km kwenye maji)
Uwezo wa mizigo
Kenya - kontena 8640 kwa siku maana ina uwezo wa treni 40 kwa siku kila moja ikiburuza kontena 216
Tanzania - kontena 216 kwa siku kwa ajili ya mapungufu na changamoto nyingi kuanzia bandarini na kwenye ziwa Victoria
Muda wa usafiri
Kenya - masaa 24
Tanzania - siku tatu, masaa 72 kama wakijaribu sana
Vikwazo vya aina ya mizigo
Kenya - Hamna kikwazo, vyote vinaruhusiwa
Tanzania - Kuna aina ya mizigo hairusiwi kupita kwenye ziwa
Upokezaji wa mizigo
Kenya - Hakuna changamoto, ni moja kwa moja
Tanzania - Bandari ya Mwanza na Port Bell, pale inabidi meli zitumike tano kuvusha mizigo ya treni moja
Uwezo wa bandari
Kenya - Bandari ya Mombasa ni kubwa mara tatu zaidi ya Dar, na bado kuna uboreshwaji unaoendelea
Tanzania - Bandari yao bado sana
Mizigo ya sasa
Kenya - Uganda inasafirisha mizigo tani milioni 10 kupitia Mombasa
Tanzania - Uganda inasafirisha tani milioni 0.5 kupitia Tanzania
Ukaribu wa soko kuu
Kenya - Ipo karibu ya Suez Canal
Tanzania - Ipo mbali sana na Suez Canal
Uhakika wa kukamilisha
Kenya - Imekanilisha Nairobi - Mombasa 472KM na tayari ujezi umeanza kwa eneo lililosalia ikiwemo upatikanaji wa pesa
Tanzania - Wametia saini mkataba wa ujenzi wa Dar - Morogoro 205KM, bado wanasaka hela kwa ajili sehemu iliyosalia, na pia bandari za Mwanza na Port Bell itabidi zijengwe upya na ununuzi wa meli aina mpya.
Hizo hapo ni baadhi ya sababu, kuna mengine mengi nikipata fursa nitaendelea kuyajaza humu.
Kwa wasomaji hodari great thinkers naomba muifuate ripoti kamili hapa https://sgr.go.ug/downloads/SGR_comparison_of_Kenya_Tanzania_Ethiopia_Uganda.pdf