Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Leo imethibitika huko Pangani kwenye mkutano wa Rais kuwa Injinia anashindaga huko kusaka waganga kwenye mechi za Simba vs Yanga, yaan waganga hao kazi yao ni kufifisha nyota ya wachezaji wa Simba na kuzipeleka kwao.
Ina maana kuwa timu hii ina mambo ya ulozi sana kiukweli.
Sio Pangani tu hata huko Nachingwea, Lindi na Mtwara ndiko waganga wao walipo
Ina maana kuwa timu hii ina mambo ya ulozi sana kiukweli.
Sio Pangani tu hata huko Nachingwea, Lindi na Mtwara ndiko waganga wao walipo